Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Aisee kwa mawazo yako kweli no wonder walamba asali wanazidi kupeta kwa kuchota kodi za wananchi na bado wanasifiwa kama wafalme.......

Pili kwa uelewa wako ni rahisi sana kulishwa matango pori kwamba umasikini wako ni uvivu wako na sio sera mbovu za viongozi wako..... NARUDIA NILICHOSEMA IN ITALICS....
Tatizo halijawahi kabisa kuwa mtu anamiliki nini ila mtu anayeishi beyond his/her means on taxpayers account... ; Sasa wewe kuona kwamba Suti ni Suti tu...., na ukizingatia majority ya wanaokuzunguka wamevaa viraka nadhani ujanja wewe kama kiongozi ni kuhakikisha wanapata hata kaptula kabla ya kuongeza Pierre Cardin nyingine (kwako wewe kufanya hivyo ni dalili za kuwa vain).... Ingawa kama pesa ni zako haipaswi upangiwe matumizi

Unajua maisha ya majority ya watanzania kwa wakati huo yalikuwaje ? Na unajua kwamba hapo kina Nyerere, Lowassa na viongozi wote walikuwa ni watumishi wa mwananchi ? Na je huyo mwananchi alikuwa anamaisha gani.... Kumbuka mwananchi huyu alikuwa anakumbwa na maadui watatu (mmojawapo akiwa umasikini) kwahio nguvu zote ilikuwa ni kuelekeza kwa huyu asivae viraka (kumbuka hata sasa hivi kama kungekuwa hakuna mitumba majority wangevaa viraka) Kitaa mifukoni kipato hakijabadilika ni Productivity Duniani as a whole imeongezeka na Junks zote zinatupwa Africa at throw away prices....
Masai ana miliki Ng'ombe zaidi ya 100 unauliza kapata wapi hela ya kununua suti?
Hujui ukiona Nyama inaliwa sehemu kuna mfugaji kaingiza pesa

Hao walikua na chuki zao zisizo za Msingi
 
Swali au sentensi tata. Lakini naweza sema A leader is a benchmark by which other people (Citizens) may be judged.
To be judged in what sense
Wao walikuwa na pair mbili za viatu na suti ila historia inaonesha wananchi walikuwa hoi wanavaa viraka
 
Kwa hio walipoenda Uingereza Nyerere na Sokoine walikua wamevaa makatambula na sandarusi?mpk wamshangae mwenzao kununua suti liwe jambo kubwa mpk kufikiria ni fisadi?
Nyerere nae kachangia kuturudisha nyuma tu,mawazo ya kimasikini hayo
Najua hapo ulipo kuna wazee wa kuanzia miaka 50+ waulize hiyo miaka ilikuwaje?unaongelea suti?sigara,kiberiti,sukari,bia,ukikutwa navyo bila maelezo ni kesi kubwa unafunguliwa ya kuhujumu uchumi
 
Masai ana miliki Ng'ombe zaidi ya 100 unauliza kapata wapi hela ya kununua suti?
Hujui ukiona Nyama inaliwa sehemu kuna mfugaji kaingiza pesa

Hao walikua na chuki zao zisizo za Msingi
Hakuna masai anauza mfugo anunue suti,hakuna na hatakuwepo
 
Aliwanunulia na mashehe zake kanzu mpya akina katiba walioenda naye chadomo kwenye safari ya matumaini sijui wamebaki huko au walimfuata alipotudi nambari wani
 
hapo shida iko wapi? kumbuka kuwa wamasai wana ng'ombe wengi.na inategemea na hulka ya mtu.mimi hapa nina jirani ana ghorofa.mimi nyumba ya kawaida kabisa.but MUNGU amenijaria kufungua ng'ombe . huyu jirani yangu huwa ananunua nusu ya lita ya maziwa kwangu.sasa kuwa nacheka sana.mimi mwenye kipato cha chini nakunywaga lita nzima ya maziwa ,tajiri anakunywa nusu lita .hahahaha.so staili ya mtu inamtuma kuishi anavyotaka.
Unajuaje haya maziwa nusu lita pengine ni ya paka wake..
na kinachokufanya ucheke ni nini badala ufatilie maisha yako na shida zako.
 
hapo shida iko wapi? kumbuka kuwa wamasai wana ng'ombe wengi.na inategemea na hulka ya mtu.mimi hapa nina jirani ana ghorofa.mimi nyumba ya kawaida kabisa.but MUNGU amenijaria kufungua ng'ombe . huyu jirani yangu huwa ananunua nusu ya lita ya maziwa kwangu.sasa kuwa nacheka sana.mimi mwenye kipato cha chini nakunywaga lita nzima ya maziwa ,tajiri anakunywa nusu lita .hahahaha.so staili ya mtu inamtuma kuishi anavyotaka.

Hivi kwa siku unatakiwa binaadamu unywe maziwa kiasi gani
 
The guy was smart kumkamata na vielelezo ilikuwa ngumu sana ila ushahidi wa kimazingira upo tangu enzi za mwalimu,isitoshe CCM wezi ni wengi utafunga wangapi ,
Kama walishindwa kumfikisha mahakamani kumfunga kwa nini sasa hawakumfukuza kutoka katika chama na serikali ?
 
