Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2804711
SAUTI YA WATANZANIA NI SAUTI YA UMMA.
Kwani Akwilina alipigwa risasi na Mbowe au Mdee?Msitukumbushe Akwilina wakati akina Mbowe na Mdee wanaendelea na Maisha na familia zao!
Hamna kitu nchi imejaa woga
Mapolisi hawajatoa sababu za MSINGI za kuyazuia Maandamano ya AMANI.
Sikila mtu anaweza kuhusika kwenye mabadiliko ,endelea kuendelea kuwakilishwaMsitukumbushe Akwilina wakati akina Mbowe na Mdee wanaendelea na Maisha na familia zao!
Sikila mtu anaweza kuhusika kwenye mabadiliko ,endelea kuendelea kuwakilishwa
Bibie acha kuwatisha Watanzania wenzako.mdudu na mwambulukusu wamechaguwa tarehe ya kumbukumbu cha kilio walicholizwa USA.
mdudu na mwambulukusu wamechaguwa tarehe ya kumbukumbu cha kilio walicholizwa USA.
Sio jambo la Busara kuwatishia kuwavunja Miguu Watanzania wanaotaka kuandamana kwa Amani.
Yaani walikamatwa ili wapewe barua?Huu ni mrejesho wa yenye kujiri:
(a) Kuhusiana na ukimya Mwakaleli, Mbeya:
1. Kulipita tafrani hadi kuhitaji usaidizi tokea ofisi kubwa:
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
2. Heshima kwenu sana waheshimiwa Freeman Aikael Mbowe na Tundu Antipas Lissu.
3. Wajumbe Mbeya ni wanachama wa vyama hivi hivi, kulikoni mtafaruku majiani?
(b) Kuhusiana na maandamano ya amani 9/11:
1. Waratibu walikamatwa na polisi.
2. Lengo likiielezwa kuwa ni kuwajabidhi barua kusitishwa kwa maandamano haya.
3. Rufaa husika imekwisha wasilishwa kwa mujibu wa sheria.
4. Maandamano ni 9/11 kama yalivyopangwa.
5. Ikumbukwe:
a) Kuandamana ni haki ya wananchi kikatiba
b} Mamlaka ina wajibu wa kuiheshimu katiba
c) Mahakama ina wajibu wa kuhakikisha haki Ina tamalaki.
d) Wananchi tuna haki ya kuilinda katiba.
6. Historia itakuwapo kutuhukumu.
Aluta continua!
7. Hapa chini panajieleza:
View attachment 2803139
View attachment 2803140
Kweli huo woga sijui unatokana na nini? Wananchi hawawezai kuzuia DPW kama Mafisadi wameamua.Sio jambo la Busara kuwatishia kuwavunja Miguu Watanzania wanaotaka kuandamana kwa Amani.