Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Ni obvious Tz Batra Waislamu ni wengi Mikao mitatu tu Kati ya 26. Tanga, DSM, na Lindi.

Pia Mikao minne ni 50/50. Mtwara, Morogoro, Dodoma, Tabora,

Mikoa mingine 20 ni 80-90% Wakristo.
Sensa hii ukifanya lini?..tabora,tanga,pwani,dar,Lindi,mtwara,ruvuma,Zanzibar yote no waislam so chini ya 75%..mbeya,Arusha wakiristo wengi,Kilimanjaro,iringa,dodoma,kigoma,morogoro Kuna waislam wengi tu,wasukuma zaidi ya 80% wapagani
 
Sensa hii ukifanya lini?..tabora,tanga,pwani,dar,Lindi,mtwara,ruvuma,Zanzibar yote no waislam so chini ya 75%..mbeya,Arusha wakiristo wengi,Kilimanjaro,iringa,dodoma,kigoma,morogoro Kuna waislam wengi tu,wasukuma zaidi ya 80% wapagani
Haha Tabora?
Waislamu ni wengi Tabora mjini, walaya zake Waislamu ni 40%
Tanga Wilaya za Korongwe na Lushoto ni dorminat Christian. Muheza ni nusu nusu. Islmam ni mjini na pangani. Almost Waislamu wanaweza kuzidi wakrito Tanga ila siyo sana. Tanga ni kama Lindi, DSM na Lindi hata Mtwara.

Okay ila mikoa kama 20 Kati ya 26 ya bara Wakristo ni wengi sana.

Zanzibar Waslamu ni 98%. Ila Zanzibar ni infantility. Leo inazidiwa na Mkoa wa Mara kwa Watu. Sehemu yenye Historia ya miaka 2000 inazidiwa na idadi ya watu na eneo lililokua pori miaka 300 iliyopita.
 
Haha Tabora?
Waislamu ni wengi Tabora mjini, walaya zake Waislamu ni 40%
Tanga Wilaya za Korongwe na Lushoto ni dorminat Christian. Muheza ni nusu nusu. Islmam ni mjini na pangani. Almost Waislamu wanaweza kuzidi wakrito Tanga ila siyo sana. Tanga ni kama Lindi, DSM na Lindi hata Mtwara.

Okay ila mikoa kama 20 Kati ya 26 ya bara Wakristo ni wengi sana.

Zanzibar Waslamu ni 98%. Ila Zanzibar ni infantility. Leo inazidiwa na Mkoa wa Mara kwa Watu. Sehemu yenye Historia ya miaka 2000 inazidiwa na idadi ya watu na eneo lililokua pori miaka 300 iliyopita.
Kwa hiyo dsm wakiristo na waislam ni 50/50!!?..kuhusu tanga si kweli,na hata tabora,zenji ppltn yake ni ya mkoa mzima bara
 
Kwa hiyo dsm wakiristo na waislam ni 50/50!!?..kuhusu tanga si kweli,na hata tabora,zenji ppltn yake ni ya mkoa mzima bara
Kwa maoni yangu DSM, Tanga, ni Waislamu by 60.

Lindi Waislamu 70%.
Tabora 50
Mtwara 50
Pwani 70

Moro 50
Dom 40
Ruvuma 40
Kigoma 30
Kagera 30
Geita 05
Mara 20
MWANZA 20
Shinyanga 30
Simiyu 10
Singida 30
Manyara 20
Arusha 10
Kilimanjaro 20
Mbeya 10
Rukwa 10
Katavi 10
Dom 40
Iringa 20
Njombe 10

Hizo ni % ninazo wapa Waislamu katika Mikao. Ya Tz

Note siyo takwimu Rasmi. Ni maoni yangu binafsi
 
Kwa maoni yangu DSM, Tanga, ni Waislamu by 60.

Lindi Waislamu 70%.
Tabora 50
Mtwara 50
Pwani 70

Moro 50
Dom 40
Ruvuma 40
Kigoma 30
Kagera 30
Geita 05
Mara 20
MWANZA 20
Shinyanga 30
Simiyu 10
Singida 30
Manyara 20
Arusha 10
Kilimanjaro 20
Mbeya 10
Rukwa 10
Katavi 10
Dom 40
Iringa 20
Njombe 10

Hizo ni % ninazo wapa Waislamu katika Mikao. Ya Tz

Note siyo takwimu Rasmi. Ni maoni yangu binafsi
Maoni yako!!!?..singida ni ya waislam,serikali ikiwa na Jambo la kukutana na wananchi singida,hawalipangi ijumaa,singida ni wanyaturu,wanyiramba,wanyaturu,wanyiramba wapo iramba,wachache,wataturu ni wapagani,kwa dar na tanga,uko mbali Sana..ni zaidi ya 70,takwimu za mkoloni haziongopi
 
Maoni yako!!!?..singida ni ya waislam,serikali ikiwa na Jambo la kukutana na wananchi singida,hawalipangi ijumaa,singida ni wanyaturu,wanyiramba,wanyaturu,wanyiramba wapo iramba,wachache,wataturu ni wapagani,kwa dar na tanga,uko mbali Sana..ni zaidi ya 70,takwimu za mkoloni haziongopi
Hah Wanayaturu ndiyo Waislamu. Wanyiramba. Ni Wakristo by 80%. Pia Wanayaturu Waislamu ni Singida mjini Ikungi, Makiyungu huko ni Wakristo sana.
 
