Musukuma: Leo Mbowe ndio anaongoza kwenda Ikulu, najua alipamiss sana. Amuimbia Samia Bungeni

Msukuma na mjini wapi na wapi? Kutokea geita na kununua kiwanja mikocheni au kinondoni haimaanishi unaujua mji, mji una code zake ambazo makonda kamwe hatozijua isipokua nape anaishi nazo

Namnanga yeye maana ni mshamba au tuseme kakulia zizini na mwenzie mpiga debe
 
Nani anajali?

Muhimu pesa ipo ni kuchota tu na kugawia wachache 'wanaotupigia' kelele wakati wa kula ili kuwaziba au wawe sehemu yetu. Ni uongo kudhani kuna mtu anapambana kufika pale kwa ajili ya wengine, huku ni kujiongopea sana.
 
Nani anajali?

Muhimu pesa ipo ni kuchota tu na kugawia wachache 'wanaotupigia' kelele wakati wa kula ili kuwaziba au wawe sehemu yetu. Ni uongo kudhani kuna mtu anapambana kwa ajili ya wengine, huku ni kujiongopea sana.

..tunadanganyana.

..tishio ni maskini wanaoongezeka kila kukicha.
 
Namnanga yeye maana ni mshamba au tuseme kakulia zizini na mwenzie mpiga debe

Mbowe mtoto wa mjini yaani sehemu mfano awepo mbowe na joe kusaga halafu sehemu nyingine awepo msukuma na makonda utajua yupi mtoto wa mjini, halafu mbowe kuingia ikulu hajaingia ukubwani hata Baba yake wa ubatizo ni Nyerere so viwanja vya ikulu au kuhang na wakubwa hajaanza leo, sawa na zitto na mbowe utaelewa mwanakijiji ni yupi na wamjini ni yupi
 
..Joseph Musukuma ameishaasi Sukuma Gang.

..sasa hivi kahamia kundi la Msoga.

..Na nilimsikia akiwatetea kwamba hawakuhusika na kifo cha Jiwe.
 

What’s wrong with you guys
Mbona lugha zinagongana sana humu
Mimi namuongelea msukumu sio Mbowe
Sorry kama hukuelewa hivyo
 
Leo ndio nimeamini Msukuma anatumia kijiti sio bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…