Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Kwa hiyo unataka tukuamini wewe bibi ushungi na Muslim wenzio wa Dubai?
Tunakujua akili zako huwa hazina akili pale jambo likihusisha Muslims wenzio!.
Tuumini ukweli uliopo. TICTS imeingiza kwa mwaka dhillibgi ngapi?

. Ma shaa Allah najivunia sana ushungi wangu, kama mama'ke Yesu (awe na amani).
 
Serikali ya wajinga, project reference ana taja Somalia na Rwanda eti huko DP world pia wako, Rwanda kuna bandari?, Somaliland ni bandari ndogo ambayo ina hudumu watu wachache wala huwezi kujifunza chochote, largest port in Somalia ni Mogadishu port ambayo iko south part of Somalia, populated area and head quarter of Somalia.
Ameenda Dubai kuona picha za bandari, anaweza tueleza before na baada ya DP world kuchukua bandari ya DUBAI revenue ilikuwa ni kiasi gani?,operation efficient iliongezeka kwa asililia ngapi utoka asilimia ngapi?, containers handling kiasi gani before na kiasi gani after? , waliwekeza kiasi gani before and after? maamuzi ufanyika based on reality data ambazo zitaonyesha pesa , flow of money, sio kwenda DUBAI kupiga picha, pia huwezi kuamua kitu kama hii kwa kutumia sentence tutapata, uta ,tuta, tuta nunua mchine 50, tuta tuta, tuta, hizi ni story ,hiyo ni gues work, tuwape mwaka wa majaribio au miezi sita tuone hizo figure before we proceed, kwani tuna wahi nini?
 
Tupeni gharama za huo mradi tuone kama watanzania tutashindwa kuuchanga huo mtaji, train man power tuone kama huo mradi hautakuwa productive chini ya wazawa.
Kama Ccm wameshindwa kuendesha bandari, wawape Wanajeshi wasimamie. Ccm wamebaki kuiba tuu.
 
Tuelezee kuhusu Tickic kupewa eneo dogo, na utofauti wa aina ya mkataba hu na ule wa India au wingereza ili tumuone musuka kua muongo.
 
Migodi wakati inauzwa ni Lissu na Zitto tu ndio walikomaa kuwa mikataba ni mibovu walokole wote walikuwa wakikenua tu kwa mzungu
Kumbe tatizo ni ule anae pewa Bandali sio aina ya mkataba sasa hiyo ni hatari sana, musukuma katoa mfano wa bomba la mafuta mkataba ule ni mbovu hauna masilahi na taifa, mtu anasamehewa kodi zote kweli, ila kulikua hamna kelele kwasbb ilikua jpm
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

Huyu ni kondoo kama kondoo wengine
 
Kumbe tatizo ni ule anae pewa Bandali sio aina ya mkataba sasa hiyo ni hatari sana, musukuma katoa mfano wa bomba la mafuta mkataba ule ni mbovu hauna masilahi na taifa, mtu anasamehewa kodi zote kweli, ila kulikua hamna kelele kwasbb ilikua jpm
Walokole wamejiapiza kupinga "Mwarabu" kupewa Bandari aiendeshe wanataka eidha Mzungu au Mwizraeli.

Sijui tunafeli wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…