Toka page ya kwanza sheria sheria lakini hakuna aliyeweka kifungu em kiweke kwanza kwa manufaa ya wote.Wamiliki wa shule ndio wadini ndio maana wameambiwa wafuate sheria
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kama kuvaa vazi la hijab, kufunga Ramadhan, kusoma somo la dini ya kiislam na lugha ya kiarabu ni miongozo ya Wizara katika kuendesha shule basi kuna shida mahali fulani😳Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, imeifutia usajili Skuli ya Eden inayomilikiwa na Shirika la Afrika Agape Association kuanzia Januri 3 mwakani.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara kubaini mmiliki wa Skuli hiyo kuendesha Skuli kinyume na sheria, miongozo na kanuni za Wizara.
Akizungumza na wamiliki wa Skuli hiyo huko Shakani Kaimu Mrajis wa Elimu na Katibu wa Baraza la Elimu Zuwena Mataka Hafidh, amesema kumekuwepo malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa na wazazi hali iliyopelekea Wizara kuchukua maamuzi hayo.
Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu.
Malalamiko mengine amesema kupandishwa ada bila ya utaratibu, kutokuwa na mashirikiano mazuri baina ya wazazi, walimu na mmiliki wa skuli na mmiliki huyo kuendesha skuli kwa hisia zake binafsi.
Aidha amebainisha kuwa malengo ya Wizara sio kuifutia leseni Skuli hiyo bali ni kuhakikisha inafuata sheria na miongozo ya Serikali katika kuendesha Skuli yao.
Kaimu Zuwena, amebainisha kuwa mmiliki wa Skuli hiyo amekuwa mgumu kufuata sheria na miongozo ya Wizara na kuendesha Skuli yake anavyotaka yeye jambo ambalo halivumiliki.
“Haiwezekani Skuli kuendeshwa bila ya kufuata miongozo ya Wizara kwani tuna skuli 590 hatutakuwa tayari kuona mmiliki yoyote wa skuli binafsi anakwenda kinyume na utaratibu na hatutasita kuchukua hatua,” amesisitiza.
Hata hivyo, amesema Skuli hiyo imekuwa ikifatiliwa mara kwa mara na kupewa maagizo ya kurekebisha kasoro hizo lakini haizingatii maagizo anayopewa na badala yake kuendelea kuendesha skuli kinyume na sheria.
Amesisitiza kuwa skuli yoyote ya binafsi inatakiwa kufuata sheria, miongozo na mambo mbalimbali yanayotolewa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.
Nae Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mjini Magharibi, Amosi John Henock, amesema toka skuli hiyo kusajiliwa mwaka 2010 imekuwa ikijitokeza migogoro baina ya mmiliki na jamii pamoja na kushindwa kujirekebisha baadhi ya kasoro ambazo alitakiwa kuzifanyia kazi.
Aidha amesema Skuli hiyo imeshawahi kufungiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud na kutakiwa kurekebisha kasoro zilizoonekana lakini aliendelea kukaidi.
Amesisitiza kuwa Skuli hiyo haitaendelea kufundisha mpaka pale itakapokubali kwenda sambamba na maagizo ya Serikali katika kuwapatia watoto elimu.
Amesema hata katiba ya Zanzibar imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hapaswi kufanya jambo lolote kwa lengo la ubaguzi wa moja kwa moja ama kwa taathira yake.
Kwa upande wake Sheha wa Shehia ya Shakani bi Mwanaisha Khamis Rashid amebainisha kuwa mara nyingi amekuwa akikaa na uongozi wa Skuli hiyo katika uendeshaji elimu kwa kufuata miongozo na mitaala ya Wizara lakini hakuifuata.
Nae mmiliki wa skuli hiyo bwana Youung Am Kim ameahidi kuheshimu maamuzi ya Wizara ya Elimu ya kutofungua Skuli na hiyo na kuwajuillisha wazazi juu ya suala hilo.
Aidha amesema atahakikisha anafuata sheria ya elimu ya Zanzibar na kuondoa changamoto ambazo zinalalamikiwa kupitia Skuli yake.
Akizungumza kwa niaba ya walimu wenzake Mwalimu Ummy Aga amesema wameweka jitihada binafsi kwa wanafunzi wao kuona wanafanya vizuri katika mitihani yao na kujipima katika ufundishaji lakini kufutwa kwa Skuli hiyo imeondosha ndoto yao kwa Wanafunzi wao.
