Sasa wewe takwimu za 1958 unazileta 2021 wewe ni mzima kweli? Kulikuwa na idadi gani ya watu! Wakati hata barabara hazikuwepo kuwafikia watu wa kamsamba huko , huenda hata mzazi wako hakuwa amezaliwa.Itakua una upeo mdogo
Hatujawahi ilazimisha zanzbar ilingane na tanganyika ila kwa udogo wake tunaforce iwe kama mkoa tuZanzibar ni sehem nyengine babaa badilikeni zanzibar tuna sheria zetu na taratibu zetu maiforce tanganyika iwe kama zanzibar
Ili iwe nchi Inatakiwa iwejeZanzibar nayo ni nchi? Pia nauliza serikali ya Tanzania haina dini(tanganyika+zanzibar=tanzania)
Kwa nadharia ya Malthus,population ina-double kila baada ya 25 yrs,so haiwezekani waislam wawe wamepungua leo 2021,Kama unadhani 1958 ni mbali Sana na hapakua na barabara,pole,Ila TANU imeundwa 1954 na harakati za Uhuru zilikua nchi nzimaSasa wewe takwimu za 1958 unazileta 2021 wewe ni mzima kweli? Kulikuwa na idadi gani ya watu! Wakati hata barabara hazikuwepo kuwafikia watu wa kamsamba huko , huenda hata mzazi wako hakuwa amezaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanganyika iliuzwa ili kuinunua zanzibar na uislam wake,we vumilia tuNani Rais wa Tanganyika
Bunge la Tanganyika lipo?
Thanks to you our great thinker inamankusweke for the academic analysisTanganyika iliuzwa ili kuinunua zanzibar na uislam wake,we vumilia tu
Nani kawaweka?Wazanzibar wamejaa uku bara wamekaba kila sekta serikalin wamejaa wao
Kweli mkuu Zanzibar hawafiki hata milion mbili wanataka kututawala watanganyika mil59 hili inabid watanganyika tulieleweKuna siku lazima Tanganyika ijitegemee tu, Wazanzibar bara wamejaa sehemu zote na hatuna ubaguzi wowote kwa sababu tunaona ni waTanzania wote!
Inakuwaje Raisi wa Tanzania anatoka sehemu zote lakini wa Zanzibar anatoka Zanzibar tu?
Makamu vile vile na mawaziri pia.
Nini manufaa ya haya?
Watu 58ml wanataka usawa na watu 1.4ml?
Hawa watu wametuvaa sawa sawa, huko tuendako lazima kila mmoja abebe fito zake.
Kwani na nyinyi 'shule' mumelitohoa kutoka wapi kama unaelewa vizuri historia?Ukishaona watu school wanaiita skuli fikiria mara mbili kisha chapa lapa 🐒
mnajifanya wanadini wakati waitalia wanawapelekea moto watoto wenu wa kiume, madawa ya kulevya yamejaaZanzibar ni sehem nyengine babaa badilikeni zanzibar tuna sheria zetu na taratibu zetu maiforce tanganyika iwe kama zanzibar
sio Watanganyika, sema WakristuWazanzibari hawawapendi Watanganyika
Hawa jamaa ni wajinga sana. yaani ni sawa na shule ina taasusi ya PCM halafu mzazi anampeleka mtoto na kulazimisha afundishwe HGL, na srikali inamuunga mkono mzazi!Mihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisa
otaka watoto wao wasome kiislamu na kiarabu na wapige swala Tano waende shule zao za kiislamu.Hawalazimishwi kupeleka hapo