Musukuma: Leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana. Amuimbia Samia Bungeni

Musukuma: Leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana. Amuimbia Samia Bungeni

Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.

View attachment 2239281

Haoni aibu kusema Mbowe ameenda ikulu Mara nyingi kuliko makamu wa Rais au waziri mkuu
 
Wabunge wengi wa CCM haamna anayetaka chadema ifanikiwe maana uchaguzi ukiwa huru hawana uhakika na ubunge wao
 
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.

View attachment 2239281
Mbowe akijikomba IKULU ni sawa lakini Lipumba akijikomba IKULU inakuwa nongwa
 
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.

View attachment 2239281
Takataka darasa la Saba mavi
 
Wasukuma wanaumia sana kuona nchi inaanza kuelekea kwenye haki
 
ukimaanisha kwamba waziri mkuu ni mtoro hahudhurii vikao vya baraza la mawaziri?
Elimu muhimu, watu wanafikiri Baraza la mawaziri ni kama Baraza la Eid, lazima litangazwe na mapichapicha!

Tupeane elimu aisee! General studies, social studies tokea primary!
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa.
 
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.

View attachment 2239281
Huyu Mzee mnafiki sana Mwaka 2015 wakati Lowassa anazindua Kampeni zake kukusanya Wadhamini kila Mkoa Ccm Msukuma alienda Arusha kwenye huo Uzinduzi wa Lowassa
Lowassa alipokatwa Jina Huyu Msukuma akamkimbia LOWASSA Ona Unafiki wa huyu mzee

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la ccm wanashindwa kutofautisha serikali na chama hasa katika mfumo wa vyama vingi, state house sio mali ya CCM,Ile ni ya watanzania wote,na ccm waelewe kuwa center of power ipo Lumumba sio ikulu, upumbavu unasumbua mno
Darasa la 7 shida sana Magufuli aliwadanganya kuwa IKULU ni Jengo la CCM tu leo MSUKUMA akiona MBOWE ameenda IKULU na huku Sio Ccm MOYO wake Unataka KUPASUKA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ila binadamu ni wanafiki, hawa waliokuwa wako tayari kumfia marehemu leo wanasifu na kuimba
 
Elimu muhimu, watu wanafikiri Baraza la mawaziri ni kama Baraza la Eid, lazima litangazwe na mapichapicha!

Tupeane elimu aisee! General studies, social studies tokea primary!
ni shida sana. vijana wa ccm wana hitilafu kubwa
 
Hiyo ndio athari ya kuwa na Bunge la Kijaniiiiiii...
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.
Hi
 
Musukuma: Kwa uongozi wa mama Samia, sio wanawake tu wanaoufurahia, hata sisi wanaume tunamfurahia sana hata vyama vya upinzani.

Hebu angalia, leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana lakini amepata nafasi ya kuingia na kutoka zaidi ya mara tano, hongera sana mama Samia

Mbunge Musukuma alikuwa akichangia hoja ya tuzo lakini alizimiwa mic baada ya kuimbisha bunge wana imani na Samia akidai wasukuma wakifurahi hawana maneno mengi wala hawaruki sarakasi badala yake wanaimba.

View attachment 2239281
Haka kajamaa ni shida. Ni muumini wa vurugu za awamu ya 5, kwa Rais Samia kurejesha mshikamano wa Kitaifa, haka kajamaa kanaumia balaa.
 
Tatizo la ccm wanashindwa kutofautisha serikali na chama hasa katika mfumo wa vyama vingi, state house sio mali ya CCM,Ile ni ya watanzania wote,na ccm waelewe kuwa center of power ipo Lumumba sio ikulu, upumbavu unasumbua mno
Utaimba utachoka, ona hata vikao vya CCM vilifanyiwa Ikulu ndo ujue hawajui jutofautisha.
 
Back
Top Bottom