FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sasa upinge nini na Zanzibar wana serikali yao na bendera yao?Hakuna namna yoyote ile inayoonyesha kuwa hii namba ina uhusiano na tanzania hata kidogo. Sijui wanamaanisha nini hawa watu, na hakuna aliyepinga kuwa hivi.
Rudisha Tanganyika yako, mambo yao yanakuhusu nini wewe?