wlikuja wakongo kununuwa ijekuwa watu pori watanganyika let au goooo
I heard these guys has a huge stake in US decision making, is it right ....!?That's true, that's why I'm sayin let's cut them loose, I don't need this union, do you? It's only a bunch of moron politician.
kwanini mmevunja muungano na kujitungia katiba ndani ya muungano
.watanganyika wengi hawana uelewa wa mambo ya muungano wala hawajui dunia inaendaje. muungano ukivunjika cyo kwamba waznz wataambiwa rudin kwenu,kutakuepo na sheria na wao wakiweza kuishi km wageni watakaa na wakishindwa watasepa. wengi wa watanganyika wanataka znz itawaliwe na tanganyika ndo muungano utakuwa salama, hilo msaau.watanganyika weng wanamuabudu nyerere km mungu, eti ukivunjika muungano wapemba na waunguja watatengana, hilo msahau, waznz wote ni ndugu na wanaunganishwa na uislam, ni vitisho vya laanatullah nyerere akiwatisha ccm wa zenj aendelee kuwatawala, watanganyika wana chuki kubwa na uislam ndo tatizo liliopo, km mna akili za kutosha msililizeni tundu lissu anaongea nn kuhusu muungano ndo mje mlete utumbo weni humu.
Umeshasema "madaraka ya Rais wa Jamhuri wa Muungano". Hapo kinachokusumbuwa ni nini? Ni nani alikwambia kuwa kutakuwa na Marais watatu?
Isitoshe, kwani hivi sasa Rais wa Muungano wa Tanzania akitangaza hali ya hatari Rais wa Zanzibar anaweza kupinga? Mawee!
Kumbuka kuwa hata ikitokea kukawa na Marais watatu, bado Rais wa Muungano hatatangaza hali. Ya hatari bila kushauriana na washauri wake wa karibu, na hao Marais wasio wa Muungano ndio watakuwa kati ya washauri wake muhimu. Kwa hiyo kila maamuzi yanaihusu nchi ni lazima washauriane kwanza ingawa yeye ndiye mwenye madaraka ya kutangaza hali ya hatari kwa nchi.
Elewa kuwa Urais ni taasisi.
kama watanganyika ni watu pori je ninyi tuwaitaje watu wasio na shukrani? Je jamhuri ya watu wa zanzibar ilikuwa na umri wa miaka mingap kabla hamjaporwa na mtu pori wew mshamba sana hujui watanganyika. kama ni mtu pori alikuingizeje mkenge mpaka unalilia. una kichwa kama cha kuku kweli.
Hata kama ilidumu kwa masaa 24 dunia nzima ilitambua uwepo wa JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR...!! labda hao WATU PORI wa Tanganyika ndio wasiolijua hilo, wanahisi Zanzibar kama ni mali ya bwana wao Nyerere!! shenz yule!!
Kweli huna akili wewe kuzika tanganyika ndio lengo na zanzibar ilikuwa kwenye hatua ya kuwa mkoa kumbe muungano maana yake basi?
Hivi hawa watanganyika waliwahi kupewa kiti pale UN?coz huziona picha za kiti cha zanzibr tu.
mimi nimetoa kitu kitakachokea ila faida ya muungano utaiona siku muungano ukivunjika kama wewe wazenji watapata ndio wataopata shida zaidi itakuwa kama urusi na jimbo la cremia kutaka kujiuunga na urusi maana angalia ukubwa wa tanganyika na zanzibar kibiashara wataathirika sana sidhani kama chakula watajiweza wasije tanganyika mpakani lazima watozwe sawasawa.
