Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio

[emoji28][emoji28]
 
Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.

Soon kunakucha.

Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .

Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.

Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.

============

Zilikuwa nderemo kweli kweli.


Vifaranga vyangu vya kienyeji vimelowana na kupoteza uhai. Banda langu(lao) la nyavu limepitisha mvua na kumefurika, wakati huo kutoka nje kuwaokoa ilikuwa mbinde, aisee wacha tu

Componded na hizi waka zima za Tanesco na maangalizo ya tma nimeshindwa kuwawashia taa za joto wengine waliobaki manake na banda la jenereta nalo lilijaa maji na hivyo kushindwa kabisa kuwasha umeme.


Nimeambiwa ndio Tabia ya Nchi? kama sio Tabia nchi.

Ilaaniwe hii tabia.
 
Back
Top Bottom