Hah Wanayaturu ndiyo Waislamu. Wanyiramba. Ni Wakristo by 80%. Pia Wanayaturu Waislamu ni Singida mjini Ikungi, Makiyungu huko ni Wakristo sana.
We jamaa bna,maaskofu 2012 walimpinga ponda kutaka waislam wasihesabiwe mpaka pawekewe column ya dini kwenye sensa,maaskofu walitoka shimoni kupinga,wakati huo kwenye kalenda ya ofisi wa Waziri mkuu wametoka takwimu ati waislam 30%
 
mhhh mbona kama issue ya kidini inataka kushika hatamu hapa.

Wale walosoma shule za seminari najua wanajua utaratibu wa shule za namna hiyo, yan pale ni sala asubuhi sala usiku, yan kilamtu lazima ajue BABA YETU sasa huku nako vipiiiii, na wale waosoma shule za kiisilamu lazima wato wafunge ijabu, waingie msikitini kila ijumaa sasa hao vipi kwani?
kikwete na makamba wamesoma seminary na walikua wanasali
 
We jamaa bna,maaskofu 2012 walimpinga ponda kutaka waislam wasihesabiwe mpaka pawekewe column ya dini kwenye sensa,maaskofu walitoka shimoni kupinga,wakati huo kwenye kalenda ya ofisi wa Waziri mkuu wametoka takwimu ati waislam 30%
Udini siyo mzuri. Ila nakuambia Tz Waslamu hawafiki 35%.
Ukitaka kuamini soma matokeo ya darasa la Saba mikoa mbali


Mafano hiyo shule ya Sikonge Tabora. 60 wahutimu 7std wanamajina ya Kikristo. Huwezi kujenga hoja eti Tabora ni dominant IslamView attachment 2064275
 
Tatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.
zanzibar ni mkoa sio nchi bwana your just being fooled
 
Kuna siku lazima Tanganyika ijitegemee tu, Wazanzibar bara wamejaa sehemu zote na hatuna ubaguzi wowote kwa sababu tunaona ni waTanzania wote!

Inakuwaje Raisi wa Tanzania anatoka sehemu zote lakini wa Zanzibar anatoka Zanzibar tu?

Makamu vile vile na mawaziri pia.
Nini manufaa ya haya?
Watu 58ml wanataka usawa na watu 1.4ml?

Hawa watu wametuvaa sawa sawa, huko tuendako lazima kila mmoja abebe fito zake.

Hu muungano ni kichekesho.
 
Udini siyo mzuri. Ila nakuambia Tz Waslamu hawafiki 35%.
Ukitaka kuamini soma matokeo ya darasa la Saba mikoa mbali


Mafano hiyo shule ya Sikonge Tabora. 60 wahutimu 7std wanamajina ya Kikristo. Huwezi kujenga hoja eti Tabora ni dominant IslamView attachment 2064275
Shule moja,sikonge..nipo tabora tangu 1986,si waweke kioengele Cha dini mwakani kwenye sensa ubishi uishe
 
Nyie sepeni tu, tuwang'ang'NIE mnakipi cha kuoffer
Mi mwenyewe huwa nashangaa mnavyotung'ang'ania. Mliwafunga watu miaka mingi bila ushahidi 😀 kisa tu wanasema zanzibar kwanza. Wazanzibar walikwisha ukataa huu Muungano kitambo tu tena kwa kusema wazi wazi kwenye majukwaa, nyie mmefanya nini zaidi ya kuwa Keyboard warriors 😀
 
Kuna siku lazima Tanganyika ijitegemee tu, Wazanzibar bara wamejaa sehemu zote na hatuna ubaguzi wowote kwa sababu tunaona ni waTanzania wote!

Inakuwaje Raisi wa Tanzania anatoka sehemu zote lakini wa Zanzibar anatoka Zanzibar tu?

Makamu vile vile na mawaziri pia.
Nini manufaa ya haya?
Watu 58ml wanataka usawa na watu 1.4ml?

Hawa watu wametuvaa sawa sawa, huko tuendako lazima kila mmoja abebe fito zake.
Watanganyika ni wapuuzi na wajinga, kwanini musivunje Muungano.
Kazi yenu kulalamika tu, eti watu milioni sitini mnatawaliwa na watu milioni moja. Watanganyika ni ma primitive.
 
Kinachosumbua hapo ni udini

Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.

Za private ziko Muslim schools na Christian schools.

Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika

Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school

Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.

Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini

Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Katafute basha akupakue.
Zanzibar ina sheria zake.
Wazanzibari sio washenzi kama nyie.
Ujue kwamba Wazanzibari majority ni Muslims.
Utoke huko na misalaba yako ukafungue school Zanzibar, utasoma mwenyewe.
Pumbafffff
 
Back
Top Bottom