Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

yaani wewe jamaa una viroja Sana una taka kutuaminisha Ile divai waliyotumia Waisrael enzi zile haikua pombe nani kakudanganya Kwa taarifa Yako ukiona neno divai kwenye bible hua hio ni pombe tu kama unabisha Nenda kasome kuhusu utamaduni wa Watu wa mashariki ya kati kutumia Divai Kwa kiingereza Wine 🍷
Well said
 
Ukiondoa kifungu hicho,pia kuna neno linasema "kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi,na sio kimuingiacho".

Tatizo dini zetu ni mapokeo kutoka Kwa wazungu,alafu sisi tunaamini tunaijua(dini/biblia) kuliko wao waliotuletea.

Ndio maana leo makanisa mengi yanahubiri mafanikio,fungu la kumi nk.

Imani na upendo vimewekwa Kandi kama sio msingi wa ukristo,yaani kumjua,kumwabudu na kumtumikia MUNGU sio jambo la msingi.

Mimi naamini kuna mahali tumekengeuka.
Mkojo wa gambe ndio najisi
 
Ukisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.

Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.

Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.

Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
Kama imani yako na kitabu chako ina kuruhusu wewe kunywa tu hamna namna, mbona mzee wa upako naksia fresh tu (nyagi) ila upande wenu mkuu ni waoga sna
 
Ukisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.

Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.

Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.

Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
Ninaendelea kukuombea uache unywaji wa mapombe yanakuzeesha vibaya
 
Ukisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.

Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.

Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.

Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?🥃🥂🍻🍺🍷
Mkuu, unajua maana ya Pombe?
 
Baada ya kubariki Yesu alikuwa wa kwanza kuonja. Akaona ni nzuri akaomba aongezewe, leo hii useme pombe ni dhambi. Walokole mtafakari kwa hili.
 
Hakuna Divai isiyo na kilevi enzi zile, hapakuwa na technologia ya kuhairisha fermentation.
Mkuu, kama hakukua na teknologia ya kuhairisha fermentation unathibitisha vipi kwamba Divai aliyoiombea Bwana Yesu ilikua na Kilevi (Alcohol)?
 
Majibu ya hili swali ni vyema kama mtatumia maandiko yalioandikwa kwa lugha harisi na sio tafsiri maana wenda tafsiri ikawa na mkanganyiko
 
Yesu mwenyewe alikuwa mnywaji

18 Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja na akawa hali wala hanywi nao wanasema, ‘Amepagawa na pepo’. 19 Mimi mwana wa Adamu nimekuja nikila na kunywa, nao wanasema, ‘Mta zameni mlafi na mlevi; rafiki wa watoza kodi na wenye dhambi!’ Lakini hekima huthibitishwa kwa matendo yake.”
Mathayo 11:8-19
 
Ukisema divai isiyokuwa na kilevi ni sawa na kusema mbege iliyokamuliwa leo isiyo na kilevi. Kilevi kipo ndani ila bado hakijachanganya.
 
Back
Top Bottom