Wafute IGA hata Leo , Mwabukusi, Mdude na Watanganyika wataacha kuandamana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafute IGA hata Leo , Mwabukusi, Mdude na Watanganyika wataacha kuandamana.
Leo ndo nimejiridhisha we mjinga ni Mwabukusi.
Wanaotishwa ni wananchi waoga, Ili ikifika tarehe 9, Mdude na Mwambukusi wawe na watu Wachache.Tuliopo tunatosha sana;
View attachment 2804963
Wakituuwa sisi Ili kina Lusungo wasisherehekee kuwa imekwisha, kina Slaa wataendeleza 10/11.
Kabla ya kina Lissu na waungwana wenye akili zao kukiendeleza baada ya kina Slaa.
Wewe utatokea batch ipi?
Wanaotishwa ni wananchi waoga, Ili ikifika tarehe 9, Mdude na Mwambukusi wawe na watu Wachache.
Simba na Yanga wanaandamana na mabango ya kisiasa hawabughudiwi,
Kudai bandari zetu ndo iwe nongwa!!
Aluta continua.
Wanatuona manyani,Hii ni siku muhimu sana kwetu. Ni muhimu kuwathibitishia watanzania si waoga:
Lissu: Watanzania si waoga, ila wenye kutunyooshea kidole
Wanatuona manyani,
Tuwaonyeshe kuwa sisi ni watu, Watanganyika wenye AKILI timamu.
Najiuliza kama ni Viongozi wa SAUTI YA WATANZANIA ndio wangetishia kumvunja Mguu OCD wa Mbeya sijui ingelikuwaje?Hawanazo magereza za kutuweka wote. Kwa kosa lipi?
Harakati za chama kipya mmefikia wapi?Huko tulishatoka kipindi ndugu:
Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama
Tulipo tunawapongeza wanene wa chama njiani kuelekea Mwakaleli.
Kumbe wewe hutaki katiba mpya au ni yale ya kutokujitambua tu?
Tundu Lissu: Kauli ya Diaspora watuache ni ya CCM, anayesema kauli hiyo anafanya kazi ya CCM
Lissu ana ujumbe mzito kwako.
Umma wa Watanganyika unajitosheleza,Harakati za chama kipya mmefikia wapi?
Harakati za chama kipya mmefikia wapi?
Hizo njamq zenu dhidi ya CHADEMA hazitokaa zifanikiwe!Unaonyesha kuwa una makasiriko sana ndugu. Kwani wewe hutaki katiba mpya au ni dalali wa DP World?
CHADEMA tena?😂Hizo njamq zenu dhidi ya CHADEMA hazitokaa zifanikiwe!
Umma wa Watanganyika unajitosheleza,
Nani alikudanganya Ili kuikomboa nchi Hadi usajili chama?
Matching guys Wana chama Cha siasa?
Wakulima Wana chama Cha siasa?
Wafanyabiashara, wavuvi, nk nk nk vp?
CHADEMA tena?😂
Hizo njamq zenu dhidi ya CHADEMA hazitokaa zifanikiwe!