Muungano bado una shida nyingi tusidanganyane

Muungano bado una shida nyingi tusidanganyane

Hakuna namna yoyote ile inayoonyesha kuwa hii namba ina uhusiano na tanzania hata kidogo. Sijui wanamaanisha nini hawa watu, na hakuna aliyepinga kuwa hivi.
Sasa upinge nini na Zanzibar wana serikali yao na bendera yao?

Rudisha Tanganyika yako, mambo yao yanakuhusu nini wewe?
 
Unaposema tanzania bara lazima useme Tanzania visiwani, lakini unapotaka kuitaja Zanzibar ni lazima pia uitaje Tanganyika. Wazee wetu wanaogopa kulitaja jina la Tanganyika kabisa, nadhani kila aliyelitaja alikiona cha mtemakuni au alipotea kabisa.
Kumbe unajua!
 
Nia ni kuuwa Uislam na ndicho kinachompa utakatifu.

Ana lipi lingine zaidi?
Na wewe na kukaa Marekani miaka yote ile unaukubali huo ujinga? Marekani mwenyewe kashindwa kuua uislam huko kwake.

Waislam walikuwepo Tanganyika na wataendelea kuwepo.
 
Nikiwa barabarani naendesha gari, Siti yangu ya mbele alikaa mjukuu wangu wa miaka 11. Mbele yetu kulikuwa na gari Ina namba za Zanzibar kwenye number plate yenye bendera ya Zanzibar. Mjukuu akaniuliza Ile gari mbona Ina namba za tofauti na hizi zetu, ni gari kutoka nchi gani?.

Nikamwambia ni gari kutoka Zanzibar. Akauliza kwani Zanzibar sio Tanzania? Nikamwambia Zanzibar ni Tanzania. Akaendelea kusema kwani T kwenye namba za magari inamaanisha Tanzania au Tanganyika? Nikamjibu inamaanisha Tanzania. Hakuuliza tena, bali nikamuona kama vile hakuridhika na majibu yangu anaona ninamchanganya TU.

Kuna watu ndani ya muungano waliondoa super league ikaonekana ni sawa, Kuna watu walitaka bendara Yao na wimbo wao wa taifa wakaonekana wako sawa TU, Kuna watu wakataka zibaki serikali mbili ya tanzania na ya Zanzibar ikaonekana ni sawa TU. Kuna watu wanafaidi sana ndani ya muungano lakini hawataki kuweka mambo yanavyotakiwa yawe kwa sababu zao TU.
Nikiwa naendesha mjukuu aliyekaa ktk siti yangu ya mbele, we ulikuwa umesimama wakati unaendesha. Total confusion. Rudia kusoma ulichoandika. Kwa ujumla huwezi kujenga hoja ingawa huu muungano ni tunu ya Taifa na muundo wake umekubaliwa na pande zote mbili. We kafanye kazi muundo wa muungano siyo chanzo au sababu ya umaskini wako
 
Kama mtoto wa miaka 11 analiona tatizo lakini wazee kama Wasira, Pius Msekwa, Warioba, Butiku, malecela, Jakaya, Msuya, Sumaye, Bomani na wengine wengi hawakuona kuwa kuna shida katika hilo. Ila ninachokifahamu mimi ni kwamba wazanzibar wana akili nyingi sana kuliko......
We ni zuzu km mleta mada, hakuna mtoto hapo ni yeye mwenyewe. Huyo mtoto hajakutana na DFP, PT, JWTZ, SU, MT, hakuuliza hizo ni nchi gani? Nchi hii mazuzu ni mengi sana.
 
Majukumu mengine ni mbumbumbu
Nikiwa barabarani naendesha gari, Siti yangu ya mbele alikaa mjukuu wangu wa miaka 11. Mbele yetu kulikuwa na gari Ina namba za Zanzibar kwenye number plate yenye bendera ya Zanzibar. Mjukuu akaniuliza Ile gari mbona Ina namba za tofauti na hizi zetu, ni gari kutoka nchi gani?.

Nikamwambia ni gari kutoka Zanzibar. Akauliza kwani Zanzibar sio Tanzania? Nikamwambia Zanzibar ni Tanzania. Akaendelea kusema kwani T kwenye namba za magari inamaanisha Tanzania au Tanganyika? Nikamjibu inamaanisha Tanzania. Hakuuliza tena, bali nikamuona kama vile hakuridhika na majibu yangu anaona ninamchanganya TU.

Kuna watu ndani ya muungano waliondoa super league ikaonekana ni sawa, Kuna watu walitaka bendara Yao na wimbo wao wa taifa wakaonekana wako sawa TU, Kuna watu wakataka zibaki serikali mbili ya tanzania na ya Zanzibar ikaonekana ni sawa TU. Kuna watu wanafaidi sana ndani ya muungano lakini hawataki kuweka mambo yanavyotakiwa yawe kwa sababu zao TU.
 
Zanzibar imeamua kuichuna Tanganyika. Hivi kwa akili za kawaida inawezekana mtu anayetoka kwenye ki-Nchi swa na mkoa wa Tabora

Say whaaaaat?

Tema mate chini na uwaombe radhi watu wa Tabora!

Zanzibar hailingani hata na wilaya moja ya Tabora

Zanzibar kilomita za mraba 2,462

Sikonge kilomita za mraba 27,873


Zanzibar inaingia Sikonge mara kumi na moja!

