Jua lilikuwa serious na kazi yake aisee
Jua.
Sina nguo za kuvaa.... Mto umebeba kila kitu... Nije without?Uko kwenye mtumbwi babuu, nipitie huku niliko usafiri tunaotumia sasa ni mtumbwi tuu...😜
Sina nguo za kuvaa.... Mto umebeba kila kitu... Nije without?
Pole sana mkuu.Zilikuwa nderemo kweli kweli.
Vifaranga vyangu vya kienyeji vimelowana na kupoteza uhai. Banda langu(lao) la nyavu limepitisha mvua na kumefurika, wakati huo kutoka nje kuwaokoa ilikuwa mbinde, aisee wacha tu
Componded na hizi waka zima za Tanesco na maangalizo ya tma nimeshindwa kuwawashia taa za joto wengine waliobaki manake na banda la jenereta nalo lilijaa maji na hivyo kushindwa kabisa kuwasha umeme.
Nimeambiwa ndio Tabia ya Nchi? kama sio Tabia nchi.
Ilaaniwe hii tabia.
Hapo unakuta mkopo hujamaliza uliotumia kununua hiyo gariMdau kapaki gari chini ya mti mkubwa, kabla hajawahi kulisogeza, mti puu juu ya ndinga 😆😆
Pande zipi hapoLeo ni kubwa sana maeneo haya
Pole sana mkuu. Vipi hali ya mvua sasa? Bado inaendelea kunyesha?Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
============
UbungoPande zipi hapo
Tatizo ni accuracy ya tabiri zaoTMA walibezwa walipotoa tahadhari,nafikiri sasa hivi tutaheshimu utabiri wao.
Muda huu inashuka ile mama yake ya jana. Huku ninapoishi hata magogoni ikizama sisi tunakuwa wa mwisho.Pole sana mkuu. Vipi hali ya mvua sasa? Bado inaendelea kunyesha?
Pole sana mkuuUbungo
Polee Mkuu huku kigamboni ni balaaMuda huu inashuka ile mama yake ya jana. Huku ninapoishi hata magogoni ikizama sisi tunakuwa wa mwisho.
Nimefumbata mikono nawaombea wanadaresalama wenzangu ambao ahsubuhi hii wanatatarika katikati ya mvua na katarina
Kabisa kakaYa leo ni balaa tupu