Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaona mwendawazimu anaumwa kwasababu kala jalalani?😂😂 Tuwaache wacelebrate, badae tutawapa flagyl
Mungu anakuona.Kuna kajumba niliuza kwa bei ya biskuti maana kalitutesa sana kipindi cha mvua.
Nafkiri wale raia wanunuzi watakua wanatukana matusi yote mda huu.
Ushaona mwendawazimu anaumwa kwasababu kala jalalani?
Ndio hao wanaoogelea hapo,jaribu wewe.Mwendawazimu/ chizi zile ni kudra za mwenyezi Mungu. Testi mtambo wewe mwenye akili timamu uone utakavyolazwa Mloganzila 😀
Hamna mkuu wale niliwapa tu wajiongeze na ni prime area ila mkondo wa maji sasa.Mungu anakuona.
Naona Urusi na Ukraine mmekubaliana kumaliza vita sasa 😂😂😂Mnooooo.
Afu nimekumic bibi wa mahaba.Umechagua jambo lililo jema.
Wewe haijakuathiri Mkadama?
Fastaaa, kaa mkao wa kusafirii.
Back pack iwe mezani tayari tayari [emoji4].
Halafuu, pitia kule kabla hujalala....
Afu nimekumic bibi wa mahaba.