Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mzee aseme ukweli asichanganye na show ya Michael Jackson mwak 90 ++ ilikuwa Bei kubwa

I'll laki kwa yvone chakachak Ni uongo mkubwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Michael Jackson hakuwahi kufanya show yoyote Daslam, we hiyo bei kubwa kwa show ya michael jackon umeitoa wap?
Michel alishuka vingunguti akaelekea Sinza shule maalum ya watoto yatima . Inasemekana safari yote kutoka airport alikuwa kaziba pua akimaanisha kuwa hewa yetu ni chafu!!! , nakumbuka nilikuwa nasoma ubungo NH , tulikusanyika na wanafunzi wa mugabe primary kwenda sinza kumuangalia jamaa , lakini wengi wetu hatukufanikiwa kumuona ,
 
Hili la kanda bongoman kupiga kwa 100,000tsh kiingilio,ukumbi aliopiga sio pale Kilimanjaro Hotel?au Nina mic something hapa?
 
Hakuna kudumucho chini ya jua. Niliwahi kuutembelea kipindi unaelekea mautini
 
Hili la kanda bongoman kupiga kwa 100,000tsh kiingilio,ukumbi aliopiga sio pale Kilimanjaro Hotel?au Nina mic something hapa?
Alipiga uwanja wa Taifa , laprima club Makondeko na kilimanjaro kama sikosei kote kiingilio kilikuwa 100000, na tickets sold out
Kukikuwa na maneno kwamba promoter aliyemleta alibaki na madeni pamoja na kiingilio kuwa kibubwa , Kanda bongoman alikuwa very expensive .
 
Salute mkuu una kumbukumbu,uko sahihi
 
Picha au video ikowapi?
 
Uko sahihi mkuu nimemshangaa kuandika eti Michael Jackson alipiga show,kichwa chake ameshakichanganya na vitu haramu anapoteza kumbukumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…