Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.Sure ukimsoma hata gesture zake za mazungumzo..
Na mpenda showoff
Kila nikisoma maelezo ya uyu dogo siamini kama alikuwa anaonewaHuyu dogo ndani mwake kuna viashiria vya wizi
Wenye uwezo mkubwa kifikra ndo watakuelewa.Watu hawaelewi kuwa serikali na mwanamke wako sawa sawa Wana Sheria Ila huzivunja mbele ya strong/value men. Yaani haraka mno hakuna cha Nina mchumba ama mme wangu Wala hakuna kuliwa mpaka ndoa ,yaani ni fasta.
Itakuwa Mwakinyo anaibiwa na ikabidi ategeshe nazi. Lakini kwa nini asitegeshe nazi ndani ya fensi yake au nyumba haina fensi. Huwezi kutegesha barabarani halafu umvutie mwizi nyumbani!Kiukweli kwa hayo maelezo dogo naye ni kama mwizi mwizi hivi japo kitendo alichofanyiwa ni kibaya sana.
Watu wamesikiliza upande mmoja basi washa judge hii ndo nchi yangu bwanaKijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.
Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa
Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"
"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"
"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza
Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"
Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake
Chanzo: Millard Ayo
Wa ufafanuzi wa upande mmojaKwa ufafanuzi huu ana makosa, afikishwe kwa pilato.
Huyu mwizi, zimemkuta za mwizi arobainiHapa kuna uongo,nazi zipangwe barabarani na wewe uende kuokota bila kujiuliza?
Hao hao mbwa koko umejiuliza ni kwa namna gani huyo kijana anasikia maumivu hapo?muda anaopoteza hospital gharama kubaki na makovu kama mwizi etc!!!Mbwa wakali wakushambulie zaidi ya saa moja uwe hai au usiwe wa kupelekwa ICU labda walikua ni mbwa koko
Hata mimi nimeliona hilo. Ni sawa na wale waokota makopo. Itakuwa alishapigwa matukio ya wizi sana hivyo akamtega mwizi wake. Japo hajafanya sahihi lakini dogo naye ana viashiria vya ukibaka.Huyu dogo ndani mwake kuna viashiria vya wizi
Vp na tukio la dogo kukuta nazi zimepangwa na kuzuchukua wakati si mali zakeMakosa yapo mawili hapo
1.Kujeruhi.
2.Kushindwa kutunza mnyama mkali
Duh!...huenda kuna sababu nyingine ila dogo hajaisemaKijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.
Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa
Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"
"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"
"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza
Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"
Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake
Chanzo: Millard Ayo
Huyu Mwakinyo nae kmmkeeKijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.
Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa
Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"
"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"
"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza
Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"
Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake
Chanzo: Millard Ayo
Mkuu kitu ambacho waafrika hatujui ni mdaMbwa wakali wakushambulie zaidi ya saa moja uwe hai au usiwe wa kupelekwa ICU labda walikua ni mbwa koko
INa maana alishaandika maelezo yake police, inachofuata hqpo ni kuaikiliza pandw zote mbili upya mahakamaniK
Wa ufafanuzi wa upande mmoja
mwiz asipigwe?Huyu dogo mwakinyo ana ka upumbavu na majivuno flani hivi.Halafu ni sadist sana