Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

mhhh mbona kama issue ya kidini inataka kushika hatamu hapa.

Wale walosoma shule za seminari najua wanajua utaratibu wa shule za namna hiyo, yan pale ni sala asubuhi sala usiku, yan kilamtu lazima ajue BABA YETU sasa huku nako vipiiiii, na wale waosoma shule za kiisilamu lazima wato wafunge ijabu, waingie msikitini kila ijumaa sasa hao vipi kwani?
Impossible, huwezi kuingia masijidi eti uswali hata kama wewe ni budha,,
Tatizo la imani zingine, suala la kupata waumini wamelifanya kama a do or die project,,
Mfano sisi wa imani ya kiyahudi,, huwa hatuhubiri dini yetu,, yaani kizuri hakihitaji jitihada nyingiii kuuzika,
[emoji23][emoji23]
 
Ukishaona watu school wanaiita skuli fikiria mara mbili kisha chapa lapa [emoji205]
Jamaa wako town kitambo ujue.
default.jpg
cc1936bf15ff6eca08c9da5d75e5c80d--zanzibar-main-street.jpg
 
Tatizo siyo uzanzibar, tatizo ni udini.Hiyo shule inaonyesha ina misingi ya kikristo lkn inaonyesha wazazi wanaopeleka watoto wao ndy hawataki kufuata misingi na katiba ya hiyo shule

Tatizo kubwa la waislamu ni kutaja kulazimisha mambo ya dini hata sehemu ambayo wahusika wanasema hatutaki maswala ya kuleta au kupandikiza Imani Fulani hapa.

Mimi nimeshuhudia ktk shule niliyosoma wanafunzi wa kiislamu kulazimishwa kujengeaa msikiti mkubwa wakati vyumba vya kawaida vipo miaka na miaka .Na walianza kupandikiza chuki shuleni Kwa wasio waislamu.Ilifika wakati tusio waislamu tukawa tunaitwa makafiri waziwazi na wakati wa Kula hawataki kushea vyombo na wasio waislamu.Tatizo likisuluhishwa na mkuu wa mkoa na shehe wa mkoa.Ilipochunguzwa Kwa nn huo mwaka kuna matatizo ya udini shuleni wakati hayo mambo hayakuwepo wakagundua ule mwaka waliselect wanafunzi wengi wa form 5 kutokea pande za kigoma na hao form 5 ndy walioleta matatizo yote hayo

Mleta mada hii habari haijabalance,mkuu wa shule angeongea ndy tungejua ukweli kwmb pengine wazazi na watoto wao ndy wanaleta mambo ya udini kwenye shule isiyo ya kiislamu
Iliwahi kutokea Bihawana sec 2009.walikujaga form five Fulani kakikundi cha kiislam. Hii ilitokea baada ya kuona miaka yote hp walikuepo ni wakristo Waislamu walitaka kupachika HP wao wakashindwa vibaya mno.
 
wazungu wanatembea vichupi Zanzibar mmeshindwa kuhangaika nao mnahangaika na shule,pointless
Bila hao wazungu wataishije ilhali wanategemea utalii na wazungu ndio watalii wanaotoa pesa . Pesa siku zote inatoka Kwa mzungu sio mwarabu . Mafuta yanayozungumzwa hayajawahi kuwepo kama yapo ni kidigo Sana . Uganda uliposikia mafuta tayari wanaanza kuchimba .Znz wameanza kuzungumzia kuchimba mafuta imebakia kuwa story
 
Ndio matatizo ya non-secularism haya!
Mkristo anayeishi Zanzibar hana nafasi ya kuchagua kumpeleka mtoto wake shule atakyojifunza Elimu ya Kikristo?
Kuna haja ya kupatikana Raisi 'chizi' wa Tanganyika atakayewafukuza Wazanzibar wote walio Tanganyika ili tuanze upya.
Wewe kweli Kimbori. Vutu wahed
 
Wazanzibar ni wabaguzi sana Niko nao huku yaan ni very uncivilized sijui wanajionaga kina nani aisee? Rais wa nchi kusimama mbele ya hadhara eti mm ni mzanzibar!! shame!! Mbona huongozi nchi ukiwa huko zenji kutwa upo bara.
Kwasababu watanganyika ni wajinga
 
Tumjue kwanza huyo Agape ni Mtanganyika kweli? Ni Mweusi au Muhindi
 
Waislamu hawajielew, ndio maana hawataki kukimbilia misri, saudi arabia etc, utaona wanakimbilia Australia, USA Nchi za makafiri
Hapo ndiyo huwa nachoka na wakifika huko wana anza chokochoko, yaani sijawahi ona wanakimbilia hata huko Morocco, na wao viongozi wahuko wanakosea wangekuwa wanawakusanya nakuwarudisha makwao ili wakaipiganie huko makwao, uliona wale waliopanda ndege ya mizigo na zile kanzu zao haa haa haa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Tanganyika inanufaika na nini Na Zanzibar hadi kuendelea kuwabeba hawa Watu?

Inaonekana mambo ya Tanganyika Ndio mambo ya Muungano na Mambo ya Zanzibar ni mambo ya Zanzibar!!!!

Inakuaje watu kutoka Tanganyika wamepigwa marufuku kufanya kazi Serikali ya Zanzibar ili hali wazanzibar ni wamejazana huku Tanganyika hadi Kuziba Ridhiki zetu...

Watanganyika tuache kuona kila jambo alilofanya Nyerere ni Hazina ili hali na yeye ni Mtu...
Hata Vitabu vya dini vinatutaka Kuhoji kila kitu...

Hofu yangu sasa hivi ni pale atakapoteuliwa Mkuu wa Majeshi, Intelligence, Police na Prisons kutoka Zanzibar ndipo tutakapo ita maji Mma!!

Mimi naona Bora watanganyika nao waanze tu Kuwabagua wazanzibar kama wao was anavyotubagua sisi!

Hawa watu wanabenefit sana na hili limungano
Hata loans chuo yanapata kotekote Heslb yakiomba yanapewa na kule Zanzibar yanapewa!

Kuna jamaa nimesoma nae alikuwa Loan beneficiary’ wa Bodi zote aghaaa!!

Watanganyika tuwe makini
Watanganyika ni wajinga, vunjeni muungano.
 
Back
Top Bottom