Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?


Kama wewe ni mbunge kweli kwanini usemee mtandaoni!? Kwani yanatekelezw nje ya ilani yetu?
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ufipa mnalia kwa kua migombani kutahamia chato ....
 
Hata Bagamoyo kwa sasa kilicho na thamani ni kilinge cha mlingotini tu baada ya bandari kupigwa pini
Butiama kuna nini zaidi ya kaburi la yule Mzee [emoji3][emoji3]
 
Kwahiyo wewe mwanamke hujithamini?
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
 
Mkuu vipi kwetu Mwandiga tutafaidika vipi na hayo mazuri ya chato?
Fadhali ya wahaya wenzetu wapo karibu sana na chato
Naomba ahamishe bahari ya Dar tufe kwa njaa
 
Kwani upo kamati gani mkuu?

Sie utaratibu wetu unajulikana kuwa ni [emoji647].
 
Tetesi ndio utuaminishe. Hovyo kabisa.
 
Tunawatakia kila la kheri kwenye hayo maamuzi yetu ndani ya chimwaga
 
Wewe mwenyewe hapo chato una nini cha kujivunia zaidi ya kumiliki punda mmoja?
Kwani wewe unakatazwa kwenda kukaa Chato? Kama unataka maendeleo nenda Chato. Mbona Dar kuna makabila yote ya Tanzania na mengine. Kuliko kukalia wivu na shutuma hamia Chato ufaidi.
 
Tulisha yasema sana na siyo meli tu pia na bomberdier fikiria itatua mwanza itoke itue chato alafu iende bukoba ni zaidi ya dalal dala
Kwa hiyo Ile meli kubwa na mpya inayojengwa ziwa Victoria ambayo ni ya mwanza _ Bukoba itapitia chato?
Sasa hiyo si ni daladala sasa
 
Hili liwe fundisho kwa wahaya wajue kuwa kuichagua ccm watakuwa wanajichimbia kaburi kimaendeleo
Yaani watu wa Bukoba huu ni mwaka WA nne hawana Meli na kuna bandari mbili kule mtu unajengea Meli chato?
 
badala ya kujenga dodoma tunajenga chato😱😱😱😱😱😱😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…