Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Yeye mwenye shule alianza kulazimisha waislam wasome ugalatia watu wamejibu matokeo yake waliojibu ndio mnaona wadini
Kama hutaki usimpeleke mtoto mbn simple tu au shetani anakuvuruga?!
 
Yaani nimefungua shule yangu "Christian based school" halafu nyie mnanilazimisha iwe shule ya kiislamu..Wapumbavu kweli nyie ina maana shule za kiislamu hao wazazi hawazioni huko Zanzibar mpaka mlazimishe kuwaleta watoto kwenye shule ya kikristo na mlazimishe mfundishwe islamic knowledge? Mmekaa kwa kujitegeza sana sijui kwa sababu hamna vichogo akili zenu zinakuwa fupi?
 
Kwenda zako huko, bara kuna ardhi kubwa tu nenda kafungue shule huko nyambafu
 
Kwenda zako huko, bara kuna ardhi kubwa tu nenda kafungue shule huko nyambafu
Hujielewi wewe na ndio maana mashule yenu yanashika mikia kwenye matokeo ya mitihani kwa sababu kuanzia wazazi,wanafunzi,viongozi wenu wote vilaza hamjielewi na vichwa vyenu vilivyobanda
 
Hujielewi wewe na ndio maana mashule yenu yanashika mikia kwenye matokeo ya mitihani kwa sababu kuanzia wazazi,wanafunzi,viongozi wenu wote vilaza hamjielewi na vichwa vyenu vilivyobanda
Nyie ambao mashule yenu yanaongoza mmelisaidia nini taifa? Kutwa kucha mashule yanazalisha mafisadi tu, ndio maana masia wenu alisema "enyi wagalatia msio na akili"
 
Ukishaona watu school wanaiita skuli fikiria mara mbili kisha chapa lapa 🐒
Shule, school skuli huku Tanganyika na Zanzibar ni neno limetoholewa kutoka Kijerumani 'schulle' hivyo kila mtu anatumia aitakavyo
Inashangaza we mlugaluga toka Chato kujifanya ni mahiri wa kiswahili kuliko Wazenj.
 
Nyie ambao mashule yenu yanaongoza mmelisaidia nini taifa? Kutwa kucha mashule yanazalisha mafisadi tu, ndio maana masia wenu alisema "enyi wagalatia msio na akili"
Na tutazidi kuwatawala mpaka vichwa vyenu boksi vipate akili
 
Zanzibar ni sehem nyengine babaa badilikeni zanzibar tuna sheria zetu na taratibu zetu maiforce tanganyika iwe kama zanzibar
Unajua kuwa Zanzibar inaongoza kwa vijana wa kike na kiume kulawitiwa? Ndio utaratibu wenu unaojivunia?
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
sasa aleesha hapo sisi watanganyika tunaingiaje?? ..mbona unatuonea.
maana mmiliki hapo naona ni Mkorea
 
Shule, school skuli huku Tanganyika na Zanzibar ni neno limetoholewa kutoka Kijerumani 'schulle' hivyo kila mtu anatumia aitakavyo
Inashangaza we mlugaluga toka Chato kujifanya ni mahiri wa kiswahili kuliko Wazenj.
Nani ametaja shule, nimefanya comparison ya skuli na school.. Fwata yako babu.
 
Kwani wakiristo ni wengi kuliko waislam!?..kwa sensa ipi?
Ni obvious Tz Batra Waislamu ni wengi Mikao mitatu tu Kati ya 26. Tanga, DSM, na Lindi.

Pia Mikao minne ni 50/50. Mtwara, Morogoro, Dodoma, Tabora,

Mikoa mingine 20 ni 80-90% Wakristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…