Sasa upinge nini na Zanzibar wana serikali yao na bendera yao?Hakuna namna yoyote ile inayoonyesha kuwa hii namba ina uhusiano na tanzania hata kidogo. Sijui wanamaanisha nini hawa watu, na hakuna aliyepinga kuwa hivi.
Namheshimu kwa mema aliyoifanyia nchi; lakini kwenye muungano sitakuja kuelewa alikuwa na nini kichwani.Haswaaa.
Tatizo linakuja, Tanganyika nyerere aliiuwa.
Nia ni kuuwa Uislam na ndicho kinachompa utakatifu.Namheshimu kwa mema aliyoifanyia nchi; lakini kwenye muungano sitakuja kuelewa alikuwa na nini kichwani.
Alichofanya ni uhaini.
Kumbe unajua!Unaposema tanzania bara lazima useme Tanzania visiwani, lakini unapotaka kuitaja Zanzibar ni lazima pia uitaje Tanganyika. Wazee wetu wanaogopa kulitaja jina la Tanganyika kabisa, nadhani kila aliyelitaja alikiona cha mtemakuni au alipotea kabisa.
Na wewe na kukaa Marekani miaka yote ile unaukubali huo ujinga? Marekani mwenyewe kashindwa kuua uislam huko kwake.Nia ni kuuwa Uislam na ndicho kinachompa utakatifu.
Ana lipi lingine zaidi?
Nikiwa naendesha mjukuu aliyekaa ktk siti yangu ya mbele, we ulikuwa umesimama wakati unaendesha. Total confusion. Rudia kusoma ulichoandika. Kwa ujumla huwezi kujenga hoja ingawa huu muungano ni tunu ya Taifa na muundo wake umekubaliwa na pande zote mbili. We kafanye kazi muundo wa muungano siyo chanzo au sababu ya umaskini wakoNikiwa barabarani naendesha gari, Siti yangu ya mbele alikaa mjukuu wangu wa miaka 11. Mbele yetu kulikuwa na gari Ina namba za Zanzibar kwenye number plate yenye bendera ya Zanzibar. Mjukuu akaniuliza Ile gari mbona Ina namba za tofauti na hizi zetu, ni gari kutoka nchi gani?.
Nikamwambia ni gari kutoka Zanzibar. Akauliza kwani Zanzibar sio Tanzania? Nikamwambia Zanzibar ni Tanzania. Akaendelea kusema kwani T kwenye namba za magari inamaanisha Tanzania au Tanganyika? Nikamjibu inamaanisha Tanzania. Hakuuliza tena, bali nikamuona kama vile hakuridhika na majibu yangu anaona ninamchanganya TU.
Kuna watu ndani ya muungano waliondoa super league ikaonekana ni sawa, Kuna watu walitaka bendara Yao na wimbo wao wa taifa wakaonekana wako sawa TU, Kuna watu wakataka zibaki serikali mbili ya tanzania na ya Zanzibar ikaonekana ni sawa TU. Kuna watu wanafaidi sana ndani ya muungano lakini hawataki kuweka mambo yanavyotakiwa yawe kwa sababu zao TU.
We ni zuzu km mleta mada, hakuna mtoto hapo ni yeye mwenyewe. Huyo mtoto hajakutana na DFP, PT, JWTZ, SU, MT, hakuuliza hizo ni nchi gani? Nchi hii mazuzu ni mengi sana.Kama mtoto wa miaka 11 analiona tatizo lakini wazee kama Wasira, Pius Msekwa, Warioba, Butiku, malecela, Jakaya, Msuya, Sumaye, Bomani na wengine wengi hawakuona kuwa kuna shida katika hilo. Ila ninachokifahamu mimi ni kwamba wazanzibar wana akili nyingi sana kuliko......
Nikiwa barabarani naendesha gari, Siti yangu ya mbele alikaa mjukuu wangu wa miaka 11. Mbele yetu kulikuwa na gari Ina namba za Zanzibar kwenye number plate yenye bendera ya Zanzibar. Mjukuu akaniuliza Ile gari mbona Ina namba za tofauti na hizi zetu, ni gari kutoka nchi gani?.
Nikamwambia ni gari kutoka Zanzibar. Akauliza kwani Zanzibar sio Tanzania? Nikamwambia Zanzibar ni Tanzania. Akaendelea kusema kwani T kwenye namba za magari inamaanisha Tanzania au Tanganyika? Nikamjibu inamaanisha Tanzania. Hakuuliza tena, bali nikamuona kama vile hakuridhika na majibu yangu anaona ninamchanganya TU.