Usiwapangie mkuu, waache wafanye wayatakayoNyie mna sharia bana aya kuweni kama Afganstani bas
Mkuu ukisema hao waislam hawajaona shule zingine nami ntakwambia kwani huyo muwekezaji hajaona sehemu zingine za kuwekeza hadi aende znzKwani wanajitungia wao mtihani wa taifa? Na hao Waislmu wamekosa shule zao mpka waende kwa wanaowaita makqwafir au ndo baniani mbya kiatu chake daawah,
ila watajuana wenyewe
Mkuu mbona unaangalia ulipoangukia na sio ulipojikwaa? Huyo muwekezaji alipewa masharti ya kuwekeza na akayakubali kwanini ayageuke? Aje bara awekeze mbona manafasi yapo ya kutosha? Muwekezaji afate sheria za znz zinavyotakaTatizo siyo uzanzibar, tatizo ni udini.Hiyo shule inaonyesha ina misingi ya kikristo lkn inaonyesha wazazi wanaopeleka watoto wao ndy hawataki kufuata misingi na katiba ya hiyo shule
Tatizo kubwa la waislamu ni kutaja kulazimisha mambo ya dini hata sehemu ambayo wahusika wanasema hatutaki maswala ya kuleta au kupandikiza Imani Fulani hapa.
Mimi nimeshuhudia ktk shule niliyosoma wanafunzi wa kiislamu kulazimishwa kujengeaa msikiti mkubwa wakati vyumba vya kawaida vipo miaka na miaka .Na walianza kupandikiza chuki shuleni Kwa wasio waislamu.Ilifika wakati tusio waislamu tukawa tunaitwa makafiri waziwazi na wakati wa Kula hawataki kushea vyombo na wasio waislamu.Tatizo likisuluhishwa na mkuu wa mkoa na shehe wa mkoa.Ilipochunguzwa Kwa nn huo mwaka kuna matatizo ya udini shuleni wakati hayo mambo hayakuwepo wakagundua ule mwaka waliselect wanafunzi wengi wa form 5 kutokea pande za kigoma na hao form 5 ndy walioleta matatizo yote hayo
Mleta mada hii habari haijabalance,mkuu wa shule angeongea ndy tungejua ukweli kwmb pengine wazazi na watoto wao ndy wanaleta mambo ya udini kwenye shule isiyo ya kiislamu
Hata huyo muwekezaji hajalazimishwa kuwekeza hapoMihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisa
Hizo ni chokochoko za kidini waaambieni wazazi wanaotaka watoto wao wasome kiislamu na kiarabu na wapige swala Tano waende shule zao za kiislamu.Hawalazimishwi kupeleka hapo
Shoti endi klia mkuu, hao wagalatia wameenda kwa watu walazimisha yaoSerikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imejitambulisha haina dini, ila msingi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar unaviashiria kuwa una dini nayo ni uislamu hivyo ni kukubaliana na hali ukiwa ktk ardhi yao. When you are in Rome do what Romans do!
Hata huyo muwekezaji kageuka sheria za znz? Au hujasoma mada? Kosa alilifanya yeye kukubali masharti ya kuwekeza znzKabla ya mtoto kujiunga na shule kuna sheria za shule anapewa na anasign yeye pamoja na mzazi kukubaliana nazo, sasa kama sheria huziwezi si unamuhamisha mtoto wako shule nyingine, iweje ukubaliane na sheria, halafu baadae uje kugeuka?
Mbona mnajitia upofu wa kishamba? Huyo muwekezaji si alipewa masharti ya zanzibar? Kwanini aliyakubali halafu sasahivi anayageuka?Kwani shule za kiseminary si zipo kwanini wasipeleke huko watoto wao wanakofundisha kiarabu? Mzazi akipeleka mtoto si anapewa utaratibu wa shule sasa nini tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini huyo muwekezaji hataki kufata sheria za znz wakati kavuka majiKuna binti alienda huko magharibi wa Tanzania toka huko zenj kusoma nursing kufika hapo anaanza kuleta sheria zake, mara gauni lakuburuta marahijabu yakufanyaje, akaambiwa vyuo vipo vingi umevuka maji mpaka huku kufuata masomo hivyo fuata kilicho kuleta uniform ni hizi basi, ukimaliza utaendelea navyo sie sheria zetu ni hizi akatulia, baadaye alianza kupiga umini mpaka wenyeji wakaanza kumshangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye mwenye shule alianza kulazimisha waislam wasome ugalatia watu wamejibu matokeo yake waliojibu ndio mnaona wadiniSerikali ndio yenye udini hasa angalia viongozi wa serikali walichosema watoto wa kiislamu wafundishwe kurani,kiarabu na kuswali !!!! Imagine!!!!
Kama walivyo wakristo siwapendi toka moyoni wana ushamba mwingi sanaSiku zote nawaona wazinzibar kama mapunguani fulani bado wana hulka za kishamba za uarabu ( ubaguzi) siwapendi kutoka moyoni
Umeyaona hayo tu? Ila mmiliki kulazimisha waislam wasome ukristo kwako poa eeh? Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaloga?Kama kuvaa vazi la hijab, kufunga Ramadhan, kusoma somo la dini ya kiislam na lugha ya kiarabu ni miongozo ya Wizara katika kuendesha shule basi kuna shida mahali fulani😳
Brow zanzbar masomo ya dini na kiarabu sio somo la ziada ni somo kama unavyosoma wewe biology usidandie baskeli kwa mbele umeambiwa shule imefungiwa kisa hajafata sheria za serikali za znzKinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.
