Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Kipindi hicho kumiliki baiskeli tu ilikuwa ni fahari kubwa,kumbuka ni 1983 tulikuwa gizani tunanuka umasikin
Sasa Lowassa alimuibia nani enzi zile kila mtu Hadi Nyerere na Sokoine wako hoi bin taaban?
Nakumbuka mwaka 1982 nasikiliza radio kenya nikasikia watu 12 wamekamatwa kwa kutaka kumpindua Nyerere, nikaenda kuwasimulia Kaka zangu wakanifukuza wakasema haiwezekani na niondoke wasije sikia tukakamatwa.
 
Kwamba kipindi hicho hakukua na watu wenye suti zaidi ya nyerere na sokoine? Kwamba wao ndio definition ya umiliki wa suti? Ebu acheni fikra za kimasikini. Ndio nyie mkiwa maboss wafanya kazi wenu wakijenga mnaona mmeibiwa.
 
Unajua kipindi hicho hizo suti ni kiasi gani ? Mimi sijui lakini wewe unayeshangaa ninakushangaa ?

Tatizo halijawahi kabisa kuwa mtu anamiliki nini ila mtu anayeishi beyond his/her means on taxpayers account... ; Sasa wewe kuona kwamba Suti ni Suti tu...., na ukizingatia majority ya wanaokuzunguka wamevaa vilaka nadhani ujanja wewe kama kiongozi ni kuhakikisha wanapata hata kaptula kabla ya kuongeza Pierre Cardin nyingine (kwako wewe kufanya hivyo ni dalili za kuwa vain).... Ingawa kama pesa ni zako haipaswi upangiwe matumizi
Kwa hio Nyerere alikua Rais alikua anavaa viraka?mpk ashangae suti?

Mawazo ya kijinga na kimasikini sana hayo
 
Kwa hio Nyerere alikua Rais alikua anavaa viraka?mpk ashangae suti?

Mawazo ya kijinga na kimasikini sana hayo
Aisee kwa mawazo yako kweli no wonder walamba asali wanazidi kupeta kwa kuchota kodi za wananchi na bado wanasifiwa kama wafalme.......

Pili kwa uelewa wako ni rahisi sana kulishwa matango pori kwamba umasikini wako ni uvivu wako na sio sera mbovu za viongozi wako..... NARUDIA NILICHOSEMA IN ITALICS....
Tatizo halijawahi kabisa kuwa mtu anamiliki nini ila mtu anayeishi beyond his/her means on taxpayers account... ; Sasa wewe kuona kwamba Suti ni Suti tu...., na ukizingatia majority ya wanaokuzunguka wamevaa viraka nadhani ujanja wewe kama kiongozi ni kuhakikisha wanapata hata kaptula kabla ya kuongeza Pierre Cardin nyingine (kwako wewe kufanya hivyo ni dalili za kuwa vain).... Ingawa kama pesa ni zako haipaswi upangiwe matumizi

Unajua maisha ya majority ya watanzania kwa wakati huo yalikuwaje ? Na unajua kwamba hapo kina Nyerere, Lowassa na viongozi wote walikuwa ni watumishi wa mwananchi ? Na je huyo mwananchi alikuwa anamaisha gani.... Kumbuka mwananchi huyu alikuwa anakumbwa na maadui watatu (mmojawapo akiwa umasikini) kwahio nguvu zote ilikuwa ni kuelekeza kwa huyu asivae viraka (kumbuka hata sasa hivi kama kungekuwa hakuna mitumba majority wangevaa viraka) Kitaa mifukoni kipato hakijabadilika ni Productivity Duniani as a whole imeongezeka na Junks zote zinatupwa Africa at throw away prices....
 
Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Tuliokuwepo miaka hiyo mtanielewa,wale wadogo zangu hamuwezi kuelewa,maisha ya 1973 yalikuwa mazuri kwa wananchi kuliko ya 1983,tulivaa midabwada ,viraka,mtu mzima matako nje....,sigara,sabuni ,sukari,ungekamatwa navyo ni jela miezi sita
Unao uhakika baba yake hakumpa pesa za matumizi! Nyerere hskuwa na baba wa kumpa pesa, mimi wakati nasoma huko mikoani miaka ya sitini kuna baadhi ya wanafunzi wenzetu walikuwa wanapanda ndege kwenda na kurudi likizo, walimu wanapanda mabasi.
 
hapo shida iko wapi? kumbuka kuwa wamasai wana ng'ombe wengi.na inategemea na hulka ya mtu.mimi hapa nina jirani ana ghorofa.mimi nyumba ya kawaida kabisa.but MUNGU amenijaria kufungua ng'ombe . huyu jirani yangu huwa ananunua nusu ya lita ya maziwa kwangu.sasa kuwa nacheka sana.mimi mwenye kipato cha chini nakunywaga lita nzima ya maziwa ,tajiri anakunywa nusu lita .hahahaha.so staili ya mtu inamtuma kuishi anavyotaka.
Sokoine naye alikua Masai, na alikua na Ng'ombe.
 
Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Tuliokuwepo miaka hiyo mtanielewa,wale wadogo zangu hamuwezi kuelewa,maisha ya 1973 yalikuwa mazuri kwa wananchi kuliko ya 1983,tulivaa midabwada ,viraka,mtu mzima matako nje....,sigara,sabuni ,sukari,ungekamatwa navyo ni jela miezi sita
Huu ni umbea pro max. Nani alikuwa na kazi ya kuhesabu nguo za watu??
 
Back
Top Bottom