Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Bunge hizi siku tatu limekuwa na comedian wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua anaeongoza Nchi Kwa sasa baada ya CEO na makamu kusafiri?Bunge hizi siku tatu limekuwa na comedian wengi sana
SpeakerUnamjua anaeongoza Nchi Kwa sasa baada ya CEO na makamu kusafiri?
Ajiandae Kufungasha 2525 crechelismMusukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.
Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia
Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.
View attachment 2239281
ukimaanisha kwamba waziri mkuu ni mtoro hahudhurii vikao vya baraza la mawaziri?Mbowe ameenda ikulu mara nyingi zaidi ya waziri mkuu Majaliwa
Huyo ni kichaaMsukuma anaona nongwa Maongezi ya Mbowe na Samia kuzaa Tanzania mpya ya kidemokrasia
Hiyo ni pointWabunge wengi CCM hawapendi cdm na CCM wapatane. Coz Wanajua ubunge wao wa kimchongo 2025 haupo Tena.
Inaelekea Spika anadharauliwa.... Wameanza na Sarakasi, magoti sasa Kawimbo kidogo.Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.
Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia
Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.
View attachment 2239281
Msukuma pamoja na kibajaji ni wachekeshaji Wala siyo wanasiasa.Wako katika bunge kuchekesha .Wangekuwa na uwezo kama rais wa Ukraine ningewafagilia.Msukuma anaona nongwa Maongezi ya Mbowe na Samia kuzaa Tanzania mpya ya kidemokrasia
[emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2239237
umesahau mwenyekiti wa chama ccm ndiye rais wa jamhuri???Tatizo la ccm wanashindwa kutofautisha serikali na chama hasa katika mfumo wa vyama vingi, state house sio mali ya CCM,Ile ni ya watanzania wote,na ccm waelewe kuwa center of power ipo Lumumba sio ikulu, upumbavu unasumbua mno
Ndo sababu ya sarakasi hizo mjengoni, naye anajitengenezea destinySpeaker
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.
Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia
Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.
View attachment 2239281