Muungano wa Vyama 14 vya Siasa kuongea na vyombo vya Habari

Muungano wa Vyama 14 vya Siasa kuongea na vyombo vya Habari

Hii sanaa wanayofanya CCM mbona imeshapitwa na wakati. Kuwakodi hawa vibaka ambao katika uhai wa vyama vyao hawajawahi kupata hata Mwenyekiti wa kitongoji kuja kuishambulia Chadema ni ushamba uliokithiri.
 
Hakuna kitu hapo. Wanaonekana wamepigika njaa kuanzia kwenye nyayo zao hadi utosini mwao.
Ovyooooooo kabisa.
 
Leo wataongea na vyombo vya Habari.
=================
Hotuba nzima ilikuwa ni kumjibu Mnyika na CHADEMA badala ya kuzungumzia ripoti ya Kikosi Kazi.

View attachment 2395271

"Tumesikiliza taarifa ya @ChademaTz ikielezea kupinga taarifa ya kikosi kazi, tunachoweza kusema kwa sasa, CHADEMA wamejawa na ubinafsi, choyo na wivu mkubwa kuona Tanzania ikiwa kwenye maridhiano huku wao wakiwa nje ya mchakato wa kupatikana kwa maridhiano hayo" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Mhe. Rais @SuluhuSamia amesema wazi kuwa maoni sio amri kwa serikali, wapo wanaokosoa kauli hiyo, nani aliyekwambia maoni ni amri, maoni yanakuwa amri baada ya kutungiwa kanuni na sheria" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Kimsingi tumeshangazwa na viongozi wa kisiasa na moja ya chama cha siasa kupinga ripoti ya kikosi kazi kilichoundwa na Mhe. Rais @SuluhuSamia, sidhani kama kupinga kule ni kauli ya chama, kwa tunavyofahamu tamko la chama linatokana na vikao vya chama" @BulenduDotto

"Kitendo cha chama cha siasa kupinga jambo ambalo hata hujalisoma, hujui nini kipo ndani yake, hili pekee ni tatizo kubwa. Kwani, hadi sasa taarifa iliyotolewa kwetu wananchi na wajumbe wa kikosi kazi ni muhtasari tu, unawezaje kusema ni mbaya na wananchi msiipokee" @DoyoHassan.
Jogoo atataga mayai mwaka huu
 
CDM kwa aina yao ya siasa ndio kinaifanya CCM isiweze kulala, na kwa kiasi kikubwa kinaifanya CCM izidi kutumia vyombo vya dola, maana nje ya vyombo vya ni lazima ipotee kama KANU ya Kenya. Ni Mbowe tu alizengua kwa kwenda ikulu kupoteza muda.
Ila kwa mazingira yale ya kutolewa gerezani chini ya ulinzi mkali kisha kuambiwa Mh Rais ana mazungumzo muhimu nawe Ikulu. Lazima ungeenda hata kama ungekuwa wewe.
 
Nadhani Sasa Tanzania turuhusu coaliation parties. Ili tujue vyama vipi vinaiunga mkono CCM Hadi kwenye uchaguzi. Sio huu unafiki wa kujiita vyama vya upinzani wakati kazi yenu ni kuisifia CCM na serikali yake kuliko hata shaka mwenyewe.
Kwani tofauti ya "coalition' ipo wapi hapo mkuu 'econonist'; kwani hawa hawapo kwenye 'coalion' na CCM, au kwa vile wanajitambulisha kwa "jina la vyama vya upinzani"?

Hawa wapo kwenye muungano na chama tawala, na maslahi yao yanatokana na CCM. Wanachoshindwa wao kudai ni haki ya kuwa ndani ya serikali, yaani wapewe vyeo huko kama washiriki tu bas!

Hapana, hata katika hilo nadhani sipo sahihi kwa sababu nimemkumbuka yule mama Queen Sendinga, na mwenzake marehemu Mgwira.
Kabwe (Zitto) anajitahidi sana huenda karibuni akateuliwa huko.

Kwa hiyo "coalition" tayari tunayo inafanya kazi, ila washirika wake ndio bado hawapeani haki sahihi kwa ushirika wao.
 
