Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Kama uelewei concept ya multi verse basi hiyo movie uwezi kuielewaHivia hii movie ya everything everywhere all at once ilipataje tuzo ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uelewei concept ya multi verse basi hiyo movie uwezi kuielewaHivia hii movie ya everything everywhere all at once ilipataje tuzo ???
Atoe mkong'oto kama wa yuke mzee wa No body au polarHuyu mzee analudi tena na hii kitu mwezi wa 8View attachment 2672233
mi nmeitupilia ukoWanahamasisha ushoga . Yani muvi wakati naiangalia nilikuwa siko comfortable kabisa. Nilikuwa natamani iishe tu
Hamna cha kutoelewa nishaona Sci - Fi nyingi sana latest in Doctor stranger Multiverse madnessKama uelewei concept ya multi verse basi hiyo movie uwezi kuielewa
[emoji1] point yangu ni ileile hiyo movie hujaielewa , kwa walioielewa hiyo ni movie bora ya Sci-fi iliyotoka mwaka janaHamna cha kutoelewa nishaona Sci - Fi nyingi sana latest in Doctor stranger Multiverse madness
Ila haijakaa hovyo kama hii Ya EEall at once nashangaa kwanini imebeba tuzo zote hizo , ndio mana kuna mkuu amesemea ni mambo ya ushoga
Check movie inaitwa Dungeon&dragon:honor among thievesHIDDEN STRIKE INATOKA JULY 6. KAENI MKAO WA KULA.
vipi hakuna muvi imetoka kali nishinde nayo kesho siku kuu?
Sasa nini hakieleweki kwenye ile muvi[emoji1] point yangu ni ileile hiyo movie hujaielewa , kwa walioielewa hiyo ni movie bora ya Sci-fi iliyotoka mwaka jana
Movie ngapi zimepromote ushoga mwaka jana na hazijashinda tuzo za Oscar???Sasa nini hakieleweki kwenye ile muvi
Shida ni kwamba hatujaona maajabu zaidi ya kupromote ushoga 2
Ile movie ukiangalia vizuri utagundua kuna watu wanaakili dunia, how come mtu anawaza kutunga story kama ile , how come watu wanakaa chini wanadirect kitu cha tofauti kabisa ambacho watu hawajakizoea kukionaSasa nini hakieleweki kwenye ile muvi
Shida ni kwamba hatujaona maajabu zaidi ya kupromote ushoga 2
Sijui ni ngapiMovie ngapi zimepromote ushoga mwaka jana na hazijashinda tuzo za Oscar???
Yeah ni kitu unique na wametumia akili kubwa sanaIle movie ukiangalia vizuri utagundua kuna watu wanaakili dunia, how come mtu anawaza kutunga story kama ile , how come watu wanakaa chini wanadirect kitu cha tofauti kabisa ambacho watu hawajakizoea kukiona
Ni mkono mwanzo mwisho?Check movie inaitwa Dungeon&dragon:honor among thieves
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mkono mwanzo mwisho?
Leta majibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi sijaiona Ila nimecheka naona unapenda muvi za mkono tu 😂😂Leta majibu
hamna ni ya uchawi uchawi kama harry potter vileNi mkono mwanzo mwisho?
hamna noma[emoji1] point yangu ni ileile hiyo movie hujaielewa , kwa walioielewa hiyo ni movie bora ya Sci-fi iliyotoka mwaka jana
Tukisema oooh hamjaelewa [emoji23][emoji23][emoji23] mi nmeamua kukubali sijaelewa mana ntabishana mpaka wiki ijayo... itoshe kusema movie haina maajabu yoyote kabisa.Sasa nini hakieleweki kwenye ile muvi
Shida ni kwamba hatujaona maajabu zaidi ya kupromote ushoga 2