Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hichoMuda wowote kuanzia sasa nitaweka hapa Ratiba na Ruti ya Maandamano halali ya amani , yaliyoandaliwa na Wazalendo kupinga Mkataba wa kudhalilisha Nchi wa Bandari za Tanganyika .
Tayari Polisi walishapelekewa Taarifa , kwa ajili ya kuimarisha ulinzi tu na si vinginevyo .
Usiondoke JF Kwa Taarifa za Uhakika
Mkifanikisha maandamano niko pale mje mniue! Mtapigwa mpaka mchakae jaribuni mje mwone!!Muda wowote kuanzia sasa nitaweka hapa Ratiba na Ruti ya Maandamano halali ya amani , yaliyoandaliwa na Wazalendo kupinga Mkataba wa kudhalilisha Nchi wa Bandari za Tanganyika .
Tayari Polisi walishapelekewa Taarifa , kwa ajili ya kuimarisha ulinzi tu na si vinginevyo .
Usiondoke JF Kwa Taarifa za Uhakika
Kwahiyo tukipigwa tutakuwa tumefanikisha au tumeshindwa ?Mkifanikisha maandamano niko pale mje mniue! Mtapigwa mpaka mchakae jaribuni mje mwone!!
Keyboard warriorTaarifa nzuri hizi.
Wazalendo au wakosa kazi za kufanyaMuda wowote kuanzia sasa nitaweka hapa Ratiba na Ruti ya Maandamano halali ya amani , yaliyoandaliwa na Wazalendo kupinga Mkataba wa kudhalilisha Nchi wa Bandari za Tanganyika .
Tayari Polisi walishapelekewa Taarifa , kwa ajili ya kuimarisha ulinzi tu na si vinginevyo .
Usiondoke JF Kwa Taarifa za Uhakika
Asante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!Muda wowote kuanzia sasa nitaweka hapa Ratiba na Ruti ya Maandamano halali ya amani , yaliyoandaliwa na Wazalendo kupinga Mkataba wa kudhalilisha Nchi wa Bandari za Tanganyika .
Tayari Polisi walishapelekewa Taarifa
Usiondoke JF Kwa Taarifa za Uhakika
Niko hapa 🍿
Asante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
Wazalendo au wakosa kazi za kufanya
Nimempigia simu Mwabukusi sasa hivi kaniambia anajisikia amechoka😂
View: https://youtu.be/qINs-MYE5EU?si=i_NCy1NgNivfgdKl
"...Ndugu Watanzania mkiona mimi au Mdude ameuwawa au amejeruhiwa basi mjue ni OCD wa Mbeya..."
:BAK Mwabukusi
Hakuna kibali kuna taarifa tuAsante tuko standby ila pia utuwekee na screenshot ya kibali vinginevyo nawashauri bila kibali Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
Nimempigia simu Mwabukusi sasa hivi kaniambia anajisikia amechoka😂
Ova
Jamaa kaniambia eti kesho hautaonekana kwenye maandamano😁😂Isije kuwa umempigia @ katelefoni huyo ni renown serial liar:
Tetesi: Kuelekea 9/11, risasi za bahati mbaya kuuwa, kujeruhi kesho