.
jamhuri ya watu wa zanzibar ilikuwa kama nchi kwa miaka mingapi alafu ndipo utajua sisi watanganyika tunachosema tunajua sio nyie na udini wenu mpaka umewapofusha wala hamwezi kufikiri vizuri. Eti sisi ni wamoja wakati wa mchakato wa kukusanya maoni wapemba hajadai nchi yao? kwamba kuwe na jamhuri ya pemba wewe unatoka wap kasome historia yako kwanza sio kwamba unakurupuka kama mtu aliyetoka usingizini.
mimi nimetoa kitu kitakachokea ila faida ya muungano utaiona siku muungano ukivunjika kama wewe wazenji watapata ndio wataopata shida zaidi itakuwa kama urusi na jimbo la cremia kutaka kujiuunga na urusi maana angalia ukubwa wa tanganyika na zanzibar kibiashara wataathirika sana sidhani kama chakula watajiweza wasije tanganyika mpakani lazima watozwe sawasawa.
ri kutawaliwaVery good words je katiba ya zanzibar wataifanyaje maana iko juu ya katiba ya muungano.
Katiba ya Zanzibar haina matatizo isipokuwa Watanganyika ndio wenye matatizo. Niambie Kwa kubadilishwa Katiba ya Zanzibar, Watanganyika imewaathiri nini? Tafadhali niambie kilichozidi au kupungua upande wenu tangu hiyo katiba ibadilishwe?
Alafu muungano asili Sasa yake ni watu wa maeneo yanayoungana mwanzoni hakukuwa na shida mpaka hivi karibuni lakini viongozi wa zanzibar walipotaka na wao wawe wanaenda umoja wa mataifa na kutembelea nchi mbalimbali dunian kama anavyofanya kikwete wakaanza kuwashawishi wazanzibar na wakashawishika.
Wewe unajuwa asili ya muungano? Mwanzo wa muungano tukitaka kuja Tanganyika basi lazima tuombe paspoti na hakuna kinachoenda au kurudi pande mbili hizi. Rais wa Zanzibar akiongoza mwenyewe vikosi vya ulinzi vilivyoko Zanzibar. Ilikuwa wahalifu wa Zanzibar wanafanya maficho huko Tanganyika. Nyerere alikuwapo na chama kilikuwepo lakini hawakusema nyoko!
Sasa nieleze cha ajabu nini kuwepo mabadiliko katika mfumo wa muungano iwapo hauwafai Wazanzibari?
maana ukiangalia kwa makini wazenji hawabughudhiwi hapa tanganyika wanafanya kila kitu wanavyotaka ila sio watanganyika zanzibar wanatunyanyasa na hii imekuja baada ya kuaminishwa na viongozi kwamba hao ndio waliotusababishia umaskini.Ebu Angalia wanapanga bajeti yao wenyewe hakuna anayewaingilia wana bunge lao hakuna anayewaingilia je umaskini wao sisi watanganyika tunausababishaje?
Ulishawahi kufika Zanzibar? Kama kweli Watanganyika wananyanyaswa wangejaa wamachinga kule? Mbona tunaishi nao vizuri Watanganyika? Laiti ungejuwa maana ya Uzanzibari basi ungefahamu kuwa malalamiko hayo ni ya uongo. Tatizo ni kuwa kuna Watanganyika wenye kuleta mambo yasiyofaa kwa jamii na hawa ndio wanaolalamika kunyanyaswa. Nafikiri hao unaowaita Wazenj wangekuwa na tabia inayokera basi wasingeishi kwa raha na kukubalika.
Yaani ikifika hapo utajua kwamba madai yao hayana mashiko kama kuna lingine ebu mtufumbue sisi watanganyika tunawasabishaje maskini wa wazenji?
hawaezi kupambana na umma inagawa mfa maji haachi kutapatapa
Hapana ndugu yangu kama wewe ni mhehe utakuwa mhehe je alishashambuliwa mtu huku tanganyika eti ni mluguru au mchaga au mpemba ila ukienda zanzibar wao wako wazi hawatupendi mpaka wanasema mwislamu wa tanganyika si mwislamu kamili umeshaona comred hao wazenj wana mambo ya ajabu sana
Taso,How?
Muungano unalinda usalama kivipi?
Mmetukaribishaje wakati haturuhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar kisheria?