Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Usitudanganye hawa mwaka juzi walijitoa kwenye muungano na PM wao akaachia ngazi, muungano gani huu ambao wazanzibar pekee wamejaa huku kwetu(kwenye system) sisi kule tunachukuliwa kama watalii au vibarua wao, taja faida 3 ambazo sisi Tanganyika tunazipata? ukizitaja kuanzia tarehe 1-1-2024 hutoniona JF maisha yangu yote. Nchi za wenzetu muungano unapigiwa kura na wananchi na siyo maamuzi ya kamati kuu ya CCM pekee.Mi nadhani usivunjwe, faida zipo nyingi sana. Na mara nyingi kama sio mara zote miungano ya nchi duniani huwa hairekebishwi bali inarithiwa na kulindwa kwa nguvu zote, USA, UK, China, Spain, nk Ina malalamiko mengi sana lakini ni mwiko kujadili muungano. Hapa kwetu kila siku Kuna upande mmoja ndio unautekenya muungano bila kuchukuliwa hatua, lakini upande mwingine ukiutekenya hatua zinachukuliwa mara moja.