Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:
(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:
1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.
3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?
(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:
1. Waratibu walikamatwa na polisi.
2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.
3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.
4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
5. Ikumbukwe:
a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.
6. Historia itakuwapo kutuhukumu.
Aluta continua!
7. Hapa chini panajieleza:
(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:
1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.
3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?
(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:
1. Waratibu walikamatwa na polisi.
2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.
3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.
4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
5. Ikumbukwe:
a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.
6. Historia itakuwapo kutuhukumu.
Aluta continua!
7. Hapa chini panajieleza: