Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Kuna mambo mengi kwenye muungano wa tanganyika na zanzibar ambayo yanaumeza kichwa; baadhi ni....
1. Kuna Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar, kwanini Tanzanyika hawana Rais?
2. Kuna katiba ya Tanzania na Zanzibar wana katiba yao. Kwanini Tanganyika hawana?
3. Kuna bunge la Tanzania na Zanzibar wana bunge lao kwanini?
....ongeza mengine yanayokutatiza.