Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Issues hapa ni terms za milataba vinavyoondoa sovereignty ya nchi ndio watu hawataki ( sasa hapo huelewi wap? ). Kama hujasoma hizo terms hapo uko sawa tofauti na hapo you are demonstrating your own ignorance,,,,
 
Du, ndio CHADEMA hii, inayotarajia kushika Dola 2025. Kweli wananchi watawapa kura nyie, halafu mkishindwa eti msingizie mmepigwa/mmeibiwa. Kelele za DPW mnadhani zinatosha kwenda ikulu! Mama anarudi ikulu kirahisi sana 2025.
CHADEMA ni janga la taifa.
 
Wewe kakulipa nani
 
Wewe Intarahamwe wa DPWORLD unataka mjadala gani Zaid kwenye mkataba wa kimangungo Kama huu Karne ya 21, TATIZO MNATUMIKA KAMA TOILET PAPER KWENYE MASUALA YA MSINGI, Watetezi wa rasilimali wanaitwaje waharibu mjadala, foolish.
 
Kwa mkataba kama huu??
 
Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Aboud Jumbe rais wa awamu ya pili Zanzibar kuna taarifa zinakinzana, wapo wanaosema alizaliwa Mpitimbi - Ruvuma, na taarifa rasmi za kiserikali zinasema alizaliwa Zanzibar.

Mwinyi Seneior Raisi wa awamu ya Tatu Zanzibar amezaliwa Mkuranga hakuna anaepinga hili.

Mwinyi Junior ameanzia siasa kwao akiwa mbunge wa Mkuranga, sasa ni Raisi wa Zanzibar.

Mbali mawaziri kuanzia Mapuri (kutoka Tabora), Mwakanjuki (Kutoka Mbeya), na wengineo. Almost kila awamu Zanzibar ina at least waziri mmoja kutoka Tanganyika.

Hata sasa wapo viongozi wa chama na serikali kwenye serikali ya Mwinyi wanaotoka Tanganyika, mfano Zena Ahmed Said, Suzan Kunambi, Joseph John Kilangi, Charles Hillary, bila kumsahau First lady.

Kwenye chama ndio watupu, almost kila mkoa wapo.
 
Sio kubagua ubaguzi upo kwa wazanzibari kamili hata katiba yao ipo hivyo wana Urania Pacha so hawana uchungu kwa Watanganyika na kibaya maisha yao yote wanasema Watanganyika wanawanyima haki zao.. and Chao ni chao na chetu ni Chao pia.. what is this?
 
Kasema jana wanafadhiliwa na kikundi kinajiita SAUTI YA WA TANZANIA ni jukumu la usalama wa Taifa kuwajuwa kina nani hawa na wanataka nini? Bandari wanatumia kama kisababu tu ila wana agenda kubwa zaidi ya hii. Kama umewasikia wameanza ku post hatutaki kupewa hadhi maalumu tunataka uraia pacha na jana Dr Slaa kaongelea hili kulipa bill. Haya mambo zaidi ya bandarim kuna watu wanatafuta balaa nchi hii.
 
Mmatumbi ni mwizi tu pale bandarini, kila kukicha anachora michoro ya kudokoa kisicho cha kwake.

Mmatumbi hana nidhamu ya kazi na hachelewi kuleta kujuana na ukabila kazini.

Ushahidi ni aina ya ubishi wanaouleta katika mijadala yao na aina ya upotoshaji wanaoutumia katika kujenga hoja zao.
 
Ukomo upo kwenye hii mikataba ya utendaji itakayosainiwa baada ya kuwa azimio limeshapitishwa bungeni.

Zinavunjika ndoa zilizodumu kwa miaka zaidi ya hamsini sembuse mikataba ya kibiashara!.

Kwanini ufikirie masuala hasi badala ya kutazama unakwenda kupata nini kwenye huo mkataba?.
 
Upotoshaji upi wamefanya, weka ushahidi…

Mmatumbi ni wote ambao hawana nidhamu ya kazi na ni wezi?? Hii ndio enough reason au justification waarabu wapewe bandari yetu milele??? Hujitambui , wewe ndio unatumika
 
Upotoshaji upi wamefanya, weka ushahidi…

Mmatumbi ni wote ambao hawana nidhamu ya kazi na ni wezi?? Hii ndio enough reason au justification waarabu wapewe bandari yetu milele??? Hujitambui , wewe ndio unatumika
Taratiibu unahama kutoka kwenye mada na kuanza kutoa mapovu.
 
Ni sawa, lakini hoja inabidi zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…