Za private ziko Muslim schools na Christian schools.
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
HATA HIKO KICHWA CHA HABARI KIMEKAA KIUCHONGANISHAI usitake kuzua jambo ambalo halipo kama kashindwa kufata sheria serikali ni wajibu wake kumuadabishaWizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, imeifutia usajili Skuli ya Eden inayomilikiwa na Shirika la Afrika Agape Association kuanzia Januri 3 mwakani.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara kubaini mmiliki wa Skuli hiyo kuendesha Skuli kinyume na sheria, miongozo na kanuni za Wizara.
Akizungumza na wamiliki wa Skuli hiyo huko Shakani Kaimu Mrajis wa Elimu na Katibu wa Baraza la Elimu Zuwena Mataka Hafidh, amesema kumekuwepo malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa na wazazi hali iliyopelekea Wizara kuchukua maamuzi hayo.
Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu.
Malalamiko mengine amesema kupandishwa ada bila ya utaratibu, kutokuwa na mashirikiano mazuri baina ya wazazi, walimu na mmiliki wa skuli na mmiliki huyo kuendesha skuli kwa hisia zake binafsi.
Aidha amebainisha kuwa malengo ya Wizara sio kuifutia leseni Skuli hiyo bali ni kuhakikisha inafuata sheria na miongozo ya Serikali katika kuendesha Skuli yao.
Kaimu Zuwena, amebainisha kuwa mmiliki wa Skuli hiyo amekuwa mgumu kufuata sheria na miongozo ya Wizara na kuendesha Skuli yake anavyotaka yeye jambo ambalo halivumiliki.
“Haiwezekani Skuli kuendeshwa bila ya kufuata miongozo ya Wizara kwani tuna skuli 590 hatutakuwa tayari kuona mmiliki yoyote wa skuli binafsi anakwenda kinyume na utaratibu na hatutasita kuchukua hatua,” amesisitiza.
Hata hivyo, amesema Skuli hiyo imekuwa ikifatiliwa mara kwa mara na kupewa maagizo ya kurekebisha kasoro hizo lakini haizingatii maagizo anayopewa na badala yake kuendelea kuendesha skuli kinyume na sheria.
Amesisitiza kuwa skuli yoyote ya binafsi inatakiwa kufuata sheria, miongozo na mambo mbalimbali yanayotolewa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.
Nae Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mjini Magharibi, Amosi John Henock, amesema toka skuli hiyo kusajiliwa mwaka 2010 imekuwa ikijitokeza migogoro baina ya mmiliki na jamii pamoja na kushindwa kujirekebisha baadhi ya kasoro ambazo alitakiwa kuzifanyia kazi.
Aidha amesema Skuli hiyo imeshawahi kufungiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud na kutakiwa kurekebisha kasoro zilizoonekana lakini aliendelea kukaidi.
Amesisitiza kuwa Skuli hiyo haitaendelea kufundisha mpaka pale itakapokubali kwenda sambamba na maagizo ya Serikali katika kuwapatia watoto elimu.
Amesema hata katiba ya Zanzibar imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hapaswi kufanya jambo lolote kwa lengo la ubaguzi wa moja kwa moja ama kwa taathira yake.
Kwa upande wake Sheha wa Shehia ya Shakani bi Mwanaisha Khamis Rashid amebainisha kuwa mara nyingi amekuwa akikaa na uongozi wa Skuli hiyo katika uendeshaji elimu kwa kufuata miongozo na mitaala ya Wizara lakini hakuifuata.
Nae mmiliki wa skuli hiyo bwana Youung Am Kim ameahidi kuheshimu maamuzi ya Wizara ya Elimu ya kutofungua Skuli na hiyo na kuwajuillisha wazazi juu ya suala hilo.
Aidha amesema atahakikisha anafuata sheria ya elimu ya Zanzibar na kuondoa changamoto ambazo zinalalamikiwa kupitia Skuli yake.
Akizungumza kwa niaba ya walimu wenzake Mwalimu Ummy Aga amesema wameweka jitihada binafsi kwa wanafunzi wao kuona wanafanya vizuri katika mitihani yao na kujipima katika ufundishaji lakini kufutwa kwa Skuli hiyo imeondosha ndoto yao kwa Wanafunzi wao.
Hao jamaa hawana maadili yoyote ukichunguza sana ibada yao ni utamaduni.Kwani wamelazimishwa kupeleka watoto pale, sijaona sababu nzito hapo...Wewe ukitaka mtoto wako avae hijab, peleka shule zinazovaa hijab..