RUBBISH MSG FROM A RUBID MINDMsitukumbushe Akwilina wakati akina Mbowe na Mdee wanaendelea na Maisha na familia zao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RUBBISH MSG FROM A RUBID MINDMsitukumbushe Akwilina wakati akina Mbowe na Mdee wanaendelea na Maisha na familia zao!
Jamaa kaniambia eti kesho hautaonekana kwenye maandamano😁😂
RUBBISH MSG FROM A RUBID MIND
Wewe uko Machame unauza Makongoro ya Nguruwe unawadanganya Wasafwa waandamane 😂😂RUBBISH MSG FROM A RUBID MIND
Wewe uko Machame unauza Makongoro ya Nguruwe unawadanganya Wasafwa waandamane 😂😂
Wakili "msomi" wa Tanzania ambae anajiita "mzalendo" haelewi tofauti ya "dharula" na dharura.Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:
(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:
1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.
3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?
(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:
1. Waratibu walikamatwa na polisi.
2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.
3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.
4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
5. Ikumbukwe:
a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.
6. Historia itakuwapo kutuhukumu.
Aluta continua!
7. Hapa chini panajieleza:
View attachment 2803139
View attachment 2803140
Niko hapa Lugalo, Ipogolo mkoani Iringa alikopigwa Mjerumani 😂🔥Wewe uko wapi ndugu ukiwadanganya nani wasiandamane kudai haki zao?
gtunamuona ndio nini? 😂😂😂😂Wakili "msomi" wa Tanzania ambae anajiita "mzalendo" haelewi tofauti ya "dharula" na dharura.
Ikiwa mtu kama huyo ndiyo gtunamuona "msomi" wa maana, hana hata nidhamu ya lugha. Tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Sema nawasifu mdudu na mwambulukusi kuona fursa ya kutengeneza za "wajinga ndiyo waliwao".
Ongeza picha, hii moja haitoshi🙂Si tulishakubaliana wewe kama walivyo watanzania siyo waoga ila katika skirt za mboga mboga?
View attachment 2807912
Zagawiwa Lumumba hizo. johnthebaptist. Mteja wako mwingine huyo.
Kumekucha.Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
Ukisikia serikali kutikisika ndo huku.Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:
(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:
1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.
3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?
(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:
1. Waratibu walikamatwa na polisi.
2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.
3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.
4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
5. Ikumbukwe:
a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.
6. Historia itakuwapo kutuhukumu.
Aluta continua!
7. Hapa chini panajieleza:
View attachment 2803139
View attachment 2803140
CHADEMA wamenyimwa vibali vya chopa, wanaoimba Badala ya kutumia gia kubwa.Hao wengine ni kama punda bila viboko hawaendi
Ulikosea sana kujiunga CCM.Asante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
Kiongozi ninakusihi na ninakushauri sana sana.Asante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P