Nitaletà ufisadi wa lowassa hapa ngoja tuzike kwanza,CCM ni wajinga sana walimjua uchafu wake tangu enzi za nyerere,Mkapa alitaka kumtosa mazima sema nini,jamaa lilikuwa na nyotaKama basi unataka kutuaminisha hao CCM waliibiwa na Lowassa na hawakumfanya chochote licha kujua hilo, watakuwa wajinga kweli.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tetea Hoja yakoRich wapi kazaliwa familia fukara kama mimi na wewe
Yaani tangu miaka ya mwanzo ya 80 jamaa walikuwa nae na nifisadi lakini hawakumchukulia hatua yoyote na Mwalimu wao Nyerere?Ccm ni viazi kwakweli.Vinginevyo Lowasa alikuwa clean.Kama basi unataka kutuaminisha hao CCM waliibiwa na Lowassa na hawakumfanya chochote licha kujua hilo, watakuwa wajinga kweli.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
The guy was smart kumkamata na vielelezo ilikuwa ngumu sana ila ushahidi wa kimazingira upo tangu enzi za mwalimu,isitoshe CCM wezi ni wengi utafunga wangapi ,Yaani tangu miaka ya mwanzo ya 80 jamaa walikuwa nae na nifisadi lakini hawakumchukulia hatua yoyote na Mwalimu wao Nyerere?Ccm ni viazi kwakweli.Vinginevyo Lowasa alikuwa clean.
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Umbea mbona humtaji mwenye Richmond ambae Lowassa alimkingia kifua kumsitiri?Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au
Kwa hio wakashangaa mwenzao anavuta suti 10😄😄,hawa wazee nao walikua na mawazo ya kimasikini sana 😀Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Kumbuka ni mwaka 1983 hata ungekuwa na hela vipi aibu ingekushika,hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana ndugu zanguHakuna neno hata angenunua Container la nguo au kununua kabisa Duka..., issue ni jinsi alivyozipata hizo pesa kama it was through legal means....
Sababu unaweza kununua Wine za Bei mbaya kumbe pesa umetoa kwenye mfuko wa kijiji wa kuchimba kisima cha maji ya kunywa...
Kwa hio mpk kununua suti akina Nyerere walikua wanashangaa pesa katoa wapi?😀😀Hakuna neno hata angenunua Container la nguo au kununua kabisa Duka..., issue ni jinsi alivyozipata hizo pesa kama it was through legal means....
Sababu unaweza kununua Wine za Bei mbaya kumbe pesa umetoa kwenye mfuko wa kijiji wa kuchimba kisima cha maji ya kunywa...
Au unanunua Ferrari wakati barabara za kuingia kwako / kuendeshea ni uchochoro wenye miiba...
1983 Lowassa alikuwa Chuoni UingerezaMwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu.
Kama pesa ni zako hata ukiamua kuzitumia kwa kuzifuja au kufanya chochote roho inapenda binafsi sina shida na wewe (ulizitafuta na ni zako) ila kama umezipata through questionable means na ni za jamii hata ukitumia senti moja zaidi wewe ni kibaka in my book....Kumbuka ni mwaka 1983 hata ungekuwa na hela vipi aibu ingekushika,hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana ndugu zangu
Umeongea ukweli mkuu andiko langu lina maana ya ulichokiandikaJidanganye tu ila hao matajiri wote wametokana na uwizi ndani ya CCM ...Kulikuwa na haja gani kuingia kweny siasa zaidi ya kujipatia pesa za dili hata biashara inataka connection.
Wamasai wanafuga ngo'mbe kwa leisure na prestige mpaka miaka ya 2000's hawakuwa matajiri wala zaidi jamii nyingi zilikuwa primitive ,labda wale waliokuwa na tender za kusambaza mazima na ng'ombe...Jamii za wamasai waliisha maisha ya level moja hakuna maskini wala tajiri
Wanasiasa wote wamejipatia easy money kupitia siasa hakuna aliyeingia kwa utajiri ni uongo mkubwa wajinga ndio wanakubali.
Unajua kipindi hicho hizo suti ni kiasi gani ? Mimi sijui lakini wewe unayeshangaa ninakushangaa ?K
Kwa hio mpk kununua suti akina Nyerere walikua wanashangaa pesa katoa wapi?😀😀
Ndio maana Taifa bado ni masikini mpk leo, Viongozi walikua wanashangaa suti enzi hizo,mawazo ya kimasikini sana
Muulize mzee wako miaka hiyo hali ilikuwaje,sabuni tu ilikuwa anasaK
Kwa hio mpk kununua suti akina Nyerere walikua wanashangaa pesa katoa wapi?😀😀
Ndio maana Taifa bado ni masikini mpk leo, Viongozi walikua wanashangaa suti enzi hizo,mawazo ya kimasikini sana