myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua nini wewe?GSM atoe tu supu bure bure anawapenda sana?Hao ng' ombe wametolewa kwenye mechi ipi? ulitaka Yanga ianze kufuga?
Wazee wa vyuraMvua kubwa inaypendekea muda huu imesababisha mafuriko kunako club ya yanga jangwani
Kwanini yasipite wakati kabla ya ujenzi wa mwendokasi yalikuwa hayapiti juu ya daraja?Kwa hiyo ikijenga daraja kama la tazara yatapita tena?? Unajua daraja wana maanisha fly over ..?
Serikali hii ya CCM?Hapa ndipo sehemu ambayo serikali inapaswa kutengeneza barabara za juu kwa haraka saana
Utashangaa Hizi Billion 300 Walizotoa Mkandarasi Ajenge Barabara Akajenga Kituko Ambacho Hakitatui Tatizo La BarabaraHapa ndipo sehemu ambayo serikali inapaswa kutengeneza barabara za juu kwa haraka saana
Nafikiri baada ya hili ujenzi utaanza mara mojaHapa ndipo sehemu ambayo serikali inapaswa kutengeneza barabara za juu kwa haraka saana
Kwa kweli ikawe hivyoNafikiri baada ya hili ujenzi utaanza mara moja
Kama ubungo ilijengwa naamini hiyo nayo itajengwa kwa kiwango kikubwaUtashangaa Hizi Billion 300 Walizotoa Mkandarasi Ajenge Barabara Akajenga Kituko Ambacho Hakitatui Tatizo La Barabara
Wataelekeza Nguvu Kwenye Upigaji Tu
Hiyo hiyo ya CCM imekujengea pale ubungo, tazara nkSerikali hii ya CCM?
Hahahaa usinikumbushe ya Ubungo! Tafuta original plan ya Ubungo Vs na kituko kilichojengwaHiyo hiyo ya CCM imekujengea pale ubungo, tazara nk
Kweli original ni kali saana ila iliyojengwa sio haba sema yule bwana alikua muongo muongo saanaHahahaa usinikumbushe ya Ubungo! Tafuta original plan ya Ubungo Vs na kituko kilichojengwa
Hahahahhaaa Mpwa acha uchokozi hahahahahahaha hatutaki "si haba" tunataka "original"Kweli original ni kali saana ila iliyojengwa sio haba sema yule bwana alikua muongo muongo saana
Jina lako lina sadifu ubongo wakoUnajua nini wewe?GSM atoe tu supu bure bure anawapenda sana?
Tuliwagonga kwenye mvua na supu tunakula kwenye mvuaMvua kubwa inaypendekea muda huu imesababisha mafuriko kunako club ya yanga jangwani
KAFARA HILO NA BADO ANATAKA DAMUJina lako lina sadifu ubongo wako
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]