Mwabukusi: Maandamano yapo 9/11 kama ilivyopangwa

Mwabukusi: Maandamano yapo 9/11 kama ilivyopangwa

Jamaa kaniambia eti kesho hautaonekana kwenye maandamano😁😂

Si tulishakubaliana wewe kama walivyo watanzania siyo waoga ila katika skirt za mboga mboga?

vbzIrq8U.jpeg


Zagawiwa Lumumba hizo. johnthebaptist. Mteja wako mwingine huyo.
 
Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:

(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:

1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:

"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"

2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.

3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?

(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:

1. Waratibu walikamatwa na polisi.

2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.

3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.

4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.

5. Ikumbukwe:

a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.

6. Historia itakuwapo kutuhukumu.

Aluta continua!

7. Hapa chini panajieleza:

View attachment 2803139

View attachment 2803140
Wakili "msomi" wa Tanzania ambae anajiita "mzalendo" haelewi tofauti ya "dharula" na dharura.

Ikiwa mtu kama huyo ndiyo tunamuona "msomi" wa maana, hana hata nidhamu ya lugha. Tuna safari ndefu sana ya kwenda.


Sema nawasifu mdudu na mwambulukusi kuona fursa ya kutengeneza za "wajinga ndiyo waliwao".
 
Wakili "msomi" wa Tanzania ambae anajiita "mzalendo" haelewi tofauti ya "dharula" na dharura.

Ikiwa mtu kama huyo ndiyo gtunamuona "msomi" wa maana, hana hata nidhamu ya lugha. Tuna safari ndefu sana ya kwenda.


Sema nawasifu mdudu na mwambulukusi kuona fursa ya kutengeneza za "wajinga ndiyo waliwao".
gtunamuona ndio nini? 😂😂😂😂

Samahani lakini
 
Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:

(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:

1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:

"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"

2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.

3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?

(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:

1. Waratibu walikamatwa na polisi.

2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.

3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.

4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.

5. Ikumbukwe:

a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.

6. Historia itakuwapo kutuhukumu.

Aluta continua!

7. Hapa chini panajieleza:

View attachment 2803139

View attachment 2803140
Ukisikia serikali kutikisika ndo huku.

Jeshi la polisi limegeuzwa kuwa jumuiya ya CCM
 
Hao wengine ni kama punda bila viboko hawaendi
CHADEMA wamenyimwa vibali vya chopa, wanaoimba Badala ya kutumia gia kubwa.

Chama Cha upinzani bila amshaamsha na maandamano ni kujitakia kufifia mbele ya umma.
 
Asante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
Kiongozi ninakusihi na ninakushauri sana sana.

Haya maandamano hayana lengo baya kwa nchi bali CCM imeona itashinikizwa na wananchi iwajibike. Hivyo unapokuwa unasimama kidete kushinikiza watu wasidai jambo wanaloliona kwao ni haki, unakosea sana.

Ni jambo zuri kushauri lakini kushinikiza ushauri ni dalili ya kukwama kifikra
 
Back
Top Bottom