Tuumini ukweli uliopo. TICTS imeingiza kwa mwaka dhillibgi ngapi?Kwa hiyo unataka tukuamini wewe bibi ushungi na Muslim wenzio wa Dubai?
Tunakujua akili zako huwa hazina akili pale jambo likihusisha Muslims wenzio!.
Huyu jama amekua open kabisa loud and clear sasa wanao jitokeza kumpiga kihoja wanakuja na matusi kwamba ni taka taka bila hoja.Msukuma alitudanganya kuwa "Nyungu" inatibu Corona ila leo lwenye hii press kanifurahisha hajaumauma maneno.
Kama Ccm wameshindwa kuendesha bandari, wawape Wanajeshi wasimamie. Ccm wamebaki kuiba tuu.Tupeni gharama za huo mradi tuone kama watanzania tutashindwa kuuchanga huo mtaji, train man power tuone kama huo mradi hautakuwa productive chini ya wazawa.
Ma shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Kwani dhambi kusimamia dini?Wewe najua unasimamia kwenye udini sina upande kwenye pande hizo.
Tuheshimu maamuzi yake. HAJAVUNJA SHERIA ZAIDI YA KUJIONGEZA KIIMANINadhani mnaona wenyewe picha inajieleza
View attachment 2651132
Anaitwa sheikh Abdul wa geita kwa sasa
Tuelezee kuhusu Tickic kupewa eneo dogo, na utofauti wa aina ya mkataba hu na ule wa India au wingereza ili tumuone musuka kua muongo.Mbona wanao tumwa kupiga kelele ni wale walio kimbia shule? Jana tulimuona Kibajaji akitoa povu bila kuwa na ka maana hata moja. Ana tuletea issue za TICKS ambao walipewa eneo dogo sana la huduma pale bandarini leo huyo zero mwingine nae kaja na issue ya TICKS na kutuita wapumbavu waoiga kelele kisa yeye alienda Dubai. Hajasema alikaa huko miaka mingapi kuangalia utendaji wa hawa master dealer.
Hajasema mkataba wanao ingia Tanzania kama una fanana na huo wa Dubai, kabaki kujisifia ana magari.
Hata hilo la kuhongwa nalo pia si lina jina lake??? Ccm ni kansa...
Kwanini hawasemi wizara ya uchukuzi siyo ya muungano? Kama wao ni wabunge makini? Wizara ya uchukuzi ina takiwa iwe chini ya Mtanganyika na sio hawa walio tawaliwa na waarabu na wana ndugu zao huko.. hii bandari ni mali ya Tanganyika.
Nyungu imewasaidia wengi sana na ni tiba asili, hata leo ukijisikia goigoi, mafua mafua, kandamiza nyungu utapata unafuu.Msukuma alitudanganya kuwa "Nyungu" inatibu Corona ila leo lwenye hii press kanifurahisha hajaumauma maneno.
Imam Musukuma [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji854]Ma shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Kwani dhambi kusimamia dini?
Si umemuona Musukuma leo alivyopendeza kavaa kama Waislam.
Kumbe tatizo ni ule anae pewa Bandali sio aina ya mkataba sasa hiyo ni hatari sana, musukuma katoa mfano wa bomba la mafuta mkataba ule ni mbovu hauna masilahi na taifa, mtu anasamehewa kodi zote kweli, ila kulikua hamna kelele kwasbb ilikua jpmMigodi wakati inauzwa ni Lissu na Zitto tu ndio walikomaa kuwa mikataba ni mibovu walokole wote walikuwa wakikenua tu kwa mzungu
Huyu ni kondoo kama kondoo wengineKutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma
Walokole wamejiapiza kupinga "Mwarabu" kupewa Bandari aiendeshe wanataka eidha Mzungu au Mwizraeli.Kumbe tatizo ni ule anae pewa Bandali sio aina ya mkataba sasa hiyo ni hatari sana, musukuma katoa mfano wa bomba la mafuta mkataba ule ni mbovu hauna masilahi na taifa, mtu anasamehewa kodi zote kweli, ila kulikua hamna kelele kwasbb ilikua jpm
Lissu na zitto ni waislam?Migodi wakati inauzwa ni Lissu na Zitto tu ndio walikomaa kuwa mikataba ni mibovu walokole wote walikuwa wakikenua tu kwa mzungu
Umeishiwa na hoja.Huyu ni kondoo kama kondoo wengine
Ushawishi ndo watu hufata bungenihuyu bwege kishahongwa na waarabu.kama ana hela bungeni kafuata nini huyo paka.si angekaa kwao ale hizo hela zake.mpuuzi mkubwa huyo.
Zitto Muisilamu Lissu Mkristo, lakini ni wapi nimesema nimeongelea uisilamu?Lissu na zitto ni waislam?
Lissu mliberali, Zitto Muislam.Lissu na zitto ni waislam?