Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Sasa wewe takwimu za 1958 unazileta 2021 wewe ni mzima kweli? Kulikuwa na idadi gani ya watu! Wakati hata barabara hazikuwepo kuwafikia watu wa kamsamba huko , huenda hata mzazi wako hakuwa amezaliwa.Itakua una upeo mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app