Ila kwa mazingira yale ya kutolewa gerezani chini ya ulinzi mkali kisha kuambiwa Mh Rais ana mazungumzo muhimu nawe Ikulu. Lazima ungeenda hata kama ungekuwa wewe.
Kwa nini iwe "lazima"?
Inawezekana sana hapa ndipo Mbowe alipopotezea 'step', lakini si jambo zito la kumpotezea dira nzima ya uamini wake na uamzi wa yapi yanayofaa kwa chama chake.
 
Leo wataongea na vyombo vya Habari.
=================
Hotuba nzima ilikuwa ni kumjibu Mnyika na CHADEMA badala ya kuzungumzia ripoti ya Kikosi Kazi.

View attachment 2395271

"Tumesikiliza taarifa ya @ChademaTz ikielezea kupinga taarifa ya kikosi kazi, tunachoweza kusema kwa sasa, CHADEMA wamejawa na ubinafsi, choyo na wivu mkubwa kuona Tanzania ikiwa kwenye maridhiano huku wao wakiwa nje ya mchakato wa kupatikana kwa maridhiano hayo" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Mhe. Rais @SuluhuSamia amesema wazi kuwa maoni sio amri kwa serikali, wapo wanaokosoa kauli hiyo, nani aliyekwambia maoni ni amri, maoni yanakuwa amri baada ya kutungiwa kanuni na sheria" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Kimsingi tumeshangazwa na viongozi wa kisiasa na moja ya chama cha siasa kupinga ripoti ya kikosi kazi kilichoundwa na Mhe. Rais @SuluhuSamia, sidhani kama kupinga kule ni kauli ya chama, kwa tunavyofahamu tamko la chama linatokana na vikao vya chama" @BulenduDotto

"Kitendo cha chama cha siasa kupinga jambo ambalo hata hujalisoma, hujui nini kipo ndani yake, hili pekee ni tatizo kubwa. Kwani, hadi sasa taarifa iliyotolewa kwetu wananchi na wajumbe wa kikosi kazi ni muhtasari tu, unawezaje kusema ni mbaya na wananchi msiipokee" @DoyoHassan.
CHADEMA Wana akili sana kuliko chama chochote hapa Tanza-nia, acha ukweli usemwe
 
Leo wataongea na vyombo vya Habari.
=================
Hotuba nzima ilikuwa ni kumjibu Mnyika na CHADEMA badala ya kuzungumzia ripoti ya Kikosi Kazi.

View attachment 2395271

"Tumesikiliza taarifa ya @ChademaTz ikielezea kupinga taarifa ya kikosi kazi, tunachoweza kusema kwa sasa, CHADEMA wamejawa na ubinafsi, choyo na wivu mkubwa kuona Tanzania ikiwa kwenye maridhiano huku wao wakiwa nje ya mchakato wa kupatikana kwa maridhiano hayo" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Mhe. Rais @SuluhuSamia amesema wazi kuwa maoni sio amri kwa serikali, wapo wanaokosoa kauli hiyo, nani aliyekwambia maoni ni amri, maoni yanakuwa amri baada ya kutungiwa kanuni na sheria" @DoyoHassan, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Baraza la Vyama vya Siasa nchini

"Kimsingi tumeshangazwa na viongozi wa kisiasa na moja ya chama cha siasa kupinga ripoti ya kikosi kazi kilichoundwa na Mhe. Rais @SuluhuSamia, sidhani kama kupinga kule ni kauli ya chama, kwa tunavyofahamu tamko la chama linatokana na vikao vya chama" @BulenduDotto

"Kitendo cha chama cha siasa kupinga jambo ambalo hata hujalisoma, hujui nini kipo ndani yake, hili pekee ni tatizo kubwa. Kwani, hadi sasa taarifa iliyotolewa kwetu wananchi na wajumbe wa kikosi kazi ni muhtasari tu, unawezaje kusema ni mbaya na wananchi msiipokee" @DoyoHassan.
Njaa haijawahi kumuacha mtu salama,hivi vyama ni uchafu tu havina hata diwani,kazi yao ni kuunga mkono juhudi za ccm Ili wapewe pesa za kuendeshea maisha,njaa mbaya sana.
 
Ila kwa mazingira yale ya kutolewa gerezani chini ya ulinzi mkali kisha kuambiwa Mh Rais ana mazungumzo muhimu nawe Ikulu. Lazima ungeenda hata kama ungekuwa wewe.

Angefika na asiongee lolote. Tumeona watu wakisusia hadi kula, itakuwa chini ya ulinzi mkali?
 
