Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

Unaposema "watu wakubwa matako yalikuwa wazi" una maanisha kitu gani?
Kipindi hicho kulikuwa hakuna kunyanduana?
Yaani tako la mtu mzima liwe nje halafu hakuna madhara yeyote?
 
Sasa kama alikua na Hela angefanyaje?? Mana Lowasa mnamsema alikua Mwizi lakini nani haibi nchi hii?? Watu wanakula mandazi na kuamua umeme February mwisho wa mgao...wakila mandazi tena wanasema ooh March mara June....Nyie watu mmetuumiza sana nchi hii...Magufuli alipokua hai umeme uliwaka miaka 6 bila kukatika...Msituone sisi maboya kutugawia uchuro.
 
Lowassa alianza mapema sana kutamani ubwanyenye .angeupata uraisi nchi ningeuzwa hii.
Nchi ishauzwa hii usifumbe macho. simtetei Lowasa ila majizi ni Mengi mnoooo...Magufuli alijaribu kuyaondoa akashindwa nani atayaweza haya majizi??? Yanatuona sisi hatuna akili yanadhani yenyewe ndio yana akili iko siku watoto wenu wataona aibu kujiitia majina yenu yatakua yananuka
 
Aisee leo unaongelea suti ambazo ni nguo za kuvaa tu
Hata mimi nilipoingia London tu nikajipiga koti la ngozi kwa £200 kama laki6 leo na ilikuwa mwaka 1990 sina utajiri ila mapenzi tu ya leather jackets 😄 💖

Sasa mtu katoka nchi masikini hajui lini atapata tena fursa ya kuja 🇬🇧 kwanini asinunue nguo na viatu vya kutosha?

Hivi angenunua nyumba kubwa kama Idd Amin hapa Travalgar Sq, St. James mngesemaje leo
Ila kwa sasa hilo jengo ni Ubalozi wa UG

Hapo ndio tungesema sana lakini suti jamani daa
Waswahili ni kiboko
 
Aisee leo unaongelea suti ambazo ni nguo za kuvaa tu
Hata mimi nilipoingia London tu nikajipiga koti la ngozi kwa £200 kama laki6 leo na ilikuwa mwaka 1990 sina utajiri ila mapenzi tu ya leather jackets 😄 💖

Sasa mtu katoka nchi masikini hajui lini atapata tena fursa ya kuja 🇬🇧 kwanini asinunue nguo na viatu vya kutosha?

Hivi angenunua nyumba kubwa kama Idd Amin hapa Travalgar Sq, St. James mngesemaje leo
Ila kwa sasa hilo jengo ni Ubalozi wa UG

Hapo ndio tungesema sana lakini suti jamani daa
Waswahili ni kiboko
Umeshindwa kuelewa context ya andiko,key words,ni umri wa muhusika,cheo chake,mwaka wa tukio,uchumi wa nchi hudika jwa muda huo,falsafa za viongozi wakuu wa nchi yake,naisha halusi ya watanzania 1983😭
 
Umeshindwa kuelewa context ya andiko,key words,ni umri wa muhusika,cheo chake,mwaka wa tukio,uchumi wa nchi hudika jwa muda huo,falsafa za viongozi wakuu wa nchi yake,naisha halusi ya watanzania 1983😭
Nzimekuelewa vizuri sana, hata mimi nilikuwepo miaka hiyo mpaka vita ya UG baada ya hapo nikaondoka zangu nikiwa kijana na kuja kutafuta maisha nje
Nayajua maisha wakati huo ila kwa 70s yalikuwa bado mazuri ila baada ya vita ndio kisago kikaanza

Tunajuta kwanini tuliingia vita kwa wengi
Ila nimeelewa maana yote thanks
 
Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Tuliokuwepo miaka hiyo mtanielewa,wale wadogo zangu hamuwezi kuelewa,maisha ya 1973 yalikuwa mazuri kwa wananchi kuliko ya 1983,tulivaa midabwada ,viraka,mtu mzima matako nje....,sigara,sabuni ,sukari,ungekamatwa navyo ni jela miezi sita
Kunfuu shoes ,chachacha ,duka laushirika , ugali wa njano na muuza sigara naye mhujumu uchumi.
 
Hii nchi angepewa Lowasa ingekuwa mbali sana inaonekana ni mtu anaependa maendeleo lakini hii nchi walikabidhiwa watu wapenda umasikini kiasi Cha kuchinguzana Hadi viatu vya kuvaa utadhani tunaishi mbagala rangi 4 upuuzi mtupu
 
Jidanganye tu ila hao matajiri wote wametokana na uwizi ndani ya CCM ...Kulikuwa na haja gani kuingia kweny siasa zaidi ya kujipatia pesa za dili hata biashara inataka connection.

Wamasai wanafuga ngo'mbe kwa leisure na prestige mpaka miaka ya 2000's hawakuwa matajiri wala zaidi jamii nyingi zilikuwa primitive ,labda wale waliokuwa na tender za kusambaza mazima na ng'ombe...Jamii za wamasai waliisha maisha ya level moja hakuna maskini wala tajiri

Wanasiasa wote wamejipatia easy money kupitia siasa hakuna aliyeingia kwa utajiri ni uongo mkubwa wajinga ndio wanakubali.
Ah kweli kabisa

Ova
 
hapo shida iko wapi? kumbuka kuwa wamasai wana ng'ombe wengi.na inategemea na hulka ya mtu.mimi hapa nina jirani ana ghorofa.mimi nyumba ya kawaida kabisa.but MUNGU amenijaria kufungua ng'ombe . huyu jirani yangu huwa ananunua nusu ya lita ya maziwa kwangu.sasa kuwa nacheka sana.mimi mwenye kipato cha chini nakunywaga lita nzima ya maziwa ,tajiri anakunywa nusu lita .hahahaha.so staili ya mtu inamtuma kuishi anavyotaka.
Kwa nini unacheka ilhali umesema ni hulka ya mtu?!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom