Dar hakuna shamba,shamba ni akili yako/mtaji[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Litapunguza vumbi, hivi wana dar mnasherekea kuona mvua kupunguza vumbi, hivi hakuna zao la kibiashara mnaloweza kupanda [emoji1787][emoji1787], nyie vijana wa dar mnaombea mvua inyeshe ili vumbi lipotee,kwa vijana ni ngumu kujikwamua kiuchumi kwa hali hii
Upo mbali sasa jamaniiiMbona mimi hunikaribishi jamani!
Kwani mvua imeletwa na ccm? Kwanza chadema wanadai wakishinda watabomoa madaraja yoteKama video inavyoonyesha, maji yamezidi kiwango hadi yanapita juu ya Daraja, na hivyo magari hayawezi kupita kwa sasa, si salama.
Ila nimeona kuna jamaa mbisho mwenye hilux kapakiza watu nyuma na kuvuka kibishi bishi.
View attachment 1598763
Wewe kubali tu, kwani wajua niko wapi.Upo mbali sasa jamaniii
Kupitia bonde la mchicha ndio mpango leo.Kama video inavyoonyesha, maji yamezidi kiwango hadi yanapita juu ya Daraja, na hivyo magari hayawezi kupita kwa sasa, si salama.
Ila nimeona kuna jamaa mbisho mwenye hilux kapakiza watu nyuma na kuvuka kibishi bishi.
View attachment 1598763
Mvua Kubwa sana hii mkuu, tangu asubuh haijakatikaWana dathramu kila kitu ni habari, hovyo kabisa!!
hamkawii kusema imeletwa na upinzani
Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane.
Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.
Embu weka hapaKuna video zinaonesha mafuriko ya hatari, hadi mifugo iliyo hai inasafirishwa kama fastjet
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app