Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Rukwa, Katavi na Mbeya hizo percentage ni nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa bna,maaskofu 2012 walimpinga ponda kutaka waislam wasihesabiwe mpaka pawekewe column ya dini kwenye sensa,maaskofu walitoka shimoni kupinga,wakati huo kwenye kalenda ya ofisi wa Waziri mkuu wametoka takwimu ati waislam 30%
Waliambiwa hiyo sensa waifanye kwa muda wao sio kwa mgongo serikali maana hizo ni kodi zetu, sasa sijui walitaka mtelezo, kufanya sensa hakuna anayewazuia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Kwani huku bara Hatuna ustaarabu wetu?
 
Wakati wa sultanate zanzibar ilikuwa na maendeleo makubwa ila baada ya mapinduzi na muungano imeanguka

Elimu inatajika kuokoa hichi kisiwa aisee sad,Waarabu sijui waliwapa nini hawa
 
Wazanzibar ni wabaguzi sana Niko nao huku yaan ni very uncivilized sijui wanajionaga kina nani aisee? Rais wa nchi kusimama mbele ya hadhara eti mm ni mzanzibar!! shame!! Mbona huongozi nchi ukiwa huko zenji kutwa upo bara.
Uncivilized, seriously? Na wewe unayeiga vya watu mpaka majina ya kina Marco Polo ndiyo umejiona umefiiika hapo kwenye maendeleo!
 
Sasa kama unataka mwanao afundishwe somo la kiislam Na kiarabu kwanini usimpeleke shule ya kiislam ili apate div.0, shida iko wapi?
 
Uncivilized, seriously? Na wewe unayeiga vya watu mpaka majina ya kina Marco Polo ndiyo umejiona umefiiika hapo kwenye maendeleo!

[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jibu hoja jina linahusu nini sasa not everyone use their real names on social media ukisema hivo nanyie mnavyotumia yakiarab je lol,nyie ni wabaguzi hilo halina ubishi wenyewe kwa wenyewe tu mnabaguana na hampendani shame!
 
Tatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.
Zanzibar ni kama limao lililopandikizwa kwenye mchungwa!
Mchungwa ni Tanganyika. Inambeba aliyejaa asidi!
 
muacheni mzee apmzike tupambane vijana haya yote yanatokea kwa sababu ya unafiki mwingi tunaoufanyaga viongozi wa bara

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
hivi mnajua historia yenu wazanzibar mmetokea huku ndio mana kila unayemuuliza ana historia ya bara tukiwaachia waarabu watakuja kuwatandika viboko kulipizua mapinduzi ila nyie ni sawa na wilaya tu ya geita huku bara
 
Ukishaona watu school wanaiita skuli fikiria mara mbili kisha chapa lapa [emoji205]
Wewe ndio uone aibu kwa kukosa elimu na maarifa
School kiingereza kiswahili ni skuli
Schule kijeruman kiswahili ni while
Tanganyika wametohoa kijerumani Zenji wametohoa kiingereza
Mfano mwingine Zanzibar wana marikiti kwa maana ya market kiingereza na bara Wana tumia sokoni kw maana ya souk kiarabu
 
Ukiwa Zanzibar heshimu Katiba, Sheria na kanuni zote za Kisiwa hiko period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…