Kuna watu ndani ya muungano waliondoa super league ikaonekana ni sawa, Kuna watu walitaka bendara Yao na wimbo wao wa taifa wakaonekana wako sawa TU, Kuna watu wakataka zibaki serikali mbili ya tanzania na ya Zanzibar ikaonekana ni sawa TU. Kuna watu wanafaidi sana ndani ya muungano lakini hawataki kuweka mambo yanavyotakiwa yawe kwa sababu zao TU.
Zanzibar imeamua kuichuna Tanganyika. Hivi kwa akili za kawaida inawezekana mtu anayetoka kwenye ki-Nchi swa na mkoa wa Tabora
Sasa huon tulivyo wajinga? Yaani mtu anatoka ndani eneo dogo kias hiki ndio anapewa mamlaka ya kutuongoza?.Say whaaaaat?
Tema mate chini na uwaombe radhi watu wa Tabora!
Zanzibar hailingani hata na wilaya moja ya Tabora
Zanzibar kilomita za mraba 2,462
Sikonge kilomita za mraba 27,873
Zanzibar inaingia Sikonge mara kumi na moja!
Nyerere alikuwa amekunywa chakari siku anatuingiza chaka la Muungano
Hesabu za milinganyo: Kama Zanzibar yenye watu 1+ milioni lakini in Rais wao, Makamu 2 wa Rais, Mawaziri kadhaa, mikoa 5, wilaya kadhaa, tarafa na kata kadhaa, bunge la wawakilishi, wabunge wa Muungano, nk je, Tanganyika yenye watu 60mil ilipaswa kuwa na makamu wa Rais, mawaziri, mikoa, wilaya na tarafa ngapi?. Cross multiplication.
Hesabu za milinganyo: Kama Zanzibar yenye watu 1+ milioni lakini in Rais wao, Makamu 2 wa Rais, Mawaziri kadhaa, mikoa 5, wilaya kadhaa, tarafa na kata kadhaa, bunge la wawakilishi, wabunge wa Muungano, nk je, Tanganyika yenye watu 60mil ilipaswa kuwa na makamu wa Rais, mawaziri, mikoa, wilaya na tarafa ngapi?. Cross multiplication.
Hakuna Tanzania kwenye dunia hii bali iko Tanganyika na Zanzibar. Zanzibar ilikuwepo kwa karne nyingi sana, inajulikana kuliko Tanzania ya 1964 tu hapa. Kwa namna nyinginge Wazanzibar wako sahihi kuibakiza nchi yao ya kihistoria. Tanzania kwao ni jina tu la maokoto, na wanaokota kwelikweli.
Hakuna shida yoyote Ile nyie kuwa na serikali yenu, tatizo ni kwa wazanzibar wamejaa Huku Tanganyika kwa mwamvuli wa Tanzania ambayo hamuitaki. Ondokeni basi ili tujue hamtaki kuwa Tanzania.Sasa upinge nini na Zanzibar wana serikali yao na bendera yao?
Rudisha Tanganyika yako, mambo yao yanakuhusu nini wewe?
Hiyo ni reasoning ya kitoto kabisa. Reasoning kama hiyo hutaweza kui defend siku zote na mara zote milele, Iko siku itazidiwa hoja.Nikiwa naendesha mjukuu aliyekaa ktk siti yangu ya mbele, we ulikuwa umesimama wakati unaendesha. Total confusion. Rudia kusoma ulichoandika. Kwa ujumla huwezi kujenga hoja ingawa huu muungano ni tunu ya Taifa na muundo wake umekubaliwa na pande zote mbili. We kafanye kazi muundo wa muungano siyo chanzo au sababu ya umaskini wako
Mi nadhani usivunjwe, faida zipo nyingi sana. Na mara nyingi kama sio mara zote miungano ya nchi duniani huwa hairekebishwi bali inarithiwa na kulindwa kwa nguvu zote, USA, UK, China, Spain, nk Ina malalamiko mengi sana lakini ni mwiko kujadili muungano. Hapa kwetu kila siku Kuna upande mmoja ndio unautekenya muungano bila kuchukuliwa hatua, lakini upande mwingine ukiutekenya hatua zinachukuliwa mara moja.Uvunjwe haraka sn na wazanzibar warudi kwao
Na Zanzibar Haina usajili wa Z 456 halaf zikawa herufi Zaid ya mbili yaan kama ulivyosema abl Huwa ni an,jk,hm nkTueleweshe mkuu mm n mjukuu wangu. Ile T621 DTY kwenye namba ya gari "T" ni kifupi cha nini? na kwenye ile gari ya mbele yenye namba Z 293ABL "Z" ni kifupi cha nini? na je Z sio sehemu ya T?
Nyerere alikuwa mnafiki sana.Aliua Tanganyika kwa maslahi yaoNyerere alikosea sana ingepaswa iwe nchi moja