Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Hii ndo shida ya misukule ya lumumba hujui hata lugha rasmi za taifa ni zipi???Ni moja tuu.. Kiswahili na hiyo aliyoitumia ni wachache Sana wanaimudu na Kwa mujibu wa mwandishi tuliowengi hatuwezi ata kusalimia Kwa lugha hiyo achilia mbali kung'amua vocabularies alizotumia.. kumbuka mchezo unaoendelea Kwa SASA unahitaji kugusa walio wengi.. unless Hana haja na sie tulio wengi.