Nyerere alikuwa amekunywa chakari siku anatuingiza chaka la Muungano

FBo0diTWUAQtMJU
 
Say whaaaaat?

Tema mate chini na uwaombe radhi watu wa Tabora!

Zanzibar hailingani hata na wilaya moja ya Tabora

Zanzibar kilomita za mraba 2,462

Sikonge kilomita za mraba 27,873


Zanzibar inaingia Sikonge mara kumi na moja!

Nyerere alikuwa amekunywa chakari siku anatuingiza chaka la Muungano

FBo0diTWUAQtMJU
Sasa huon tulivyo wajinga? Yaani mtu anatoka ndani eneo dogo kias hiki ndio anapewa mamlaka ya kutuongoza?.
 
Hesabu za milinganyo: Kama Zanzibar yenye watu 1+ milioni lakini in Rais wao, Makamu 2 wa Rais, Mawaziri kadhaa, mikoa 5, wilaya kadhaa, tarafa na kata kadhaa, bunge la wawakilishi, wabunge wa Muungano, nk je, Tanganyika yenye watu 60mil ilipaswa kuwa na makamu wa Rais, mawaziri, mikoa, wilaya na tarafa ngapi?. Cross multiplication.



Ni kama Wilaya moja fulani kwa Tanganyika.

Tena labda Wilaya ya mkoani maana za Dar population zake ni kubwa maradufu.
 
Hesabu za milinganyo: Kama Zanzibar yenye watu 1+ milioni lakini in Rais wao, Makamu 2 wa Rais, Mawaziri kadhaa, mikoa 5, wilaya kadhaa, tarafa na kata kadhaa, bunge la wawakilishi, wabunge wa Muungano, nk je, Tanganyika yenye watu 60mil ilipaswa kuwa na makamu wa Rais, mawaziri, mikoa, wilaya na tarafa ngapi?. Cross multiplication.



Halafu pamoja na hayo maendeleo bado , yatupasa kumrudia Mwenyezi Mungu na kujitafakali.

Huenda kuna kitu au mambo hayajakaa Sawa kihaki mahala .
 
Hakuna Tanzania kwenye dunia hii bali iko Tanganyika na Zanzibar. Zanzibar ilikuwepo kwa karne nyingi sana, inajulikana kuliko Tanzania ya 1964 tu hapa. Kwa namna nyinginge Wazanzibar wako sahihi kuibakiza nchi yao ya kihistoria. Tanzania kwao ni jina tu la maokoto, na wanaokota kwelikweli.



Hata Ulaya miungano yao haikuwahi kufuta majina halisi ya nchi wanachama.

Sijui huku kuna tatizo gani?
 
Sasa upinge nini na Zanzibar wana serikali yao na bendera yao?

Rudisha Tanganyika yako, mambo yao yanakuhusu nini wewe?
Hakuna shida yoyote Ile nyie kuwa na serikali yenu, tatizo ni kwa wazanzibar wamejaa Huku Tanganyika kwa mwamvuli wa Tanzania ambayo hamuitaki. Ondokeni basi ili tujue hamtaki kuwa Tanzania.
 
Nikiwa naendesha mjukuu aliyekaa ktk siti yangu ya mbele, we ulikuwa umesimama wakati unaendesha. Total confusion. Rudia kusoma ulichoandika. Kwa ujumla huwezi kujenga hoja ingawa huu muungano ni tunu ya Taifa na muundo wake umekubaliwa na pande zote mbili. We kafanye kazi muundo wa muungano siyo chanzo au sababu ya umaskini wako
Hiyo ni reasoning ya kitoto kabisa. Reasoning kama hiyo hutaweza kui defend siku zote na mara zote milele, Iko siku itazidiwa hoja.

Kuna mpuuzi mmoja anataka turejeshe ligi ya muungano ambayo ilikuwepo na watu kwa ulevi wa kuuchukia muungano wakajitoa kwa kudai kuwa Zanzibar ni nchi iwe na ligi yake kamili na uwanachama wa FIFA.
 
Uvunjwe haraka sn na wazanzibar warudi kwao
Mi nadhani usivunjwe, faida zipo nyingi sana. Na mara nyingi kama sio mara zote miungano ya nchi duniani huwa hairekebishwi bali inarithiwa na kulindwa kwa nguvu zote, USA, UK, China, Spain, nk Ina malalamiko mengi sana lakini ni mwiko kujadili muungano. Hapa kwetu kila siku Kuna upande mmoja ndio unautekenya muungano bila kuchukuliwa hatua, lakini upande mwingine ukiutekenya hatua zinachukuliwa mara moja.
 
Tueleweshe mkuu mm n mjukuu wangu. Ile T621 DTY kwenye namba ya gari "T" ni kifupi cha nini? na kwenye ile gari ya mbele yenye namba Z 293ABL "Z" ni kifupi cha nini? na je Z sio sehemu ya T?
Na Zanzibar Haina usajili wa Z 456 halaf zikawa herufi Zaid ya mbili yaan kama ulivyosema abl Huwa ni an,jk,hm nk
 
Hii nchi bila kujitoa ufahamu hatutafikia
Kuna watu wanafaidika sana na huo muungano na ukiligusa swala la muungano wanatoa matusi yote ya nguoni
 
Back
Top Bottom