Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #381
Well saidyaani wewe jamaa una viroja Sana una taka kutuaminisha Ile divai waliyotumia Waisrael enzi zile haikua pombe nani kakudanganya Kwa taarifa Yako ukiona neno divai kwenye bible hua hio ni pombe tu kama unabisha Nenda kasome kuhusu utamaduni wa Watu wa mashariki ya kati kutumia Divai Kwa kiingereza Wine 🍷
Nakumbuka wakati napata ekaristi ya kipaimara pale chuo kikuu mlimani ndo niliijua divai ni pombe tena iliyo bora kabisaYes kaka. Jana nilikunywa ALTAR wine (divai ya madhahabuni) nikalewa.
Nilikuwepo nilimletea nuhu mjaniNuhu alituma nadhani kunguru/ huwa akaleta mjani (ndio msuba wenyewe)
Guess what happened
Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya miaka 18, kunywa kistaarabu.
Mkojo wa gambe ndio najisiUkiondoa kifungu hicho,pia kuna neno linasema "kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi,na sio kimuingiacho".
Tatizo dini zetu ni mapokeo kutoka Kwa wazungu,alafu sisi tunaamini tunaijua(dini/biblia) kuliko wao waliotuletea.
Ndio maana leo makanisa mengi yanahubiri mafanikio,fungu la kumi nk.
Imani na upendo vimewekwa Kandi kama sio msingi wa ukristo,yaani kumjua,kumwabudu na kumtumikia MUNGU sio jambo la msingi.
Mimi naamini kuna mahali tumekengeuka.
Tafuta kwanza tofauti ya pombe na divai
Kama imani yako na kitabu chako ina kuruhusu wewe kunywa tu hamna namna, mbona mzee wa upako naksia fresh tu (nyagi) ila upande wenu mkuu ni waoga snaUkisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.
Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.
Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.
Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
Ninaendelea kukuombea uache unywaji wa mapombe yanakuzeesha vibayaUkisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.
Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.
Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.
Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
Mkuu, unajua maana ya Pombe?Ukisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.
Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.
Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.
Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
How High - Methodman and RedmanNakumbuka wakati napata ekaristi ya kipaimara pale chuo kikuu mlimani ndo niliijua divai ni pombe tena iliyo bora kabisa
Hizi zinazo ongoza kuingizia mapato serikaliMkuu, unajua maana ya Pombe?
Ok. Je Divai isiyokuwa na Kilevi (Alcohol) ni POMBE?Hizi zinazo ongoza kuingizia mapato serikali
Mkuu, Je Divai isiyokuwa na Kilevi (Alcohol) ni POMBE?Baada ya kubariki Yesu alikuwa wa kwanza kuonja. Akaona ni nzuri akaomba aongezewe, leo hii useme pombe ni dhambi. Walokole mtafakari kwa hili.
Hakuna Divai isiyo na kilevi enzi zile, hapakuwa na technologia ya kuhairisha fermentation.Ok. Je Divai isiyokuwa na Kilevi (Alcohol) ni POMBE?
Mkuu, kama hakukua na teknologia ya kuhairisha fermentation unathibitisha vipi kwamba Divai aliyoiombea Bwana Yesu ilikua na Kilevi (Alcohol)?Hakuna Divai isiyo na kilevi enzi zile, hapakuwa na technologia ya kuhairisha fermentation.
Mkuu, kwenye huu mstari kuna sehemu amesema "Akinywa Pombe"?Mimi mwana wa Adamu nimekuja nikila na kunywa