Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Aameeen 😊.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante japo tutakoma hizi mvua bado tunazo sanaPoleni sana Wana dsm
Nasikia na Moro pia kuna Maeneo imeharibu kinoumaaa
Haikuzidi hata masaa matatu, lakini imeacha maafa makubwa sana...Nasikia na Moro pia kuna Maeneo imeharibu kinoumaaa
Jua.Kati ya jua [emoji274] na mvua [emoji943], bora nini...!!!!
Mnooooo.Haikuzidi hata masaa matatu, lakini imeacha maafa makubwa sana...
Mnooooo.Haikuzidi hata masaa matatu, lakini imeacha maafa makubwa sana...
jamani.Kwani ukivaa nguo hivyo hivyo bila kunyoosha na pasi Kuna shida Gani? Utaumwa malaria au?
We utatuweza wabongo, yaani Sisi utabiri pekee tunaouamini ni wa manabii kama akina Mwamposa and co, wengine wote hata kama ni wasomi na wabobezi tunawaona hawajui kituTMA walibezwa walipotoa tahadhari,nafikiri sasa hivi tutaheshimu utabiri wao.
Sichezi tena na wewe...Dawa ya maumivu ya kichwa, hepi nyuyaa...
Umetaja Tabora...
Nimepakumbuka kwetu....
Wacha nifanye mchakato niende kusabahi nyumbani.
TRL weeaa aaayuuu..!
Mdau kapaki gari chini ya mti mkubwa, kabla hajawahi kulisogeza, mti puu juu ya ndinga [emoji38][emoji38]
Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio
Zilikuwa nderemo kweli kweli.Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
============
Tupia kapicha basiJirani yangu nyumba yake msingi unaning'inia saa yoyote inashuka na kahamia mwaka jana hata mwakq hajamaliza mkewe leo tulikuwa tunampepea hajiwezi
Sichezi tena na wewe...
Hepi niu yia mahaba matata...
unipitie mkadama
aisee poleni sana kwa mvua.