T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Usahihi au kutokua sahii kunategemea na mtazamo wako comrade.Mkuu sasa unaona uko sahihi kwa hii post yako?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usahihi au kutokua sahii kunategemea na mtazamo wako comrade.Mkuu sasa unaona uko sahihi kwa hii post yako?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Tulia dawa iwaingie [emoji382][emoji382][emoji382][emoji381][emoji381]
Sio hivyo ngoja nikuambie kitu ambacho nawafundisha kila Siku ila hamuelewi magufuli ni mwepesi Sana kupigwa chini kwa sababu Ya visas na kutaka kila anaemkosoa amdhalilishe, kumbuka makongoro aliposema Siku ile ile issue ya Simba kutaka kushuka daraja akasaidiwa na yanga asishuke ilimuuuuma saaaana magufuli maaana makongoro alimaaanisha kuwa hawataki kuona chadema inakufa, anahitaji chadema iwepo ili kuleta ushindani, ndicho alichomaanisha madaraka Kwa maaana nyingne akipinga ile hali Ya magufuli kutaka kuuwa upinzani, sasa baada Ya makongoro kumaliza kuongea baadae alikuja magufuli kuongea akaiponda familia Ya Mwalimu kuwa waliogombea wakaambulia kura Tatu akazitaja, tena akawa anazitaja anacheka na akawa anazitaja Kwa kebehi ili kuwadhalilisha, hilo liliwauudhi Sana familia na wanajipanga kumwaaangusha, magufuli ni wa visas na vitina hataki hata kidogo wewe umpinge Au uupende upinzani, ndio maaana timunasema hafai na nirais kumtoa Kwa sababu hatumiii akiri kwenye siasa anatumia nguvu, angalia sasa kapoteza Kwa ile familia na ina watu wengi Sana mno siasa ni akiri yeye anatumia ukatari ili asishauliwe anapenda chuki
[/duuuh!aysee,ndo maana cjakosea kujiunga jf,huu mfano umelenga mulemule
Hiiiii, litakuwa limenuna ni hatareee! Linatamani hata kuwafutia marupurupu!Wakuu,
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.
Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,
Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.
Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
Kwenye orodha ya msajili wa vyama vya siasa chadema kipo au hakipo?Mkuu kuna kale ka msemo kako kuwa Chadema imekufa, je bado unaamini hivyo au umebadili gia angani?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hizi picha ni kabla ya Uhuru 1955
Mfyuuuuuu!! Lionel linavyotapatapa!Atubu,kwani alishawahi kusema kuwa "Nyerere alizoea kuishi kwa uongo" hii karma itatamtafuna bila kumbakiza
Ameenda kujipendekeza kwenye kaburi la Baba wa Taifa si alimtukana kwenye Bunge la Katiba? Urais haupati.Wakuu,
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.
Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,
Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.
Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
Jambo la familia ya Mwalimu Nyerere kumkaribisha Lissu kulala nyumbani mwao tena wakati kampeni zinaendelea ni ujumbe wa wazi wazi kwa CCM na Magufuli kuwa familia hiyo anzilishi wa CCM na Taifa letu wamechoshwa na CCM na watawala wa nchi. Pia ni ishara ya ridhaa ya wana CCM kwa Lissu. Ni kitendo cha kijasiri na kimapinduzi.Ameshapitishwa
Daktari huwa hapangiwi kwa kuchoma sindano, mimi kama daktari nimeshakuchoma sindano ya kalio sasa kazi kwako kuamua unasikiliziaje maumivu kwa kulala chali au kubidua kalio.Huu uzi umenzishwa kuelezea Lisu kulala kwa Nyerere, we unaleta matangazo ambayo yamejaa majalalani, yanachafua mazingira?! Tumia Wewe fikra siyo kudandia treni kwa mbele!
Natumaini alitumia nafasi hio kuomba msamaha kwa kejeli na dharau alizokua anazitoa kuhusu mwalimu Nyerere.
Kuna familia zina moyo wa kusamehe
malizia kabisa wa TFFYes Tundu ndio rais
Nikuulize wewe uliyewapost hapa.kwahiyo hawapo duniani kwa sasa
Lissu angekuwa amemtukana Nyerere watoto wa Nyerere na mama yao wasingemkaribisha alale kwao na kumfanyia karamu.Ameenda kujipendekeza kwenye kaburi la Baba wa Taifa si alimtukana kwenye Bunge la Katiba? Urais haupati.
Sindano ni ipi sasa hapo! Umekunywa maji leo?!Daktari huwa hapangiwi kwa kuchoma sindano, mimi kama daktari nimeshakuchoma sindano ya kalio sasa kazi kwako kuamua unasikiliziaje maumivu kwa kulala chali au kubidua kalio.
Na itawaingia kisawasawa baada ya October 28.Tulia dawa iwaingie [emoji382][emoji382][emoji382][emoji381][emoji381]View attachment 1582496
ok kula ccm kura chadema, wapo hai wengine wako na jiwe ccm fiesta mikoaniNikuulize wewe uliyewapost hapa.
Sindano kali sana kuwa Magufuli ushindi ni lazima tena wa kishindo.Sindano ni ipi sasa hapo! Umekunywa maji leo?!
Acha uongo wakati mpaka wabunge wanaoana bila kubaguana. Upo Tanzania kweli? Muulize Zitto amezaa na mbunge wa CCM pia mke wa Kafulila ni Chadema bila kusahau mke wa msemaji wa Chadema ni CCM! Acha kubwabwaja kama hujui. Mimi mwenyewe mke wangu ni Chadema. Pia angalia video clip hapa chini. Tena sasa hivi watz wa vyama tofauti wanashirikiana kuliko hapo awali. Ndiyo maana namsikitikia msaliti Lissu anapowaambia eti watz waingie barabarani labda alete maburuki toka nje ya nchi. Atashangaa baada ya tarehe 28/10/2020.Nakumbuka wakati muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya pili ya JK, KUB alikua Hamad Rashid Mohamed wa CUF. Siku ya Alhamisi ambayo ni siku ya maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, KUB alikua akipata kifungua kinywa nyumbani kwa PM na wakiondoka wote kwenda Bungeni.
Utamaduni huu umekomeshwa kikatili sana. Sasa hivi sio tu dhambi kumtembelea mtu mnae tofautiana itikadi za chama bali pia ni dhambi kumjulia hali mgonjwa hospitakini kama si wa chama chako! Na tunapoelekea hata kuzikana watu wa vyama tofauti itakua ni kosa la kimaadili la kuadhibiwa na chama. Nani katufikisha huku? Tusikubali.