Mkuu sasa unaona uko sahihi kwa hii post yako?Kukosa cha kupost maana yake ni nini? Acha kuweweseka comrade
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sasa unaona uko sahihi kwa hii post yako?Kukosa cha kupost maana yake ni nini? Acha kuweweseka comrade
Mkuu kuna kale ka msemo kako kuwa Chadema imekufa, je bado unaamini hivyo au umebadili gia angani?Yaishi basi maneno yako comrade ili twende sawa mpaka tar 28 October mjue nani amekufa kisiasa.
Polee sana.kiburi cha mtu mmoja kinaenda kukigharimu chama chote.
Nimependa sana ukombozi kuanzia Mara, then Kagera/Bukoba watafataKaka yanayopangwa na Mkoa wa Mara chini kwa chini toka Vijijini had mjini, ukiyajua Kama wewe ni msimamiz Wa Uchaguzi Mkoa huuu usije ukathibutu kuiba, Jamaaa hawa wamepanga mipango madhubuti mno wanasema wao ukipora kura zao watakubeba na kukupeleka msituni ukawaeleze umepeleka wapi kura zao hawataogopa polisi, watakuwa Kama sisimiz na wako Tiyari kuhakikisha kuwa Mkoa wa Mara unakuwa ndio kitovu cha ukombozi wa nchi hawataki kuwahiwa na Mkoa mwingne wameamua kuweka history Ya ukombozi wa Mara Ya pili hutaaamini kitakachotokea
Huu uzi umenzishwa kuelezea Lisu kulala kwa Nyerere, we unaleta matangazo ambayo yamejaa majalalani, yanachafua mazingira?! Tumia Wewe fikra siyo kudandia treni kwa mbele!Nyuzi za watu maana yake ni nini comrade? Jaribu kuwa na fikra comrade zitakusaidia kuacha kuweweseka.
Kaamua kuchagua fungu jema, ni yeye 2020, nani anaweza piga kura kwa Jiwe??Kwa 'Heshima' Kubwa tu waliyokuwa nayo 'Marais' wote wa Tanzania hadi huyu Dkt. JPM sikutegemea kuuona 'Unafiki' huu wa Madaraka Nyerere.
Lumumba kamati roho mbaya wanabetuaje midomo!!
Hivi hilo neno sumptuous magufuli anaelewa maana yake?
Majibu ccm tunayo ni ushindi tunapambana ili tupate ushindi wa kishindo.majibu utayapata oct28
Mugabe yupi comrade? Wapi nimemzungumzia Mugabe au umelewa gongo comrade?CCM huyo Mugabe mmemtetea na kumlinda sana akiwa hai hata alipokuwa anaiharibu nchi yake. Leo hii ni marehemu ndiyo mnamtumia kukejeli wengine?
Jiwe amefura kwa hasira, Naona kama amepewa kifimbo Cha mwalimuWakuu,
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.
Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,
Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.
Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
We unaonekana hufuatilii kabisa siasa, unajua hizo picha ni za mwaka gani?Nenda labor naona umesahau uzazi wa mpango tangu uambiwe fyatueni tu,safari hi kula ccm kura chademaView attachment 1582470
kwahiyo hawapo duniani kwa sasaWe unaonekana hufuatilii kabisa siasa, unajua hizo picha ni za mwaka gani?
Ndio nakuambia sasaAcha kujikweza Wewe! Huwezi fikia level ya ujinga ya Polepole, hata robo!
Chadema watapigiwa kura na wajinga, wasiotaka maendeleoNinachowaaambia nikuwa mheshimiwa tundu lisu ndio rais wa sita mkatae msikatae magufuli hataweza kushinda hata Kwa Dawa Ccm watafanikiwa kuwa na wabunge wengi tu ila magufuli hatashinda kura Nina Uhakika atapora ushindi Lakini hatafaulu ataondoka madarakani nawahakikisheni hivyo magufuli hata shinda kura, labda ujitoe ufaham, kinachopangwa huku Mara ni umoja wa kuikomboa nchi kupitia Mkoa wa Mara, Mkoa wa Mara ndio utakao kataaa katakata kuporwa kura na ndio utakaokuwa Mkoa wa kwanza kwenye vuguvugu la kumtoa magufuli Niko tarime nawahakikisheni kinachopangwa Na wana Mara pasipo hata kushirikisha chadema ni umoja ambao haujawahi tokea tangu nizaliwe, Mara itakuwa kitovu cha mabadiliko na Jeshi litashindwa na itaambukiza Kagera, itaingia Mwanza na Geita wakuuu hakutakuwa na wizi wa kura Mkoa wa Mara, watu wameishaanza kuunganisha nguvu toka Vijijini huko wanasema hawatakubali watamshika mtu Kwa mkono na atawaeleza kura zao ziko wapi, nawahakikisheni kuwa magufuli anaondoka madarakani kitakachotokea Mara wakiiba kura na mikoa Yote itafuata tu
Je ni kweli au si kweli? Ni sawa na kusema Jiwe ni fisadi ambaye kawazidi mafisadi wote hapa nchini.Hao waliomkaribisha pengine ni wepesi wa kusahau, huyu Tundu Lissu si ndio alimtukana baba yao hadharani kwa kudai kwamba eti mwalimu Nyerere alizoea kuoshi kwa uongo uongo!!
Jibu alimtukana au la? acha porojo na misukule wenzenuJe ni kweli au si kweli? Ni sawa na kusema Jiwe ni fisadi ambaye kawazidi mafisadi wote hapa nchini.
Kanunua ndege lakini hataki CAG makini akague hayo manunuzi, jamani Mataga mnakwama wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
ccm itapigiwa kura na wapumbavu na kikundi cha watu wasiojulikanaChadema watapigiwa kura na wajinga, wasiotaka maendeleo