Master Arcade
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 404
- 658
Yes Zanzibar ni nchi huru kabisa..japokuwa ni sehemu ya muungano kuunda TanzaniaZanzibar nayo ni nchi? Pia nauliza serikali ya Tanzania haina dini(tanganyika+zanzibar=tanzania)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Zanzibar ni nchi huru kabisa..japokuwa ni sehemu ya muungano kuunda TanzaniaZanzibar nayo ni nchi? Pia nauliza serikali ya Tanzania haina dini(tanganyika+zanzibar=tanzania)
Basi wafungie na mahotel ya kitalii ; watu wapo uchi fukweni....si wanataka maadili ya dini?Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imejitambulisha haina dini, ila msingi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar unaviashiria kuwa una dini nayo ni uislamu hivyo ni kukubaliana na hali ukiwa ktk ardhi yao. When you are in Rome do what Romans do!
Wamefanya CBA wameona utalii unaleta faida kubwa kuliko hasara ukicompare na skulisBasi wafungie na mahotel ya kitalii ; watu wapo uchi fukweni....si wanataka maadili ya dini?
Zanzibar kuna ust-Arabu hivyo wasiotaka kufuata masharti ya shule hiyo wasikanyage hapo kwani hawaoni shule za Arabu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]vilazaUkishaona watu school wanaiita skuli fikiria mara mbili kisha chapa lapa [emoji205]
Peleka matacle uko mbwa wewe..Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
wazungu wanatembea vichupi Zanzibar mmeshindwa kuhangaika nao mnahangaika na shule,pointlessNyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Tunalijua hilo ndio maana sihangaiki nao vishoiya haoNa wao ndo kabisaa hawataki ata kukuoneni
Kujaa kwao huko bara wamevunja sheria ipi mkuuKuna siku lazima Tanganyika ijitegemee tu, Wazanzibar bara wamejaa sehemu zote na hatuna ubaguzi wowote kwa sababu tunaona ni waTanzania wote!
Inakuwaje Raisi wa Tanzania anatoka sehemu zote lakini wa Zanzibar anatoka Zanzibar tu?
Makamu vile vile na mawaziri pia.
Nini manufaa ya haya?
Watu 58ml wanataka usawa na watu 1.4ml?
Hawa watu wametuvaa sawa sawa, huko tuendako lazima kila mmoja abebe fito zake.
Samahani naomba kuelewa hivi suala la elimu msingi kidato cha 1-4 halipo ktk Muungano? Na je kama halipo kwanini kipindi fulani Dr. J. Ndalichako alifungia shule za Zanzibar kwa sababu ya udanganyifu? Hili suala sikulielewaga vizuri yoyote mwenye uelewa anijuze tafadhari.Kinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.
Za private ziko Muslim schools na Christian schools.
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Kama hakuna Rais na Bunge la Tanganyika waulize wala urojo wanalalamika kutawaliwa na nani?Nani Rais wa Tanganyika
Bunge la Tanganyika lipo?