Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Tusijilishe upepo jamani ngoma kama ni hivi basi bado imebana, kwa msio fahamu Mwitongo kwa Baba wa Taifa kama jina linavyojiita kwa sasa pamekuwa ni Miuziumsi kwa kizungu na kwa kiswahili ni sehemu ya makumbusho. Hivyo pana hotel na kila kitu ndiyo maana serikali inawahimiza watu wafike pale kwani unakuwa unakumbuka historia ya Tanganyika mpaka Tanzania na mengine pia unaichangia familia ya Mwalimu Nyerere na serikali.

Hivyo mtu yoyote ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania anakaribishwa Mwitongo kama mtalii wa ndani au wanje, na aliyeteuliwa pale ni Madaraka Nyerere yeye anapokea wageni wowote kwa upendo wote, sisi tulikuwepo pale mwezi wa 5 alitupokelewa na Madaraka mwenyewe hanashida. Hivyo hilo kufanya kama mtaji wa kisiasa au kiki naona ni la kilofa kwani kura kama hazikutosha mtasema tumeibiwa, mbona tulipokelewa hata na Madaraka Nyerere nyumbani kwa baba wa taifa.

Namimi nachukuwa fursa hii kuwaambia watanzania kuwa waende Mwitongo pana mambo mazuri ya kujifunza pia pana huduma zote za chakula, kulala na mapumziko kwa mtu binafsi hata familia na hata taasisi pia, ni mahala pazuri sana jitokezeni kama Lisu na wengine ni kwa watanzania wote. Ndiyo maana Lisu alimtukana Nyerere lakini Madaraka anampokea hilo ndilo jukumu alilopewa na familia. Ndiyo maana Lisu amekuwa pale na waandamizi wa chama pamoja na yule Askofu wote wamelala pale kwa ghalama zao Madaraka kaingiza na hili ni zuri kuchangia kwani pia panalipa kodi kwa serikali.
Vp kuhusu mama Maria kusema alilazimishwa kwenda kwenye mkutano wa Jiwe kuongeza vichwa?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ninachowaaambia nikuwa mheshimiwa tundu lisu ndio rais wa sita mkatae msikatae magufuli hataweza kushinda hata Kwa Dawa Ccm watafanikiwa kuwa na wabunge wengi tu ila magufuli hatashinda kura Nina Uhakika atapora ushindi Lakini hatafaulu ataondoka madarakani nawahakikisheni hivyo magufuli hata shinda kura, labda ujitoe ufaham, kinachopangwa huku Mara ni umoja wa kuikomboa nchi kupitia Mkoa wa Mara, Mkoa wa Mara ndio utakao kataaa katakata kuporwa kura na ndio utakaokuwa Mkoa wa kwanza kwenye vuguvugu la kumtoa magufuli Niko tarime nawahakikisheni kinachopangwa Na wana Mara pasipo hata kushirikisha chadema ni umoja ambao haujawahi tokea tangu nizaliwe, Mara itakuwa kitovu cha mabadiliko na Jeshi litashindwa na itaambukiza Kagera, itaingia Mwanza na Geita wakuuu hakutakuwa na wizi wa kura Mkoa wa Mara, watu wameishaanza kuunganisha nguvu toka Vijijini huko wanasema hawatakubali watamshika mtu Kwa mkono na atawaeleza kura zao ziko wapi, nawahakikisheni kuwa magufuli anaondoka madarakani kitakachotokea Mara wakiiba kura na mikoa Yote itafuata tu
Oparesheni SAFISHA.......from Sirali to TUNDUMA
 
Aisee mtamuua yule mzee jamani,Lissu ameuonee huruma kwa kweli.
 
Wakuu,

Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada Ya kuombwa na watoto wa baba wa taifa.

Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulaala kwao Mkubwa Kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,

Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.

Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
Mtikisiko WA kisiasa wa kipimo cha 56.7 kuitikisa Tanzania. Oh God rem us.
 
Jiwe ana roho mbaya sana na hii nimegundua katibu asilimia 90 ya wasukuma ni madhaifu sana wa roho..
Nakumbuka wakati muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya pili ya JK, KUB alikua Hamad Rashid Mohamed wa CUF. Siku ya Alhamisi ambayo ni siku ya maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, KUB alikua akipata kifungua kinywa nyumbani kwa PM na wakiondoka wote kwenda Bungeni

Utamaduni huu umekomeshwa kikatili sana. Sasa hivi sio tu dhambi kumtembelea mtu mnae tofautiana itikadi za chama bali pia ni dhambi kumjulia hali mgonjwa hospitakini kama si wa chama chako!!! Na tunapoelekea hata kuzikana watu wa vyama tofauti itakua ni kosa la kimaadili la kuadhibiwa na chama. Nani katufikisha huku? Tusikubali
 
Lissu ni mkweli kama Nyerere alikua muongo kwanini usisemwe lakini mbali na hivyo haimuondolei kua Baba wa taifa...sawa na Jiwe ana roho mbaya lakini haimuondolei kua ndiye Rais wetu.
Atubu,kwani alishawahi kusema kuwa "Nyerere alizoea kuishi kwa uongo" hii karma itatamtafuna bila kumbakiza
 
Ni kweli Magu alisema kuwa Bashiru alikua anauza ndizi sokoni aya niambie wapi tulitaka kufanya kuuza ndizi kwa Bashiru kuwa jambo la kitaifa na kuwatangazia walimwengu?? Nyie kulala tu chumbani kwa Madaraka mmeona ni bonge la jambo mnadhani kura tutapigia chumbani kwa Nyerere?
Jiwe ni laana kwa Taifa hili

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom