Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mzee Andrew nyerere walisema wao Ni NON-PARTSANMama Maria Nyerere kajibu kwa vitendo baada ya kushurutishwa aende mkutano wa CCM kuongeza vichwa kisha kulazimishwa kuongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Andrew nyerere walisema wao Ni NON-PARTSANMama Maria Nyerere kajibu kwa vitendo baada ya kushurutishwa aende mkutano wa CCM kuongeza vichwa kisha kulazimishwa kuongea
usedChagua CCM chagua Magufuli View attachment 1582412
Na hao ni Nyerere na baba ake Lisu, walikua wanajipanga kuunda TANU!Hizi picha ni kabla ya Uhuru 1955
Baba Mkwe wa Antipass ana nasaba na maeneo hayo, hivyo kulala huko sio dhambi Rtd Col. Magabe.Wakuu,
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada Ya kuombwa na watoto wa baba wa taifa.
Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulaala kwao Mkubwa Kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,
Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.
Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
Tuliza mshono comrade.used
majibu utayapata oct28Sasa comrade tundu Lissu kulala chumbani kwa Madaraka Nyerere inamsaidia nini babu na bibi yako walioko kijijini ?
Hayo Kuna mtu ndio source ya hayo .Nakumbuka wakati muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya pili ya JK, KUB alikua Hamad Rashid Mohamed wa CUF. Siku ya Alhamisi ambayo ni siku ya maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, KUB alikua akipata kifungua kinywa nyumbani kwa PM na wakiondoka wote kwenda Bungeni
Utamaduni huu umekomeshwa kikatili sana. Sasa hivi sio tu dhambi kumtembelea mtu mnae tofautiana itikadi za chama bali pia ni dhambi kumjulia hali mgonjwa hospitakini kama si wa chama chako!!! Na tunapoelekea hata kuzikana watu wa vyama tofauti itakua ni kosa la kimaadili la kuadhibiwa na chama. Nani katufikisha huku? Tusikubali
Umenipa moyo sana mkuu, lazima mwaka huu ccm kiwe chama pinzaniNinachowaaambia nikuwa mheshimiwa tundu lisu ndio rais wa sita mkatae msikatae magufuli hataweza kushinda hata Kwa Dawa Ccm watafanikiwa kuwa na wabunge wengi tu ila magufuli hatashinda kura Nina Uhakika atapora ushindi Lakini hatafaulu ataondoka madarakani nawahakikisheni hivyo magufuli hata shinda kura, labda ujitoe ufaham, kinachopangwa huku Mara ni umoja wa kuikomboa nchi kupitia Mkoa wa Mara, Mkoa wa Mara ndio utakao kataaa katakata kuporwa kura na ndio utakaokuwa Mkoa wa kwanza kwenye vuguvugu la kumtoa magufuli Niko tarime nawahakikisheni kinachopangwa Na wana Mara pasipo hata kushirikisha chadema ni umoja ambao haujawahi tokea tangu nizaliwe, Mara itakuwa kitovu cha mabadiliko na Jeshi litashindwa na itaambukiza Kagera, itaingia Mwanza na Geita wakuuu hakutakuwa na wizi wa kura Mkoa wa Mara, watu wameishaanza kuunganisha nguvu toka Vijijini huko wanasema hawatakubali watamshika mtu Kwa mkono na atawaeleza kura zao ziko wapi, nawahakikisheni kuwa magufuli anaondoka madarakani kitakachotokea Mara wakiiba kura na mikoa Yote itafuata tu
Tuliza shanga bwn mdogo.Umeshaanza kuweweseka
Sure there will be messy ugly and noisy.....Magufuli atakapotolewa madarani tutasikia mengi sana;
1. Watu hasa wana ccm watanena walivyozuiwa kuchangana na wapinzani.
2. Wataeleza nani alimpiga Lissu risasi
3. Wataeleza jinsi walivyopewa maelekezo kuwaengua wapinzani
Kea ujumla atafananisha na IDD AMINI DADA
Acha kujikweza Wewe! Huwezi fikia level ya ujinga ya Polepole, hata robo!Nikamuulize nini comrade hata mimi pia naweza kuwa ni uyo polepole unayetaka nikamuulize. Acha kuweweseka comrade.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiwe kafura kanuna kanyong'onyea,kalegea tepetepe baada ya kusikia watoto wa mwalimu wamemuomba Lissu akalale kwao,wakati Jiwe alimforce bi mkubwa wa taifa aende pale mkendo akaongeze idadi ya vichwa.
Mimi pia nimewahi kuwaza hivyo..ndio maana wote Kwa SASA wako wanahangaika ili MTU wao ashinde ili wapate manufaa na upendeleo kutoka Kwa aliyeko madarakani, matatizo ya wananchi ni kisingizio tuu cha kutafuta kuungwa mkono ili wakiwa wanafaidika wawe na support ya mass.. otherwise all these episodes zinazoendelea majukwaani ni Drama au kiini macho.Sio kidogo, kwasasa wanafunga midomo sababu wananufaika
we ndo msahaulifu kamati ya fitina majungu na roho mbayaHao waliomkaribisha pengine ni wepesi wa kusahau, huyu Tundu Lissu si ndio alimtukana baba yao hadharani kwa kudai kwamba eti mwalimu Nyerere alizoea kuoshi kwa uongo uongo!!
Mkuu GENTAMYCINE, huyo anafanya dhiaka kwa uvccm! Hamaanishi!Joyce
Kichwani mwako 'zinakutosha' kweli Mkuu? Mbona Wewe sasa ndiyo unaonekana ndiyo Muongo na Unatudanganya? Kaombewe 'Upumbavu' uishe.
Kwa hiyo mtabaki na Jah Kimbute!? He heeMagu alijuwa wasanii wa bongo fleva ni zaidi ya people's power!
Hajuwi ata mziki wa hao bongofleva tunaweza ukataa tukabaki na reggae music