Amrjuta kuweka wazi maongezi maana dogo hakusita kuagiza gari lije kumschykuaTrump alifikiri anaongea na yale mapopoma yaliyojaa afrika. Sasa kakutana na kusiki cha mpingo kashindwa kuamini kilichotokea
anajichukulia pointi za 2028, na jamaa ni smart sana.Ila Vance mchonganishi sana
Hahahaha aka ka msemo najua ulipokaiba.kumbe na wewe unasomaga comments'Ni hatari kuwa adui wa marekani lakini majanga kuwa rafiki wa marekani' mwisho wa kunukuu.
This is how Donald Trump concluded:Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani
Asubuhi ya leo, Volodymyr Zelensky aliwasili katika Ikulu ya White House kwa ajili ya kusaini mkataba wa madini na Marekani, lakini hali iligeuka kuwa mabishano makali ndani ya Oval Office.
Mabishano hayo yamekuwa makali kiasi kwamba sauti zao zinasikika hadi kwenye korido nje ya ofisi hiyo!
===================
Volodymyr Zelensky arrived at the White House this morning to sign a Mineral Deal with the United States and a VERY LOUD and VERY HEATED argument broke out, inside the Oval Office.
The arguing is so fierce, it can be heard well down the hallways outside the Oval Office!
Numerous sources are reporting that Zelensky started tangling with Vice President JD Vance, asking HIM to come to Ukraine and Vance allegedly replied "I won't take part in another one of your Propaganda Tours."
Zelensky then said a series of things and President Trump was heard telling Zelensky "You don't have the cards, but you're Gambling with World War 3."
This is clearly descending into something Zelensky never expected - or never thought possible - and things are getting very VERY heated right now.
12:53 PM EST -- MORE:
President Trump just told Zelensky "You ether make a deal, or we're out."
1:28 PM EST --
Zelensky's Motorcade has suddenly appeared off-schedule at the portico of the White House. It appears Zelensky has been told to leave swiftly
Yes amna kuwa mnyongeNimemuona Huruma Huyu mtu
Jamaa kawa Kama Jibwa fulani
kakosa Heshima wanamuona kama Jinga Fulani hivi
umasikini Mbaya sana
View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895536558452904031?t=p-D0Oe1zDp7MzwMdxDzu_w&s=19
ishindwe mara ngapi kuichukua? kama Trump kinamuuma ana hiyari pia ya kuacha kutoa silaha vilevile maana hajalazimishwa kuitoa.Sasa ndiyo aamue: Imma nchi ichukuliwe na Russia au akubali dili na Marekani?
Wanamdanganya kuwa ataishinda Urusi kwenye vitaZelensky anapaswa kukumbuka Russia na Ukraine ni ndugu! US na EU countries zilitumika kuwagombanisha!
Sasa Zelensky ameishia kuuza madini ya thamani ambayo yangeijenga Ukraine kwa ajili ya kulipa madeni ya silaha alizopewa bure!
Huenda na EU wakaanza kuidai Ukraine.
Bora dogo aside na china ila siyo hii US ya Trump. Nimependa zele alivyokataa kudhalilishwa mtu 2 zimechemsha kwa dogo Zele.Amrjuta kuweka wazi maongezi maana dogo hakusita kuagiza gari lije kumschykua
Trump n nzuri shida take anataka kukulia juu na shida zakooooooooo
.dogo ana helà mbaya yule HATA aondokee kesho Ukraine
Ukisikia SIASA HAZINA adabu utasikia dogo amealikwa china wikii ijayo ametia Saini madini taende
Leo umeipenda Marekani. Interesting.Kapambania nini mkuu.
Kapambania nini mkuu, mauaji ya askari wa Ukraine one million plus and a few thousand Russia soldiers not forgetting 20 million + displaced Ukrainians?This stupid boy deserves scorning and shunning.To me Trump is doing the right thing.Viva Trump.
Zele boy bhana; amekiri yeye(Ukrein) ana matatizo, ila USA naye anayo matatizo ila hayaoni sasa hivi, atsuaona baadayeYaani dili hata kama la kipuuz akubali tu? kwa kuwa yupo kwenye shida?
Aliyajua yote hayo ila upumbavu wake ndio umempeleka USKapambania nini mkuu.
Kapambania nini mkuu, mauaji ya askari wa Ukraine one million plus and a few thousand Russia soldiers not forgetting 20 million + displaced Ukrainians?This stupid boy deserves scorning and shunning.To me Trump is doing the right thing.Viva Trump.
Unadhani ni kama panya Yahya Sinwar?ZELENSKY. Kumbe kajeuri😄
Jamaa usimtajetaje acha ap9telee huko kuzimu kwasababu yeye huyu Kissinger na dr Anthony Fauci ndio waanzilishi wa Ukimwi ili kupunguza waafrika.Akumbukwe Henry Kissinger
Alifikiri ni NasrallahUnadhani ni kama panya Yahya Sinwar?