mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #21
Nitaletà ufisadi wa lowassa hapa ngoja tuzike kwanza,CCM ni wajinga sana walimjua uchafu wake tangu enzi za nyerere,Mkapa alitaka kumtosa mazima sema nini,jamaa lilikuwa na nyotaKama basi unataka kutuaminisha hao CCM waliibiwa na Lowassa na hawakumfanya chochote licha kujua hilo, watakuwa wajinga kweli.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app