WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Labda Chato.Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Acha ujinga Magufuli kashazikwa rasmi jana Dodoma.Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Magufuli alikuwa mjinga... kaiba kura kupitiliza na kutesa wagombea wa upinzani.Mama amebariki mafisadi wapandishe bei
Watafanya nini? Kama hujui watakaofanya basi huna hojaKwani nani kakwambia wataandamana?
Alafu mimi sio mshabiki wa hivyo vyama vyenu. Mimi nilikuwa natoa uhalisia naouona, so unaweza upuuza vile vile.
Kwani kwa akili yako Maccm yaliwahi shinda uchaguzi wowote tangu 2010?Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Ni sawa sina hojaWatafanya nini? Kama hujui watakaofanya basi huna hoja
Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli mana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Kwa hiyo Magufuli naye aliuawa?
🤣😂🤣😂🤣😂Tangu Vita vya UKRAINE vianze nipo kwenye Uzi wa International...nimeingia humu kwa bahati mbaya ....Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Subiri vita vya Tanzania ndo uje[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]Tangu Vita vya UKRAINE vianze nipo kwenye Uzi wa International...nimeingia humu kwa bahati mbaya ....
Wewe watumwa wenzako walionunuliwa toka CDM wamepata teuzi,wewe ukilaza wako na ujamvi la wageni vimekufanya "unuke". Pole sana.Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Ushauri wa bure, tulia, weka akiba ya maneno, zamu yako itafika tena, utaitwa kushiriki tena kula karamu ya Bwana meza Kuu.Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Acha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sanaTusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.
Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.
CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo pimbi wenu tuliyemzika Chato
Pimbi ni ww unaenunua mafuta ya kupikia elfu 7 kwa lita.. nyang'au mkubwaa..na bado chamoto utakiona mana unaonekana huna hata hela ya kununua boxerTusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.
Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.
CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo pimbi wenu tuliyemzika Chato
Adolph Hitler mwenyewe anayelaaniwa kwa kuanzisha vita vya pili vya Dunia anaenziwa kila mwaka huko Germany. Lakini bado haimfanyi kuwa kiongozi mzuri.Acha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sana