Kwani tofauti ya "coalition' ipo wapi hapo mkuu 'econonist'; kwani hawa hawapo kwenye 'coalion' na CCM, au kwa vile wanajitambulisha kwa "jina la vyama vya upinzani"?

Hawa wapo kwenye muungano na chama tawala, na maslahi yao yanatokana na CCM. Wanachoshindwa wao kudai ni haki ya kuwa ndani ya serikali, yaani wapewe vyeo huko kama washiriki tu bas!

Hapana, hata katika hilo nadhani sipo sahihi kwa sababu nimemkumbuka yule mama Queen Sendinga, na mwenzake marehemu Mgwira.
Kabwe (Zitto) anajitahidi sana huenda karibuni akateuliwa huko.

Kwa hiyo "coalition" tayari tunayo inafanya kazi, ila washirika wake ndio bado hawapeani haki sahihi kwa ushirika wao.

Nimekuelewa mkuu
 
Tatizizo kubwa ni kudhani kuwa CHADEMA inaq hatimiliki ya nembo "upinzani". Wasiposema wao au wakipingwa basi wapingaji ni tawi la CCM. Nchi nyingi, inaposhindikana kukliondoa chama tawala madarakani, huwa vyama vyote vya upinzani vinaungani na kufanya kazi pamoja. Lakini kwa uchu wa madaraka kama ilivyo CCM, CHADEMA inataka ifanye hiyo kazi peke yake itwae uongozi.

Ni muhimu CHADEMA ijue kuwa bila kufanya kazi na vyama vingine vya siasa na kuendelea kuvibeza hivyo vyma ndiyo furaha ya CCM. Pasipo upinzani kufanya kazi pamoja na kudhani kuwa CHADEMA peke yake itatoboa, ni ndoto za mchana.

CHADEMA inazidiwa kete na CCM, maana CCM siku zote inaombea mfarakano kwenye upinzani. Katika vyama vyote CUF kilikuwa chama pekee kilichokuwa na nguvu kubwa hasa kule Zanzibar. Ilichokifanya CCM kila mtu anajuwa, sasa CUF ni karibu marehemu. CCM pia imekuwa ikiichakaza CHADEMA mdogomdogo. Migogoro mingi ndani ya CHADEMA, kama vile kuondoka/kufukuza kwa Zuberi na wengineo amao walikijenga CHADEMA haukosi mkono wa CCM. Lakini CHADEMA hili hawalioni. Wao kila kukicha ni kutaka kujiona ndiyo upinzani pekee na hivyo vyama vingine havina kitu.

Nafikiri tatizo kubwa ni uroho wa madaraka na kujitakia misifa. CHADEMA wanateka ikiwezekana washinde kura na washike nchi peke yao, maana wakiungana ukipatikana ushindi, inabidi wagawane vyeo. Ni hatari kuwategemea wanasiasa wachache na kuwaabudu kama Mungu, kudhani peke yao ndiyo wataleta mafanikio. Acheni kubeza vyama vingine. Kaeni navyo mpange mikakati ya kuiondoa CCM kwenye madaraka, lakini hii ya kufikiria CHADEMA pekee itafanikiwa ni ndoto. Sana saana mtaishia kupata ruzuku na kulipana mishahara, lakini kushika nchi hamtaweza bila kushirikiana na vyama vingine vya upinzani.
In short and brief, kwa akili yako katika situation hili, unaweza kutuambia;

✓ Ni nani kati CHADEMA na hivyo vyama 14 vya msimu wa uchaguzi haitaki kuungana na mwenzake..?

✓ Kimantiki, unadhani hao hapo waliofanya PC hiyo leo walikuwa wakiwakilisha vyama vilivyo nje ya serikali (upinzani) au vilikuwa vinasaidia kusukuma mbele mikakati na hila za CCM ambayo naona na wewe kama unatamani iondolewe madarakani...?

Hebu jibu maswali hayo kama umeelewa...
 
Msafara wa nyani na tumbili wamo.
Hawa ni wale wafuasi wa Ccm kwa pazia la upinzani.
Ndio maana yule muimba mapambio ya Mama ameahirisha mkutano wake na waandishi?? Kawapa hawa makapi wakaingee kwa niaba ya Ccm
Humo ACT hawakosi!
 
Back
Top Bottom