Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
- Thread starter
-
- #121
Baloteli zilitamba kidogo ila naona hakua mjanja biashara ya huko ikamshindaKuna baharia mmoja mwanangu sana alipelekaga basi zake zilikuwa zinaitwa baloteli mbona zilikuja juta
Inabidi waweke pia lami mpaka kwenda kimamba na ukitokea melela mikumi unaingia hadi kilosa nayo waweke lami....
Kilosa sahv syo kama ya zamani
Ova
Well said!Tuishi kwa wema duniani !
Because and sure that there is always a coming day when we will perish !!
Usimdhalilishe mtu kwa sababu ya tofauti zetu za kisiasa au kitu chochote kile !
Kila mtu ajue that day is coming !
Siku akifa Lissu sijui watasemajeπChadema watakwambia amekataliwa na Mungu
Njiaa zilikuwa mbovu sanaBaloteli zilitamba kidogo ila naona hakua mjanja biashara ya huko ikamshinda
Ameshafika kitambo post yake iko nyumaYule wa RIP classmate naona bado hajafika
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Huyu ndo mwenye hotel kubwa pale Msamvu morogoro inaitwa Ulomi?? Kumbe wanaotuibia nao hufa?Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Aaaah! Wewe?Rip
Pole kijana Haroun kwa msiba huu
Haya sasa, watu hawanasubira msiba uishe kwanza. Haya ndiyo matokeo ya kuwa na sifa mbovu katika uongozi. Heshima hakuna.Huyu ndo mwenye hotel kubwa pale Msamvu morogoro inaitwa Ulomi?? Kumbe wanaotuibia nao hufa?
Siku akifa Lissu sijui watasemajeπ
Matipo wiki mpo bize sana...πππSiku akifa Lissu sijui watasemajeπ
RIP mzee Mkulo.Alishawahi pigwa FATAKi moja na Zitto(yule sio huyu wa sasa) bungeni kuhusu Ufisadi wa viwanja kama sijakosea,mwenzio Zitto aliweka rehani Ubunge wake,Mkullo yeye akaishia kucheka cheka tu..
Umechanganya files huyo ni Mramba, na ilikuwa wakati wa Mmakonde Nkapa .Mramba nayeye alikwisha ondokaNdege ya Raise itanunuliwa hasta wananchi wakila nyasi. Mungu ampe pumziko la mile.
Haya maisha haya Acha tuUmechanganya files huyo ni Mramba, na ilikuwa wakati wa Mmakonde Nkapa .Mramba nayeye alikwisha ondoka