Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Niliikuta tu kwenye folder mkuusasa kweli hta cover la movie ni nini kimo ndani??
sijui kma kuna movie huko duniani ya kizombi ina cover iliyorelax kma hyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliikuta tu kwenye folder mkuusasa kweli hta cover la movie ni nini kimo ndani??
sijui kma kuna movie huko duniani ya kizombi ina cover iliyorelax kma hyo.
Alikuwa amejitoa?Dwayne johnson(hobbs) anarud kwenye Fast X
Baada ya fast 7 aligombana na vin dieselAlikuwa amejitoa?
Ndio maana zilianza kukosa mvuto. Hata yeye mwenyewe pia muvi zake alizotoa hivi karibuni hazina mvuto wpwote kama black adam.Baada ya fast 7 aligombana na vin diesel
Watu wanapigwa heart attack nyie bado mnaangalia muvi za kuogofya 😁😁😁Evil Dead Rise iko poa
Uzuri director hajaamua kutupotezea muda. Tangu mwanzo hadi mwisho ukiangalia kila sekunde unaona kabisa kweli hii ni horror, hamna blah blah nyingi
IMDb ratings 6.9/10
My own ratings 7.2/10 [emoji16][emoji16]
Tunajiamini hatuna matatizo ya moyo[emoji16][emoji16]Watu wanapogwa heart attack nyie bado mnaangalia muvi za kuogofya [emoji16][emoji16][emoji16]
Matatizo ya moyo hayaji ghafla yanajikusanyaaa halafu yanakuja kusumbua baadaeTunajiamini hatuna matatizo ya moyo[emoji16][emoji16]
Horror movies zinasumbua watoto Tu [emoji28][emoji28]Matatizo ya moyo hayaji ghafla yanajikusanyaaa halafu yanakuja kusumbua baadae
Ina kamkono au ni usaliti tu kuibiana taarifa na kuzidiana ujanja?Kama wewe ni mpenzi wa intelligence series pita na hii THE AMERICANS ndo kwanza nimeanza npo Season1ep5 ipo vizuri sana ni ya muda kidogo 2013-2018
KGB VS WAMAREKANView attachment 2622111
Mkono upo kaka japo sio ule wa kila dk lakini uliopo sio ule wa uongo wa kina Shang Chi uliopo ni ule wa kutafuta pressure points za mwilini uuliwe[emoji28][emoji28]Ina kamkono au ni usaliti tu kuibiana taarifa na kuzidiana ujanja?
Ni movie yenye story nzuri, akili nyingi na action inahusiana na jamaa mmoja ambaye alivikwa husika wa big mouth kwa kuzaniwa ni yeye matukio yalikuwa yanatokea yanayofanywa na big mouth halisi lakini gunia linaangushiwa big mouth fake na hii imechangiwa kutokujulikana big mouth ni yupiKuna mtu alirecommend series ya Big Mouth, inahusu nini kabla sijachoma MB zangu [emoji16][emoji16]
Kwahiyo mkono umo au ni zike aina ya series vijana wanalialia kama dada zaoNi movie yenye story nzuri, akili nyingi na action inahusiana na jamaa mmoja ambaye alivikwa husika wa big mouth kwa kuzaniwa ni yeye matukio yalikuwa yanatokea yanayofanywa na big mouth halisi lakini gunia linaangushiwa big mouth fake na hii imechangiwa kutokujulikana big mouth ni yupi
Mkono upo huyo fake ni ndezi kwenye episode za kwanza baada ya kuvaa uhusika wa big mouth anabadilika Sana anaamua awe kama big mouth halisi ndipo utauona ubabe wake in short hii movie for me ndio korea drama kali zaidi kwa mwaka Huu any thing was perfectKwahiyo mkono umo au ni zike aina ya series vijana wanalialia kama dada zao
Mkuu kapitie na zile za nyuma yakeEvil Dead Rise iko poa
Uzuri director hajaamua kutupotezea muda. Tangu mwanzo hadi mwisho ukiangalia kila sekunde unaona kabisa kweli hii ni horror, hamna blah blah nyingi
IMDb ratings 6.9/10
My own ratings 7.2/10 [emoji16][emoji16]
Mambo ya Oleg[emoji39]Kama wewe ni mpenzi wa intelligence series pita na hii THE AMERICANS ndo kwanza nimeanza npo Season1ep5 ipo vizuri sana ni ya muda kidogo 2013-2018
KGB VS WAMAREKANView attachment 2622111
Nlianzia kuzipenda kwenye death racemi mimivu ya kukimbizana na magari
nilishajitoaga huko.