Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Je huyo mwekezaji amepatikanaje?
Tenda ilitangazwa?
 
Huyu jama kaeleza vizuri sana na subiria mwenye kum-challenge kihoja sio matusi, sikilizeni hiyo clip plz.....ndo mleta majibu sio kupiga propaganda.
Hata gesi ya songosongo ilikuwa na maelezo mazuli kupita hayo, kikuwapi?
 
Ati umelipa ushuru wa milioni Mia moja na kidogo ili walimu wasikose mshahara! Kwani nchi hii waajiriwa wa serikali ni walimu tu? Na kwani awatolee mfano na utetezi wake uliokosa mtiririko wa hoja?
Na kusema kuwa bunge ni serikali alimaanisha au? Ccm mnaiangamiza nchi kwa kuruhusu wananchi kuwakilishwa na wenye uelewa duni!
 
Huyu jama kaeleza vizuri sana na subiria mwenye kum-challenge kihoja sio matusi, sikilizeni hiyo clip plz.....ndo mleta majibu sio kupiga propaganda.
Hakuna aliyekataa ubinafshaji tatizo vipengele vya mkataba hamuelewi wapi???
 
Huyu bwege kishahongwa na waarabu.kama ana hela bungeni kafuata nini huyo paka.si angekaa kwao ale hizo hela zake.mpuuzi mkubwa huyo.
Huyu jamaa ana hela chafu sana.
Unayajua makarasha? Unaijua migodi?
Huenda unatoka sehemu ambazo kwao hela wanazipata kwa style ingine tena chache.

Msukuma alikuwa sio mbunge wala mwenyekiti wa ccm Geita alikuwa antembea na msafara wa gari Rais akasome muulize marehemu Donald Max
 
Huyu bwege enzi zake kwa kuwa nae ni mkongwe angeitwa karumekenge
 
Kama ajaongwa gari basi kalipiwa mkopo wake NBC
 
Musukuma hana utajiri anaojitapa kuwa nao,anamiliki mabasi chakavu anayonunua kutoka kwa Zakaria Express.
Muuza miwa mchawi huyu!
Kishanogewa rushwa!

Watu wanapiga kelele kuhusu vipengele vilivyopo kwenye huo mkataba.

Musukuma anapiga porojo bila kuainisha hivyo vipengele!

Na yeye atutajie ni kifungu gani kimetamka kwamba DP World wataleta mitambo hamsini ya kushushia kontena!

Huyu ni mla rushwa hatari kwa usalama wa taifa.
 
Kama Ccm wameshindwa kuendesha bandari, wawape Wanajeshi wasimamie. Ccm wamebaki kuiba tuu.
Wanajeshi hawahawa ambao 90% ni form 4 leaver?

Bandari inahitaji weledi mkubwa, hawa hawawezi kuwa efficient, wapewe tu shughuli za kutumia nguvu hawa
 
Walokole wamejiapiza kupinga "Mwarabu" kupewa Bandari aiendeshe wanataka eidha Mzungu au Mwizraeli.

Sijui tunafeli wapi?
Duuh, kuna Mahali Walokole wamezungumzia udini na kupinga chochote kwa minajili ya kidini?

Hebu tuwe kama wasomi, tupinge jambo kwa hoja ya msingi

Kinachopingwa sio ubinafsishaji, ila terms zilizopo katika mkataba, unawezaje kubinafsisha bandari kwa mgeni ambaye hukuwahi kufanya nae kazi tena kwa miaka 100?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…