Nyerere ndie alianzasha ile dhana kiongozi ili uwe mwadilifu usiwe na kitu, yaani uwe kabwela na vitu vikubwa au ufahari usihusike navyo.

Nyerere nasikia alikuwa anafanya vetting yake kwa vijana kwa kuangalia namna anavyopenda kuwa na vitu vizuri hata kama ni vya halali. 😁
 
Masai ana miliki Ng'ombe zaidi ya 100 unauliza kapata wapi hela ya kununua suti?
Hujui ukiona Nyama inaliwa sehemu kuna mfugaji kaingiza pesa

Hao walikua na chuki zao zisizo za Msingi
Again Missing the Point Big Time...

Moja kuna waliomwambia asinunue suti ?
Mbili hizo suti ni bei gani na hao ngombe alikuwa anawauzia kina nani (again nimekwambia umasikini ilikuwa ni moja wa adui mkubwa sana) na buying power ya wanaomzunguka nadhani ulikuwa unaijua....; Ila hata kama angenunua chains na kuzivaa kama Mr. T kwa pesa zake sio vema kumpangia (to each his/her own)

Tatu sentensi yangu ya mwanzo kabisa ilikuwa kama mtu pesa ni zake huwezi kumpangia hata kama kama anataka azinywe pombe zote (ni zake) ila hata sarafu moja ya public money ikifujwa kwa manufaa yake yeye kama mtumishi wa wananchi ni wizi na udokozi no two ways about it...

Nne nikakwambia tena utakuwa mjanja zaidi ukiwekeza nguvu zako kuondoa midabwada ya wanaokulisha kwa kukuchangia / kutumia kodi zao kuliko ku-appear a cut above them....

Now kuhusu uadilifu wake na kama alidokoa au hakudokoa sina any concrete evidences lakini shutuma zilizopo speaks for themselves....

More than than am just letting sleeping dogs lie.....; But when it comes to calling a Spade I just call it a Spade and not a Big Spoon.....
 
Lowassa ndio kama Nyerere alimpigia kabisa kalamu nyekundu. 😁
Alimwekea kile wandengereko tunasema "watchful eye". Hakuwahi mwamini wala kumkubali. 😁
EL nae dah, ila apumzike kwa amani.
 
Again Missing the Point Big Time...

Moja kuna waliomwambia asinunue suti ?
Mbili hizo suti ni bei gani na hao ngombe alikuwa anawauzia kina nani (again nimekwambia umasikini ilikuwa ni moja wa adui mkubwa sana) na buying power ya wanaomzunguka nadhani ulikuwa unaijua....; Ila hata kama angenunua chains na kuzivaa kama Mr. T kwa pesa zake sio vema kumpangia (to each his/her own)

Tatu sentensi yangu ya mwanzo kabisa ilikuwa kama mtu pesa ni zake huwezi kumpangia hata kama kama anataka azinywe pombe zote (ni zake) ila hata sarafu moja ya public money ikifujwa kwa manufaa yake yeye kama mtumishi wa wananchi ni wizi na udokozi no two ways about it...

Nne nikakwambia tena utakuwa mjanja zaidi ukiwekeza nguvu zako kuondoa midabwada ya wanaokulisha kwa kukuchangia / kutumia kodi zao kuliko ku-appear a cut above them....

Now kuhusu uadilifu wake na kama alidokoa au hakudokoa sina any concrete evidences lakini shutuma zilizopo speaks for themselves....

More than than am just letting sleeping dogs lie.....; But when it comes to calling a Spade I just call it a Spade and not a Big Spoon.....
Andika kwa kifupi ueleweke,maelezo mengi sana
 
Kwa hio wakashangaa mwenzao anavuta suti 10😄😄,hawa wazee nao walikua na mawazo ya kimasikini sana 😀
kumbuka zama hizo suti ilikuwa bei ya guta la wanhoo 😂 sio za laki na 40 ambazo mnanunua mtaa wa Congo zile
 
Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Tuliokuwepo miaka hiyo mtanielewa,wale wadogo zangu hamuwezi kuelewa,maisha ya 1973 yalikuwa mazuri kwa wananchi kuliko ya 1983,tulivaa midabwada ,viraka,mtu mzima matako nje....,sigara,sabuni ,sukari,ungekamatwa navyo ni jela miezi sita
Kwahiyo kwa sasa tumerudi enzi za 1983, maana sukari haipatikani...
 
hapo shida iko wapi? kumbuka kuwa wamasai wana ng'ombe wengi.na inategemea na hulka ya mtu.mimi hapa nina jirani ana ghorofa.mimi nyumba ya kawaida kabisa.but MUNGU amenijaria kufungua ng'ombe . huyu jirani yangu huwa ananunua nusu ya lita ya maziwa kwangu.sasa kuwa nacheka sana.mimi mwenye kipato cha chini nakunywaga lita nzima ya maziwa ,tajiri anakunywa nusu lita .hahahaha.so staili ya mtu inamtuma kuishi anavyotaka.
Kama anahitaji nusu anunue lita nzima ya nini?
Hatafuti sifa zisizo na faida kwake.
 
Back
Top Bottom